Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Muabudu mahali kwenye Mungu anachagua (1-14)

      • Wanaruhusiwa kula nyama lakini hapana damu (15-28)

      • Usinaswe katika mutego wa miungu mingine (29-32)

Kumbukumbu la Torati 12:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:13

Kumbukumbu la Torati 12:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:24
  • +Kum 7:25
  • +Kut 23:13; Yosh. 23:7

Kumbukumbu la Torati 12:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:3; Kum 12:31

Kumbukumbu la Torati 12:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 7:12

Kumbukumbu la Torati 12:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:3
  • +Kum 14:22
  • +Hes 18:19; Kum 12:11
  • +1Nya 29:9; Ezr 2:68
  • +Kum 12:17; 15:19

Kumbukumbu la Torati 12:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 15:19, 20
  • +Law. 23:40; Kum 12:12, 18; 14:23, 26; Zab 32:11; 100:2; Flp 4:4

Kumbukumbu la Torati 12:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “jambo lenye anafikiri kuwa sawa.”

Kumbukumbu la Torati 12:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:56; 1Nya 23:25

Kumbukumbu la Torati 12:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 3:17
  • +Kum 33:28; 1 Fal. 4:25

Kumbukumbu la Torati 12:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 16:2; 26:2
  • +Kum 14:22, 23

Kumbukumbu la Torati 12:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “milango yenu mikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:26; 1 Fal. 8:66; Ne 8:10
  • +Hes 18:20, 24; Kum 10:9; 14:28, 29; Yosh. 13:14

Kumbukumbu la Torati 12:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 17:3, 4; 1 Fal. 12:28

Kumbukumbu la Torati 12:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 7:12

Kumbukumbu la Torati 12:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “katika tamaa yote ya nafsi yako.”

  • *

    Tnn., “ndani ya milango yako yote mikubwa.”

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:21

Kumbukumbu la Torati 12:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 9:4; Law. 7:26; 17:10; Mdo 15:20, 29
  • +Law. 17:13; Kum 15:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2000, uku. 30-31

Kumbukumbu la Torati 12:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ndani ya milango yako mikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:22, 23

Kumbukumbu la Torati 12:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “milango yako mikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:11; 14:26

Kumbukumbu la Torati 12:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 18:21; Kum 14:27; 2Nya 31:4; Ne 10:38, 39; Mal 3:8

Kumbukumbu la Torati 12:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako inatamani.”

  • *

    Ao “katika tamaa yote ya nafsi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:21
  • +Mwa 15:18; Kut 34:24; Kum 11:24
  • +Law. 11:2-4

Kumbukumbu la Torati 12:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “milango yako mikubwa.”

  • *

    Ao “katika tamaa yote ya nafsi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:23; 2Nya 7:12

Kumbukumbu la Torati 12:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 14:4, 5

Kumbukumbu la Torati 12:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi.”

  • *

    Ao “nafsi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 3:17; Kum 12:16
  • +Mwa 9:4; Law. 17:11, 14

Kumbukumbu la Torati 12:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 17:13; Kum 15:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2000, uku. 30-31

Kumbukumbu la Torati 12:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 17:11
  • +Law. 4:29, 30

Kumbukumbu la Torati 12:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:23; Zab 44:2; 78:55

Kumbukumbu la Torati 12:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:16; Zab 106:36; Eze 20:28

Kumbukumbu la Torati 12:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:3, 21; 20:2; Kum 18:10-12; Yer 32:35

Kumbukumbu la Torati 12:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 22:5
  • +Kum 4:2; Yosh. 1:7

