Zaburi 145:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Yehova ni mwenye haki katika njia zake zote+Na mushikamanifu katika mambo yote yenye anafanya.+ Ufunuo 15:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Ni nani mwenye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kutukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mushikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele yako,+ kwa sababu amri zako za haki zimefunuliwa.”
4 Ni nani mwenye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kutukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mushikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele yako,+ kwa sababu amri zako za haki zimefunuliwa.”