-
Isaya 31:4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Kwa maana Yehova ameniambia hivi:
“Kama vile simba ananguruma, mwana-simba mwenye nguvu,* juu ya mawindo yake,
Wakati kundi lote la wachungaji linakusanywa kupigana naye,
Na haogope sauti yao
Wala kutetemeshwa na makelele yao
Ni vile pia Yehova wa majeshi atashuka ili kupigana vita
Juu ya Mulima Sayuni na juu ya kilima chake.
-