Maandiko ingine

Kum. 12:2Kut 34:13
Kum. 12:3Kut 23:24
Kum. 12:3Kum 7:25
Kum. 12:3Kut 23:13; Yosh. 23:7
Kum. 12:4Law. 18:3; Kum 12:31
Kum. 12:52Nya 7:12
Kum. 12:6Law. 1:3
Kum. 12:6Kum 14:22
Kum. 12:6Hes 18:19; Kum 12:11
Kum. 12:61Nya 29:9; Ezr 2:68
Kum. 12:6Kum 12:17; 15:19
Kum. 12:7Kum 15:19, 20
Kum. 12:7Law. 23:40; Kum 12:12, 18; 14:23, 26; Zab 32:11; 100:2; Flp 4:4
Kum. 12:91 Fal. 8:56; 1Nya 23:25
Kum. 12:10Yosh. 3:17
Kum. 12:10Kum 33:28; 1 Fal. 4:25
Kum. 12:11Kum 16:2; 26:2
Kum. 12:11Kum 14:22, 23
Kum. 12:12Kum 14:26; 1 Fal. 8:66; Ne 8:10
Kum. 12:12Hes 18:20, 24; Kum 10:9; 14:28, 29; Yosh. 13:14
Kum. 12:13Law. 17:3, 4; 1 Fal. 12:28
Kum. 12:142Nya 7:12
Kum. 12:15Kum 12:21
Kum. 12:16Mwa 9:4; Law. 7:26; 17:10; Mdo 15:20, 29
Kum. 12:16Law. 17:13; Kum 15:23
Kum. 12:17Kum 14:22, 23
Kum. 12:18Kum 12:11; 14:26
Kum. 12:19Hes 18:21; Kum 14:27; 2Nya 31:4; Ne 10:38, 39; Mal 3:8
Kum. 12:201 Fal. 4:21
Kum. 12:20Mwa 15:18; Kut 34:24; Kum 11:24
Kum. 12:20Law. 11:2-4
Kum. 12:21Kum 14:23; 2Nya 7:12
Kum. 12:22Kum 14:4, 5
Kum. 12:23Law. 3:17; Kum 12:16
Kum. 12:23Mwa 9:4; Law. 17:11, 14
Kum. 12:24Law. 17:13; Kum 15:23
Kum. 12:27Law. 17:11
Kum. 12:27Law. 4:29, 30
Kum. 12:29Kut 23:23; Zab 44:2; 78:55
Kum. 12:30Kum 7:16; Zab 106:36; Eze 20:28
Kum. 12:31Law. 18:3, 21; 20:2; Kum 18:10-12; Yer 32:35
Kum. 12:32Yosh. 22:5
Kum. 12:32Kum 4:2; Yosh. 1:7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 12:1-32

Kumbukumbu la Torati

12 “Haya ndiyo masharti na maamuzi ya hukumu yenye munapaswa kuwa waangalifu kufuata sikuzote zenye mutaishi katika inchi yenye Yehova Mungu wa mababu zenu atawapatia muiriti. 2 Mutaharibu kabisa kila mahali kwenye mataifa yenye mutakamata inchi yao yametumikia miungu yao,+ ikuwe juu ya milima mirefu ao juu ya vilima ao chini ya muti wowote wenye majani mengi. 3 Mutabomoa mazabahu zao, mutavunja-vunja nguzo zao takatifu,+ mutateketeza miti yao mitakatifu* ndani ya moto, na kukata-kata sanamu za kuchongwa za miungu yao,+ na kuondoa kabisa majina ya miungu yao mahali pale.+

4 “Hamupaswe kumuabudu Yehova Mungu wenu kwa njia hiyo.+ 5 Lakini, mumutafute Yehova Mungu wenu kila mahali kwenye atachagua kuweka jina lake na mahali kwenye atakaa kati ya makabila yenu yote, na muende pale.+ 6 Ni pale mutapeleka matoleo yenu ya kuteketezwa,+ zabihu zenu, sehemu zenu za kumi,+ muchango kutoka katika mukono wenu,+ matoleo yenu ya naziri, matoleo yenu ya kujipendea,+ na muzaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na kundi lenu.+ 7 Ninyi na watu wa nyumba zenu munapaswa kukulia pale mbele ya Yehova Mungu wenu+ na kushangilia katika kazi zenu zote,+ kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki.

8 “Hamupaswe kufanya kama vile tunafanya hapa leo, kila mutu anafanya jambo lenye anaona kuwa sawa mbele ya macho yake mwenyewe,* 9 kwa sababu bado hamujafika mahali pa kupumuzikia+ na katika uriti wenye Yehova Mungu wako anakupatia. 10 Wakati mutavuka Yordani+ na kuishi katika inchi yenye Yehova Mungu wenu anawapatia ili muiriti, hakika atawapatia pumuziko kutokana na maadui wenu wote wenye kuwazunguka, na mutakaa kwa usalama.+ 11 Mutaleta vitu vyote vyenye ninawaamuru mahali kwenye Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae+⁠—​matoleo yenu ya kuteketezwa, zabihu zenu, sehemu zenu za kumi,+ muchango kutoka katika mukono wenu, na kila toleo la naziri lenye munafanya naziri kwa Yehova. 12 Mutashangilia mbele ya Yehova Mungu wenu,+ ninyi na watoto wenu wanaume, watoto wenu wanamuke, watumwa wenu wanaume na wanamuke, na Mulawi mwenye kuwa ndani ya miji yenu,* kwa sababu hakupewa fungu wala uriti pamoja na ninyi.+ 13 Ukuwe muangalifu ili usitoe matoleo yako ya kuteketezwa mahali pengine popote penye utaona.+ 14 Utatoa matoleo yako ya kuteketezwa mahali tu kwenye Yehova atachagua katika moja ya maeneo ya makabila yako, na ni pale utafanya kila jambo lenye ninakuamuru.+

15 “Lakini kila wakati wenye unatamani,* unaweza kuchinja na kula nyama,+ kulingana na baraka yenye Yehova Mungu wako amekupatia katika miji yako yote.* Mutu mwenye haiko safi na mutu mwenye iko* safi anaweza kuikula, kama vile munakula swala ao paa. 16 Lakini hamupaswe kula damu;+ utaimwanga kwenye udongo kama maji.+ 17 Hautaruhusiwa kula ndani ya miji yako* sehemu moja ya kumi (1/10) ya nafaka yako, divai yako mupya, mafuta yako, muzaliwa wa kwanza wa mifugo yako na wa kundi lako,+ matoleo yako yoyote ya naziri yenye unafanyia naziri, matoleo yako ya kujipendea, ao muchango kutoka katika mukono wako. 18 Utakula vitu hivyo mbele ya Yehova Mungu wako mahali kwenye Yehova Mungu wako atachagua+⁠—​wewe na mutoto wako mwanaume, mutoto wako mwanamuke, mutumishi wako mwanaume na mwanamuke, na Mulawi mwenye kuwa ndani ya miji yako;* na utashangilia mbele ya Yehova Mungu wako katika kazi zako zote. 19 Ukuwe muangalifu ili usimuzarau Mulawi+ siku zote zenye utaishi katika inchi yako.

20 “Wakati Yehova Mungu wako atapanua eneo lako,+ kama vile amekuahidi,+ na useme, ‘Ninataka kula nyama,’ kwa sababu unatamani* kula nyama, unaweza kula nyama wakati wowote wenye unaitamani.*+ 21 Kama mahali kwenye Yehova Mungu wako anachagua kuweka jina lake+ ni mbali na wewe, basi unapaswa kuchinja wanyama fulani katika mifugo yako ao wanyama fulani katika kundi lako lenye Yehova amekupatia, kama vile nimekuamuru, na unapaswa kula ndani ya miji yako* wakati wowote wenye unaitamani.* 22 Unaweza kuikula kama vile unakula swala na paa;+ mutu mwenye haiko safi na mutu mwenye iko* safi anaweza kuikula. 23 Lakini tu uazimie kabisa kuepuka kula damu,+ kwa sababu damu ndiyo uzima,*+ na haupaswe kula uzima* pamoja na nyama. 24 Haupaswe kuikula. Utaimwanga kwenye udongo kama maji.+ 25 Haupaswe kuikula, ili mambo yakuendee muzuri wewe na watoto wako kisha wewe, kwa sababu unafanya mambo yenye kuwa sawa mbele ya macho ya Yehova. 26 Unapaswa kukamata tu vitu vitakatifu vyenye ni vyako na matoleo yako ya naziri wakati unakuja mahali kwenye Yehova atachagua. 27 Utatoa kule matoleo yako ya kuteketezwa, nyama na damu,+ juu ya mazabahu ya Yehova Mungu wako, na damu ya zabihu zako inapaswa kumwangwa kwenye mazabahu+ ya Yehova Mungu wako, lakini unaweza kula nyama.

28 “Ukuwe muangalifu kutii maneno haya yote yenye ninakuamuru, ili mambo yakuendee muzuri sikuzote wewe na wana wako kisha wewe, kwa sababu unafanya mambo mema na yenye kuwa sawa mbele ya macho ya Yehova Mungu wako.

29 “Wakati Yehova Mungu wako ataharibu mataifa yenye utakamata inchi yao,+ na wakati utaishi katika inchi yao, 30 ukuwe muangalifu ili usinaswe katika mutego kisha wao kuharibiwa mbele yako. Usiulize kuhusu miungu yao, na kusema: ‘Namna gani mataifa haya yalizoea kutumikia miungu yao? Mimi pia nitafanya vilevile.’+ 31 Haupaswe kumufanyia vile Yehova Mungu wako, kwa sababu mataifa hayo yanafanyia miungu yao kila jambo lenye kuchukiza lenye Yehova anachukia, hata yanateketeza watoto wao wanaume na watoto wao wanamuke ndani ya moto kwa ajili ya miungu yao.+ 32 Unapaswa kutenda kwa uangalifu kila neno lenye ninakuamuru.+ Haupaswe kuongeza kitu juu yake wala kuondoa kitu juu yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine