Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 1:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ ni vile Yehova* Mungu anasema, “Ule mwenye iko* na mwenye alikuwa na mwenye anakuja, Mweza-Yote.”+

  • Ufunuo 4:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Na vile viumbe ine (4) vyenye uzima, kila kimoja cha viumbe hivyo kilikuwa na mabawa sita (6); vilikuwa vimejaa macho kuvizunguka na chini yavyo.+ Na bila kuacha, muchana na usiku, vinasema: “Mutakatifu, mutakatifu, mutakatifu ni Yehova*+ Mungu, Mweza-Yote, mwenye alikuwa na mwenye iko* na mwenye anakuja.”+

  • Ufunuo 11:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, ule mwenye iko*+ na mwenye alikuwa, kwa sababu umechukua nguvu yako kubwa na umeanza kutawala ukiwa mufalme.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine