Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Toleo la ushirika (1-17)

        • Musikule mafuta wala damu (17)

Mambo ya Walawi 3:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “zabihu ya matoleo ya amani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 22:21; Hes 6:13, 14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2000, uku. 15-16

    “Kila Andiko,” uku. 27

Mambo ya Walawi 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Mambo ya Walawi 3:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:29-31
  • +Kut 29:13; Law. 7:23-25; 1 Fal. 8:64

Mambo ya Walawi 3:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:1-4

Mambo ya Walawi 3:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya kumutuliza.” Tnn., “ya kumupumuzisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:12
  • +Law. 4:29, 31

Mambo ya Walawi 3:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 6:13, 14

Mambo ya Walawi 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Mambo ya Walawi 3:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:22; Law. 9:18-20; 2Nya 7:7

Mambo ya Walawi 3:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:8, 9; 9:10

Mambo ya Walawi 3:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mukate,” ni kusema, fungu la Mungu la zabihu ya ushirika.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:31

Mambo ya Walawi 3:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Mambo ya Walawi 3:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:24, 26

Mambo ya Walawi 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mukate,” ni kusema, fungu la Mungu la zabihu ya ushirika.

  • *

    Ao “ya kutuliza.” Tnn., “ya kupumuzisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:23; 1 Sa. 2:15-17

Mambo ya Walawi 3:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 9:4; Law. 17:10, 13; Kum 12:23; Mdo 15:20, 29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 32

    15/5/2004, uku. 22

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 3:1Law. 22:21; Hes 6:13, 14
Mambo ya walawi 3:3Law. 7:29-31
Mambo ya walawi 3:3Kut 29:13; Law. 7:23-25; 1 Fal. 8:64
Mambo ya walawi 3:4Law. 7:1-4
Mambo ya walawi 3:5Law. 6:12
Mambo ya walawi 3:5Law. 4:29, 31
Mambo ya walawi 3:6Hes 6:13, 14
Mambo ya walawi 3:9Kut 29:22; Law. 9:18-20; 2Nya 7:7
Mambo ya walawi 3:10Law. 4:8, 9; 9:10
Mambo ya walawi 3:11Law. 4:31
Mambo ya walawi 3:14Law. 4:24, 26
Mambo ya walawi 3:16Law. 7:23; 1 Sa. 2:15-17
Mambo ya walawi 3:17Mwa 9:4; Law. 17:10, 13; Kum 12:23; Mdo 15:20, 29
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 3:1-17

Mambo ya Walawi

3 “‘Kama toleo lake ni zabihu ya ushirika*+ na kama linatoka katika mifugo, ikuwe munyama dume ao dike, anapaswa kumutolea Yehova munyama mwenye hana kasoro. 2 Anapaswa kuweka mukono wake juu ya kichwa cha toleo lake, na litachinjwa kwenye muingilio wa hema ya mukutano; na wana wa Haruni, makuhani, watanyunyiza* damu yake kwenye pande zote za mazabahu. 3 Atatoa sehemu ya zabihu hiyo ya ushirika kuwa toleo lenye linatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto:+ mafuta+ yenye kufunika matumbotumbo, mafuta yote yenye kuzunguka matumbotumbo, 4 na figo zake mbili pamoja na mafuta yake yenye kuwa karibu na viuno. Ataondoa pia mafuta yenye kuwa juu ya maini pamoja na figo.+ 5 Wana wa Haruni watachoma vitu hivyo ili vitoe moshi kwenye mazabahu juu ya toleo la kuteketezwa lenye kuwa juu ya kuni zenye kuwa juu ya moto;+ ni toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto lenye harufu ya kumupendeza* Yehova.+

6 “‘Kama toleo lenye anamutolea Yehova kuwa zabihu ya ushirika linatoka katika kundi, atatoa munyama dume ao dike mwenye hana kasoro.+ 7 Kama anatoa kondoo-dume mudogo kuwa toleo lake, basi atamutoa mbele ya Yehova. 8 Ataweka mukono wake juu ya kichwa cha toleo lake, na litachinjwa mbele ya hema ya mukutano. Wana wa Haruni, makuhani, watanyunyiza* damu yake kwenye pande zote za mazabahu. 9 Atatoa mafuta kutoka katika zabihu ya ushirika ili kuwa toleo lenye linatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+ Ataondoa mukia wote wenye mafuta karibu na uti wa mugongo, mafuta yenye kufunika matumbotumbo, mafuta yote yenye kuzunguka matumbotumbo, 10 na figo zake mbili pamoja na mafuta yake yenye kuwa karibu na viuno. Ataondoa pia mafuta yenye kuwa juu ya maini pamoja na figo.+ 11 Na kuhani atachoma vitu hivyo ili vitoe moshi juu ya mazabahu kama chakula,* ni toleo lenye linatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+

12 “‘Kama toleo lake ni mbuzi, basi atamutoa mbele ya Yehova. 13 Ataweka mukono wake juu ya kichwa cha mbuzi huyo, na atachinjwa mbele ya hema ya mukutano, na wana wa Haruni watanyunyiza* damu yake kwenye pande zote za mazabahu. 14 Sehemu yenye atamutolea Yehova kwa njia ya moto ni mafuta yenye kufunika matumbotumbo, mafuta yote yenye kuzunguka matumbotumbo,+ 15 na figo zake mbili na mafuta yake yenye kuwa karibu na viuno. Atatoa pia mafuta yenye kuwa juu ya maini pamoja na figo. 16 Kuhani atachoma vitu hivyo ili vitoe moshi juu ya mazabahu kama chakula,* ni toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto lenye harufu ya muzuri.* Mafuta yote ni ya Yehova.+

17 “‘Ni sheria ya kudumu kwa ajili ya vizazi vyenu, katika makao yenu yote: Hamupaswe kula mafuta yoyote wala damu yoyote.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine