-
Yohana 18:37Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
37 Basi Pilato akamuambia: “Kwa hiyo, basi, wewe ni mufalme?” Yesu akajibu: “Wewe mwenyewe unasema kwamba mimi ni mufalme.+ Nimezaliwa kwa ajili ya hili, na kwa ajili ya hili nimekuja katika ulimwengu, ili nitoe ushahidi juu ya ile kweli.+ Kila mutu mwenye iko* upande wa ile kweli anasikiliza sauti yangu.”
-
-
Ufunuo 17:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Na nikaona kwamba ule mwanamuke alikuwa amelewa damu ya watakatifu na damu ya mashahidi wa Yesu.+
Basi, wakati nilimuona nilishangaa sana.
-
-
Ufunuo 20:4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Na nikaona viti vya ufalme, na wale wenye kukaa kwenye viti hivyo wakapewa mamlaka ya kuhukumu. Ndiyo, niliona nafsi* za wale wenye waliuawa* kwa sababu ya ushahidi wenye walitoa juu ya Yesu na kwa sababu ya kusema juu ya Mungu, na wale wenye hawakumuabudu ule munyama wa pori ao sanamu yake na hawakupokea ile alama kwenye paji la uso wao na kwenye mukono wao.+ Na wakakuwa wazima na wakatawala wakiwa wafalme pamoja na Kristo+ kwa miaka elfu moja (1 000).
-