-
Luka 22:28-30Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
28 “Lakini, ninyi ndio mumeshikamana na mimi+ katika majaribu yangu;+ 29 na ninafanya agano pamoja na ninyi, kama vile Baba yangu alifanya agano pamoja na mimi, kwa ajili ya ufalme,+ 30 ili mukule na mukunywe kwenye meza yangu katika Ufalme wangu,+ na mukae kwenye viti vya ufalme+ ili kuhukumu makabila kumi na mbili (12) ya Israeli.+
-
-
Ufunuo 20:4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Na nikaona viti vya ufalme, na wale wenye kukaa kwenye viti hivyo wakapewa mamlaka ya kuhukumu. Ndiyo, niliona nafsi* za wale wenye waliuawa* kwa sababu ya ushahidi wenye walitoa juu ya Yesu na kwa sababu ya kusema juu ya Mungu, na wale wenye hawakumuabudu ule munyama wa pori ao sanamu yake na hawakupokea ile alama kwenye paji la uso wao na kwenye mukono wao.+ Na wakakuwa wazima na wakatawala wakiwa wafalme pamoja na Kristo+ kwa miaka elfu moja (1 000).
-