Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Makuhani wanapaswa kuwa watakatifu na hawapaswe kujichafua (1-9)

      • Kuhani mukubwa hapaswe kujichafua (10-15)

      • Makuhani hawapaswe kuwa na kasoro yoyote ya mwili (16-24)

Mambo ya Walawi 21:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yenye ilikufa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 19:14

Mambo ya Walawi 21:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Mambo ya Walawi 21:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:1
  • +Law. 19:27, 28

Mambo ya Walawi 21:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “chakula cha,” ni kusema, zabihu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:44
  • +Law. 18:21; 19:12; 22:32
  • +Isa 52:11; 1 Pe. 1:15, 16

Mambo ya Walawi 21:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:29
  • +Kum 24:1; Eze 44:22

Mambo ya Walawi 21:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:41
  • +Kut 28:36; Law. 11:45; 20:7, 8

Mambo ya Walawi 21:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:14

Mambo ya Walawi 21:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwenye mukono wake ulijazwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 8:12
  • +Kut 28:2; 29:29; Law. 16:32
  • +Mwa 37:34; Law. 10:6

Mambo ya Walawi 21:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kukaribia nafsi yoyote yenye imekufa.” Katika mustari huu neno la Kiebrania neʹphesh linahusiana na neno la Kiebrania lenye kumaanisha “mwenye amekufa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 6:7; 19:11, 14

Mambo ya Walawi 21:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 10:7
  • +Law. 8:12

Mambo ya Walawi 21:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 44:22

Mambo ya Walawi 21:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 9:2

Mambo ya Walawi 21:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yako.”

Mambo ya Walawi 21:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ao mwenye pua yenye kukatika.”

Mambo ya Walawi 21:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “mwenye kukonda sana na zaifu.”

  • *

    Ni ugonjwa fulani wa ngozi.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 23:1

Mambo ya Walawi 21:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

  • *

    Ao “eko.”

Mambo ya Walawi 21:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 2:10; 6:14, 16; 24:8, 9; Hes 18:9
  • +Law. 22:10; Hes 18:19

Mambo ya Walawi 21:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 30:6
  • +Kut 38:1
  • +Kut 25:8
  • +Kut 28:41

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 21:1Hes 19:14
Mambo ya walawi 21:5Kum 14:1
Mambo ya walawi 21:5Law. 19:27, 28
Mambo ya walawi 21:6Kut 29:44
Mambo ya walawi 21:6Law. 18:21; 19:12; 22:32
Mambo ya walawi 21:6Isa 52:11; 1 Pe. 1:15, 16
Mambo ya walawi 21:7Law. 19:29
Mambo ya walawi 21:7Kum 24:1; Eze 44:22
Mambo ya walawi 21:8Kut 28:41
Mambo ya walawi 21:8Kut 28:36; Law. 11:45; 20:7, 8
Mambo ya walawi 21:9Law. 20:14
Mambo ya walawi 21:10Law. 8:12
Mambo ya walawi 21:10Kut 28:2; 29:29; Law. 16:32
Mambo ya walawi 21:10Mwa 37:34; Law. 10:6
Mambo ya walawi 21:11Hes 6:7; 19:11, 14
Mambo ya walawi 21:12Law. 10:7
Mambo ya walawi 21:12Law. 8:12
Mambo ya walawi 21:13Eze 44:22
Mambo ya walawi 21:15Ezr 9:2
Mambo ya walawi 21:20Kum 23:1
Mambo ya walawi 21:22Law. 2:10; 6:14, 16; 24:8, 9; Hes 18:9
Mambo ya walawi 21:22Law. 22:10; Hes 18:19
Mambo ya walawi 21:23Kut 30:6
Mambo ya walawi 21:23Kut 38:1
Mambo ya walawi 21:23Kut 25:8
Mambo ya walawi 21:23Kut 28:41
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 21:1-24

Mambo ya Walawi

21 Yehova akaendelea kumuambia Musa: “Sema na wana wa Haruni, makuhani, na uwaambie, ‘Mutu yeyote asijichafue kwa ajili ya mutu mwenye alikufa* kati ya watu wake.+ 2 Lakini anaweza kufanya vile kwa ajili ya mutu wa karibu mwenye iko* na uhusiano wa damu pamoja naye, kwa ajili ya mama yake, baba yake, mutoto wake mwanaume, mutoto wake mwanamuke, ndugu yake, 3 na anaweza kujichafua kwa ajili ya dada yake kama ni bikira wa jamaa yake ya karibu na hajaolewa. 4 Hapaswe kujichafua na kujifanya asikuwe safi kwa ajili ya mwanamuke mwenye kuwa na bwana katikati ya watu wake. 5 Hawapaswe kujifanyia upara kwenye vichwa vyao+ ao kunyoa mwisho-mwisho wa ndevu zao ao kujikata-kata mwili.+ 6 Wanapaswa kuwa watakatifu mbele ya Mungu wao,+ na hawapaswe kuchafua jina la Mungu wao,+ kwa sababu wanatoa matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto, mukate wa* Mungu wao, na wanapaswa kuwa watakatifu.+ 7 Hawapaswe kumuoa kahaba,+ mwanamuke mwenye amechafuliwa, ao mwanamuke mwenye ndoa yake imevunjika,+ kwa sababu kuhani ni mutakatifu mbele ya Mungu wake. 8 Munapaswa kumutakasa kuhani,+ kwa sababu ni yeye anatoa mukate wa Mungu wenu. Munapaswa kumuona kuwa mutakatifu, kwa sababu mimi, Yehova, mwenye anawatakasa ninyi, niko mutakatifu.+

9 “‘Sasa kama binti ya kuhani anajichafua kwa kufanya ukahaba, anamuchafua baba yake. Anapaswa kuteketezwa ndani ya moto.+

10 “‘Kuhani mukubwa mwenye kuwa katikati ya ndugu zake, mwenye mafuta ya kutia mafuta yamemwangwa kwenye kichwa chake+ na mwenye amewekwa katika madaraka* ili avae nguo za ukuhani,+ hapaswe kuacha nywele zake katika hali ya ovyo-ovyo ao kupasua nguo zake.+ 11 Hapaswe kumukaribia mutu yeyote mwenye amekufa;*+ hapaswe hata kujichafua kwa ajili ya baba yake ao mama yake. 12 Hapaswe kutoka patakatifu na hapaswe kuchafua patakatifu pa Mungu wake,+ kwa sababu ile alama ya kuwekwa pembeni kwa ajili ya kusudi la pekee, yale mafuta ya Mungu wake ya kutia mafuta,+ yako juu yake. Mimi ni Yehova.

13 “‘Anapaswa kuoa mwanamuke mwenye kuwa bikira.+ 14 Hapaswe kuoa mwanamuke mujane, mwanamuke mwenye ndoa yake imevunjika, mwenye amechafuliwa, ao kahaba; lakini anapaswa kuchukua bikira katikati ya watu wake ili akuwe bibi yake. 15 Hapaswe kuchafua uzao wake* kati ya watu wake,+ kwa sababu mimi ni Yehova, mwenye kumutakasa.’”

16 Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumuambia: 17 “Ambia Haruni, ‘Mutu yeyote wa uzao wako* katika vizazi vyao vyote mwenye kuwa na kasoro asikaribie ili kutoa mukate wa Mungu wake. 18 Kama kuko mutu fulani mwenye kuwa na kasoro, hapaswe kukaribia: mutu mwenye kuwa kipofu ao kilema wa miguu ao mwenye kuwa na uso wenye kuharibika* ao mwenye kiungo kimoja kirefu sana, 19 mutu mwenye kuvunjika muguu ao mwenye kuvunjika mukono, 20 ao mwenye mugongo wenye kujikunja ao mutu mudogo sana,* ao mutu mwenye kasoro ya macho ao mwenye ukurutu wa ngozi* ao mwenye imba ao mwenye mapumbu yenye kuharibika.+ 21 Mutu yeyote wa uzao wa* Haruni kuhani mwenye kuwa na kasoro hatakaribia ili kutoa matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto. Kwa sababu iko* na kasoro, hapaswe kukaribia ili kutoa mukate wa Mungu wake. 22 Anaweza kula mukate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu sana+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+ 23 Lakini, hapaswe kukaribia pazia,+ na hapaswe kukaribia mazabahu,+ kwa sababu iko* na kasoro ndani yake; na hapaswe kuchafua patakatifu pangu,+ kwa kuwa mimi ni Yehova, mwenye kuwatakasa.’”+

24 Basi Musa akasema na Haruni na wana wake na Waisraeli wote.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine