Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 113
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mungu mwenye kuwa juu anamuinua mutu wa hali ya chini

        • Jina la Yehova linasifiwa milele (2)

        • Mungu anainama (6)

Zaburi 113:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Zaburi 113:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 16:36; 29:10; Zab 106:48

Zaburi 113:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 72:19; 86:9; Isa 59:19; Mal 1:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 14

Zaburi 113:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 97:9; 99:2
  • +1 Fal. 8:27

Zaburi 113:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Mwenye anakaa akiwa mufalme?”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:11

Zaburi 113:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:35; 138:6; Isa 57:15; 66:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 14

    15/6/2006, uku. 31

    15/10/2005, uku. 27

    1/11/2004, uku. 29

Zaburi 113:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “yalala.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 14

Zaburi 113:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:5; Isa 54:1

Maandiko ingine

Zb. 113:21Nya 16:36; 29:10; Zab 106:48
Zb. 113:3Zab 72:19; 86:9; Isa 59:19; Mal 1:11
Zb. 113:4Zab 97:9; 99:2
Zb. 113:41 Fal. 8:27
Zb. 113:5Kut 15:11
Zb. 113:6Zab 18:35; 138:6; Isa 57:15; 66:2
Zb. 113:71 Sa. 2:7
Zb. 113:91 Sa. 2:5; Isa 54:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 113:1-9

Zaburi

113 Mumusifu Yah!*

Mumusifu, ninyi watumishi wa Yehova,

Musifu jina la Yehova.

 2 Jina la Yehova lisifiwe

Kuanzia sasa na milele.+

 3 Kuanzia mahali jua linatokea mupaka mahali jua linashukia,

Jina la Yehova lisifiwe.+

 4 Yehova iko* juu sana ya mataifa yote;+

Utukufu wake uko juu ya mbingu.+

 5 Ni nani mwenye kuwa kama Yehova Mungu wetu,+

Mwenye anakaa* kule juu?

 6 Anainama ili aangalie mbingu na dunia,+

 7 Anainua mutu wa hali ya chini kutoka katika mavumbi.

Anainua maskini kutoka kwenye rundo la majivu*+

 8 Ili kumufanya akae pamoja na watu wenye vyeo,

Pamoja na watu wenye vyeo kati ya watu wake.

 9 Anapatia makao mwanamuke tasa

Kama mama mwenye furaha mwenye kuwa na watoto.*+

Mumusifu Yah!*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine