Ufunuo 18:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Na akasema kwa sauti kubwa yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mukubwa ameanguka,+ na amekuwa makao ya pepo wachafu na mahali pa kujificha pa kila roho muchafu* na kila ndege muchafu mwenye anachukiwa!+
2 Na akasema kwa sauti kubwa yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mukubwa ameanguka,+ na amekuwa makao ya pepo wachafu na mahali pa kujificha pa kila roho muchafu* na kila ndege muchafu mwenye anachukiwa!+