Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto

      • Mashitaka ya kisheria kati ya ndugu Wakristo (1-8)

      • Wale wenye hawatariti Ufalme (9-11)

      • Mumutukuze Mungu katika mwili wenu (12-20)

        • “Mukimbie uasherati!” (18)

1 Wakorinto 6:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 18:15-17

1 Wakorinto 6:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 2:26, 27; 20:4

1 Wakorinto 6:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 16:20

1 Wakorinto 6:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 18:17

1 Wakorinto 6:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:39, 40

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2002, uku. 6

1 Wakorinto 6:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Musipotoshwe.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno, “Uasherati.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 5:5; Ufu 22:15
  • +Ufu 21:8
  • +Kol 3:5
  • +Ebr 13:4
  • +Rom. 1:27
  • +1 Tim. 1:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2008, uku. 21-22

1 Wakorinto 6:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mutu mwenye kutumia maneno ya kutukana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 5:11
  • +Kum 21:20, 21; Mez. 23:20; 1 Pe. 4:3
  • +Ebr 12:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2008, uku. 21-22

1 Wakorinto 6:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 22:16; Ebr 10:22
  • +Efe 5:25, 26; 2 Tes. 2:13
  • +Rom. 5:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2010, uku. 9-10

    15/4/2010, uku. 9

1 Wakorinto 6:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ni halali.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 10:23

1 Wakorinto 6:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki por·neiʹa. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:17
  • +1 Tes. 4:3

1 Wakorinto 6:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:24
  • +2 Kor. 4:14
  • +Rom. 8:11; Efe 1:19, 20

1 Wakorinto 6:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:4, 5; 1 Kor. 12:18, 27; Efe 4:15; 5:29, 30

1 Wakorinto 6:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 2:24; Mt 19:4, 5

1 Wakorinto 6:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 17:20, 21

1 Wakorinto 6:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki por·neiʹa. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 39:10-12; 1 Tes. 4:3
  • +Rom. 1:24, 27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    9/2013, uku. 5

    10/2009, uku. 29

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2008, uku. 27

    15/6/2008, uku. 10

    15/2/2004, uku. 12-14

1 Wakorinto 6:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 6:16
  • +1 Kor. 3:16
  • +Rom. 14:8

1 Wakorinto 6:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 7:23; Ebr 9:12; 1 Pe. 1:18, 19
  • +Mt 5:16
  • +Rom. 12:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2005,

    uku. 15-20

Maandiko ingine

1 Wakorintho 6:1Mt 18:15-17
1 Wakorintho 6:2Ufu 2:26, 27; 20:4
1 Wakorintho 6:3Rom. 16:20
1 Wakorintho 6:4Mt 18:17
1 Wakorintho 6:7Mt 5:39, 40
1 Wakorintho 6:9Efe 5:5; Ufu 22:15
1 Wakorintho 6:9Ufu 21:8
1 Wakorintho 6:9Kol 3:5
1 Wakorintho 6:9Ebr 13:4
1 Wakorintho 6:9Rom. 1:27
1 Wakorintho 6:91 Tim. 1:9, 10
1 Wakorintho 6:101 Kor. 5:11
1 Wakorintho 6:10Kum 21:20, 21; Mez. 23:20; 1 Pe. 4:3
1 Wakorintho 6:10Ebr 12:14
1 Wakorintho 6:11Mdo 22:16; Ebr 10:22
1 Wakorintho 6:11Efe 5:25, 26; 2 Tes. 2:13
1 Wakorintho 6:11Rom. 5:18
1 Wakorintho 6:121 Kor. 10:23
1 Wakorintho 6:13Rom. 14:17
1 Wakorintho 6:131 Tes. 4:3
1 Wakorintho 6:14Mdo 2:24
1 Wakorintho 6:142 Kor. 4:14
1 Wakorintho 6:14Rom. 8:11; Efe 1:19, 20
1 Wakorintho 6:15Rom. 12:4, 5; 1 Kor. 12:18, 27; Efe 4:15; 5:29, 30
1 Wakorintho 6:16Mwa 2:24; Mt 19:4, 5
1 Wakorintho 6:17Yoh 17:20, 21
1 Wakorintho 6:18Mwa 39:10-12; 1 Tes. 4:3
1 Wakorintho 6:18Rom. 1:24, 27
1 Wakorintho 6:192 Kor. 6:16
1 Wakorintho 6:191 Kor. 3:16
1 Wakorintho 6:19Rom. 14:8
1 Wakorintho 6:201 Kor. 7:23; Ebr 9:12; 1 Pe. 1:18, 19
1 Wakorintho 6:20Mt 5:16
1 Wakorintho 6:20Rom. 12:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wakorinto 6:1-20

Ya Kwanza kwa Wakorinto

6 Je, kuko mutu yeyote kati yenu mwenye kuwa na ugomvi na mwenzake,+ na anasubutu kuenda kwenye tribinali mbele ya watu wenye hawako wenye haki, na hapana mbele ya watakatifu? 2 Ao je, hamujue kama watakatifu watahukumu ulimwengu?+ Na kama ninyi mutahukumu ulimwengu, je, hamuna uwezo wa kuamua mambo ya kidogo sana? 3 Je, hamujue kama tutahukumu malaika?+ Basi, sababu gani tusihukumu mambo ya maisha haya? 4 Basi, kama muko na mambo ya maisha haya yenye yanapaswa kuamuliwa,+ je, munaweka watu wenye kuzarauliwa na kutaniko kuwa waamuzi? 5 Ninasema ili kuwapatisha ninyi haya. Je, hakuna hata mutu mumoja mwenye hekima katikati yenu mwenye anaweza kuhukumu kati ya ndugu zake? 6 Tofauti na hilo, ndugu anaenda kwenye tribinali ili kumushitaki ndugu, na tena mbele ya wenye hawako waamini!

7 Kwa kweli, tayari mumeshindwa wakati munakuwa na mashitaka ya kisheria mumoja na mwenzake. Tofauti na hilo, sababu gani musikubali wengine wawakosee ninyi?+ Na tena, sababu gani hamukubali wengine wawapunje ninyi? 8 Tofauti na hilo, munakosea na munapunja, tena ndugu zenu!

9 Ao je, hamujue kama watu wenye hawako wenye haki hawatariti Ufalme wa Mungu?+ Musidanganywe.* Waasherati,*+ waabudu-sanamu,+ wazinifu,+ wanaume wenye wanakubali matendo ya kulalwa na wanaume wenzao,+ wanaume wenye kulala na wanaume wenzao,+ 10 wezi, watu wenye kuwa na pupa,+ walevi,+ watukanaji,* wanyanganyi hawatariti Ufalme wa Mungu.+ 11 Na bado wengine wenu mulikuwa vile. Lakini mumesafishwa mukakuwa safi:+ mumetakaswa;+ mumetangazwa kuwa wenye haki+ katika jina la Bwana Yesu Kristo na kwa roho ya Mungu wetu.

12 Mambo yote yanaruhusiwa* kwangu, lakini haiko mambo yote ndiyo yenye faida.+ Mambo yote yanaruhusiwa kwangu, lakini sitajiacha nitawaliwe na kitu chochote. 13 Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa ajili ya chakula, lakini Mungu atafanya vyote viwili vikuwe bure.+ Mwili hauko kwa ajili ya uasherati,* lakini ni kwa ajili ya Bwana,+ na Bwana ni kwa ajili ya mwili. 14 Lakini Mungu alimufufua Bwana+ na pia atatufufua sisi kutoka kwenye kifo+ kupitia nguvu zake.+

15 Je, hamujue kwamba miili yenu ni viungo vya Kristo?+ Basi, je, nichukue viungo vya Kristo na kuviunganisha na kahaba? Hapana kabisa! 16 Je, hamujue kama mutu yeyote mwenye ameungana na kahaba ni mwili mumoja naye? Kwa maana “hao wawili,” yeye anasema, “watakuwa mwili mumoja.”+ 17 Lakini mutu yeyote mwenye ameungana na Bwana ni mumoja naye katika roho.+ 18 Mukimbie uasherati!*+ Zambi ingine yoyote yenye mutu anaweza kufanya iko inje ya mwili wake, lakini mutu yeyote mwenye kuwa na mazoea ya kufanya uasherati anatendea mwili wake mwenyewe zambi.+ 19 Je, hamujue kama mwili wenu ni hekalu+ la roho takatifu ndani yenu, yenye mulipokea kutoka kwa Mungu?+ Pia, ninyi hamuko mali yenu wenyewe,+ 20 kwa maana mulinunuliwa kwa bei.+ Basi, mumutukuze Mungu+ katika mwili wenu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine