Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Barnaba na Sauli wanatumwa wakiwa wamisionere (1-3)

      • Utumishi katika Kipro (4-12)

      • Hotuba ya Paulo kule Antiokia ya Pisidia (13-41)

      • Amri ya kiunabii ya kugeuka ili kuendea mataifa (42-52)

Matendo 13:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 12:28; Efe 4:11, 12

Matendo 13:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Ao “utumishi wa mbele ya watu wote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15
  • +1 Tim. 2:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 85-86

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2000, uku. 12

Matendo 13:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 86

Matendo 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 86-87

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2004, uku. 19-20

Matendo 13:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “musaidizi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 12:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2010, uku. 7

    1/7/2004, uku. 20-21

    Kutoa Ushahidi, uku. 86-87

Matendo 13:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 86-87

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2004, uku. 21-22

Matendo 13:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 87

Matendo 13:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 87-88

Matendo 13:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 87-88

Matendo 13:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 8:44

Matendo 13:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 87-88

Matendo 13:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Matendo 13:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 12:12
  • +Mdo 15:37, 38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2010, uku. 7

    Kutoa Ushahidi, uku. 88-89

Matendo 13:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 17:1, 2; 18:4; 19:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 89

Matendo 13:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 15:21

Matendo 13:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 90

Matendo 13:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:1, 6; Kum 7:6, 8

Matendo 13:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 16:35; Hes 14:33, 34

Matendo 13:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:1; Yosh. 14:1, 2

Matendo 13:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:16; 1 Sa. 3:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 47, 294-295

Matendo 13:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 8:4, 5
  • +1 Sa. 10:21; 11:15

Matendo 13:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:12, 13; Zab 89:20
  • +1 Sa. 16:1
  • +1 Sa. 13:13, 14

Matendo 13:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:12; Isa 11:1; Lu 1:31, 32, 68, 69

Matendo 13:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 3:1, 6

Matendo 13:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 3:11; Lu 3:16

Matendo 13:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:5, 6; Lu 24:47, 48

Matendo 13:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 53:7, 8

Matendo 13:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 26:59, 60; Lu 23:13-15; Yoh 19:4
  • +Mt 27:22, 23; Yoh 19:15

Matendo 13:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kaburi la ukumbusho.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 27:59, 60; Yoh 19:40-42

Matendo 13:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 28:5, 6; Mdo 2:24

Matendo 13:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 28:16; Mdo 1:3; 3:15; 1 Kor. 15:4-7

Matendo 13:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 1:4
  • +Zab 2:7; Ebr 1:5; 5:5

Matendo 13:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yenye kutegemeka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 55:3

Matendo 13:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 16:10; Mdo 2:31

Matendo 13:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “alifanya mapenzi ya Mungu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:29

Matendo 13:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:27

Matendo 13:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 24:46, 47; Mdo 5:31; 10:43

Matendo 13:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 10:1
  • +Isa 53:11; Rom. 3:28; 5:18; 8:3; Ebr 7:19

Matendo 13:40

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 163

Matendo 13:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hab 1:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 13

    “Kila Andiko,” uku. 163

Matendo 13:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 11:23; 14:21, 22

Matendo 13:44

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Matendo 13:45

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 14:1, 2; 17:4, 5

Matendo 13:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:5, 6; Mdo 3:25, 26; Rom. 1:16
  • +Lu 2:29-32; Mdo 18:5, 6; Rom. 10:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 90-92

Matendo 13:47

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 49:6; Mdo 1:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Unabii wa Isaya 2, uku. 141-142

Matendo 13:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2000, uku. 11-12

Matendo 13:49

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Matendo 13:50

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 23:34; Mdo 14:2, 19; 17:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 91

Matendo 13:51

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:14; Lu 9:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 92, 93-95

Matendo 13:52

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:12

Maandiko ingine

Mdo. 13:11 Kor. 12:28; Efe 4:11, 12
Mdo. 13:2Mdo 9:15
Mdo. 13:21 Tim. 2:7
Mdo. 13:5Mdo 12:25
Mdo. 13:10Yoh 8:44
Mdo. 13:13Mdo 12:12
Mdo. 13:13Mdo 15:37, 38
Mdo. 13:14Mdo 17:1, 2; 18:4; 19:8
Mdo. 13:15Mdo 15:21
Mdo. 13:17Kut 6:1, 6; Kum 7:6, 8
Mdo. 13:18Kut 16:35; Hes 14:33, 34
Mdo. 13:19Kum 7:1; Yosh. 14:1, 2
Mdo. 13:20Amu 2:16; 1 Sa. 3:20
Mdo. 13:211 Sa. 8:4, 5
Mdo. 13:211 Sa. 10:21; 11:15
Mdo. 13:221 Sa. 16:12, 13; Zab 89:20
Mdo. 13:221 Sa. 16:1
Mdo. 13:221 Sa. 13:13, 14
Mdo. 13:232 Sa. 7:12; Isa 11:1; Lu 1:31, 32, 68, 69
Mdo. 13:24Mt 3:1, 6
Mdo. 13:25Mt 3:11; Lu 3:16
Mdo. 13:26Mt 10:5, 6; Lu 24:47, 48
Mdo. 13:27Isa 53:7, 8
Mdo. 13:28Mt 26:59, 60; Lu 23:13-15; Yoh 19:4
Mdo. 13:28Mt 27:22, 23; Yoh 19:15
Mdo. 13:29Mt 27:59, 60; Yoh 19:40-42
Mdo. 13:30Mt 28:5, 6; Mdo 2:24
Mdo. 13:31Mt 28:16; Mdo 1:3; 3:15; 1 Kor. 15:4-7
Mdo. 13:33Rom. 1:4
Mdo. 13:33Zab 2:7; Ebr 1:5; 5:5
Mdo. 13:34Isa 55:3
Mdo. 13:35Zab 16:10; Mdo 2:31
Mdo. 13:36Mdo 2:29
Mdo. 13:37Mdo 2:27
Mdo. 13:38Lu 24:46, 47; Mdo 5:31; 10:43
Mdo. 13:39Ebr 10:1
Mdo. 13:39Isa 53:11; Rom. 3:28; 5:18; 8:3; Ebr 7:19
Mdo. 13:41Hab 1:5
Mdo. 13:43Mdo 11:23; 14:21, 22
Mdo. 13:45Mdo 14:1, 2; 17:4, 5
Mdo. 13:46Mt 10:5, 6; Mdo 3:25, 26; Rom. 1:16
Mdo. 13:46Lu 2:29-32; Mdo 18:5, 6; Rom. 10:19
Mdo. 13:47Isa 49:6; Mdo 1:8
Mdo. 13:50Mt 23:34; Mdo 14:2, 19; 17:5
Mdo. 13:51Mt 10:14; Lu 9:5
Mdo. 13:52Mt 5:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 13:1-52

Matendo ya Mitume

13 Sasa kule Antiokia kulikuwa manabii na walimu katika kutaniko la mahali pale:+ Barnaba, Simioni mwenye aliitwa Nigeri, Lukio wa Kirene, Manaeni mwenye alipata elimu pamoja na Herode mutawala wa wilaya, na Sauli. 2 Wakati walikuwa wanamutolea Yehova* utumishi* na kufunga, roho takatifu ikasema: “Muweke pembeni Barnaba na Sauli+ kwa ajili yangu juu ya kazi yenye nimewaitia.”+ 3 Basi, kisha kufunga na kusali, wakaweka mikono juu yao, na wakawaacha waende.

4 Basi watu hao, wenye walitumwa na roho takatifu, wakaenda Seleukia, na kutoka kule wakasafiri kwa mashua* na kuenda Kipro. 5 Wakati walifika Salami, wakaanza kutangaza neno la Mungu katika masinagogi ya Wayahudi. Walikuwa pia pamoja na Yohana, na alikuwa mutumishi* wao.+

6 Wakati walikuwa wamepita katika kisiwa chote mupaka Pafo, wakakutana na mwanaume Muyahudi mwenye kuitwa Bar-Yesu, mwenye alikuwa mulozi na nabii wa uongo. 7 Alikuwa pamoja na gavana wa jimbo Sergio Paulo, mwanaume mwenye akili. Akamuita Barnaba na Sauli, kwa kuwa alitamani sana kusikia neno la Mungu. 8 Lakini Elima mulozi (kwa maana ni vile jina lake linatafsiriwa) akaanza kuwapinga, akijaribu kumuzuia ule gavana wa jimbo asikuwe muamini. 9 Kisha Sauli, mwenye kuitwa pia Paulo, akiwa amejaa roho takatifu, akamukazia macho 10 na kumuambia: “Wewe mutu mwenye kujaa kila namna ya upunjaji na kila namna ya ubaya, wewe mwana wa Ibilisi,+ wewe adui ya kila jambo lenye haki, je, hautaacha kupotosha njia za Yehova* zenye kuwa sawa? 11 Angalia! mukono wa Yehova* uko juu yako, na utakuwa kipofu na hautaona mwangaza wa jua kwa kipindi fulani.” Mara moja kunguku nzito na giza vikamuangukia, na akaanza kuzunguka akitafuta mutu wa kumukamata kwenye mukono ili amuongoze. 12 Kisha, wakati ule gavana wa jimbo aliona jambo lenye lilikuwa limefanyika, akakuwa muamini kwa maana alishangazwa na fundisho la Yehova.*

13 Sasa Paulo na wenzake wakasafiri katika bahari kutoka Pafo na wakafika Perga kule Pamfilia. Lakini Yohana+ akawaacha na kurudia Yerusalemu.+ 14 Lakini, wakaendelea na safari kutoka Perga na kuja Antiokia katika Pisidia. Na wakaingia katika sinagogi+ siku ya Sabato na wakakaa. 15 Kisha Sheria+ na Manabii kusomwa mbele ya watu wote, maofisa-wasimamizi wa sinagogi wakatuma watu kwao, wakasema: “Wanaume, ndugu, kama muko na neno lolote la kutia watu moyo, muliseme.” 16 Basi Paulo akasimama, akafanya alama kwa mukono wake, akasema:

“Wanaume, Waisraeli na ninyi wengine wenye kumuogopa Mungu, musikilize. 17 Mungu wa watu hawa Israeli alichagua mababu zetu, na akainua watu hao wakati walikuwa wanaishi wakiwa wageni katika inchi ya Misri, na akawatosha kule kwa mukono wenye kuinuliwa.+ 18 Na kwa kipindi cha karibu miaka makumi ine (40), akavumilia mwenendo wao katika jangwa.+ 19 Kisha kuharibu mataifa saba (7) katika inchi ya Kanaani, akawapatia inchi yao ikuwe uriti wao.+ 20 Hayo yote yalifanyika kwa karibu miaka mia ine makumi tano (450).

“Kisha pale akawapatia waamuzi mupaka wakati wa nabii Samweli.+ 21 Lakini kisha pale wakaomba mufalme,+ na Mungu akawapatia Sauli mwana wa Kishi, mwanaume wa kabila la Benyamini,+ kwa miaka makumi ine (40). 22 Kisha kumutosha, akawainulia Daudi akuwe mufalme;+ akatoa ushahidi juu yake na kusema: ‘Nimemupata Daudi mwana wa Yese,+ mutu mwenye kufurahisha moyo wangu;+ atafanya mambo yote yenye ninapenda.’ 23 Kulingana na ahadi yake, kutoka katika uzao wa* mwanaume huyu, Mungu ameletea Israeli mwokozi, Yesu.+ 24 Mbele ya huyo kufika, Yohana alihubiria waziwazi watu wote wa Israeli ubatizo wenye kuonyesha kutubu.+ 25 Lakini wakati Yohana alikuwa karibu kumaliza utumishi wake, alikuwa anasema: ‘Munawaza mimi ni nani? Mimi siko yeye. Lakini muangalie! Kuko Mutu mwenye anakuja kisha mimi, mwenye sistahili kufungua viatu vya miguu yake.’+

26 “Wanaume, ndugu, ninyi wazao wa familia ya Abrahamu na wale wengine kati yenu wenye kumuogopa Mungu, neno la wokovu huu limetumwa kwetu.+ 27 Kwa maana wakaaji wa Yerusalemu na watawala wao hawakumutambua, lakini wakati walitenda kama waamuzi, walitimiza mambo yenye yalisemwa na Manabii,+ yenye yanasomwa kwa sauti kila siku ya Sabato. 28 Hata kama hawakupata sababu yoyote ya kumuua,+ walimuomba Pilato aamuru auawe.+ 29 Na wakati walikuwa wametimiza mambo yote yenye yaliandikwa juu yake, walimushusha kutoka kwenye muti na wakamulalisha katika kaburi.*+ 30 Lakini Mungu akamufufua kutoka kwa wafu,+ 31 na kwa siku nyingi akaonekana kwa wale wenye walienda pamoja naye kutoka Galilaya mupaka Yerusalemu. Sasa hao ndio mashahidi wake kwa watu.+

32 “Kwa hiyo, sisi tunawatangazia ninyi habari njema juu ya ahadi yenye ilitolewa kwa mababu. 33 Mungu ameitimiza kabisa kwetu, sisi watoto wao, kwa kumufufua Yesu;+ kama vile imeandikwa katika zaburi ya pili: ‘Wewe ni mwana wangu; leo nimekuwa baba yako.’+ 34 Na jambo la kwamba Yeye alimufufua kutoka kwa wafu ili asirudie tena kwenye uharibifu, Yeye alilisema kwa njia hii: ‘Nitawapatia ninyi maonyesho ya upendo mushikamanifu yenye nilimuahidi Daudi, yenye kuwa ya uaminifu.’*+ 35 Kwa hiyo imesemwa tena katika zaburi ingine: ‘Hautaruhusu mushikamanifu wako aone uharibifu.’+ 36 Kwa upande wake, Daudi alimutumikia Mungu* katika kizazi chake, akalala usingizi katika kifo, akazikwa pamoja na mababu zake, na akaona uharibifu.+ 37 Kwa upande mwingine, ule mwenye Mungu alifufua hakuona uharibifu.+

38 “Kwa hiyo, mujue jambo hilo, ndugu, kwamba kupitia mutu huyo munatangaziwa musamaha wa zambi,+ 39 na kwamba katika mambo yote yenye hamungetangazwa kupitia Sheria ya Musa+ kuwa hamuna kosa, kila mutu mwenye kuamini anatangazwa kuwa hana kosa kupitia mutu huyu.+ 40 Kwa hiyo, mufanye angalisho ili mambo yote yenye yamesemwa katika Manabii yasiwapate ninyi: 41 ‘Muangalie, ninyi wenye zarau, na mushangae, na muangamie, kwa maana ninafanya kazi fulani katika siku zenu, kazi yenye hamutaamini hata kidogo hata kama mutu yeyote anawaelezea mambo mengi kuhusu kazi hiyo.’”+

42 Sasa wakati walikuwa wanatoka inje, watu wakawaomba wazungumuzie mambo hayo kwenye Sabato yenye kufuata. 43 Kwa hiyo, kisha mukusanyiko katika sinagogi kuisha, Wayahudi wengi na wageuzwa-imani wenye walimuabudu Mungu wakafuata Paulo na Barnaba, wenye, wakati walikuwa wanasema nao, waliwatia moyo waendelee kubakia katika fazili zenye hazistahiliwe za Mungu.+

44 Sabato yenye ilifuata karibu muji wote ulikusanyika ili kusikia neno la Yehova.* 45 Wakati Wayahudi waliona watu wengi hao, wakajaa wivu na wakaanza kupinga kwa matukano mambo yenye Paulo alikuwa anasema.+ 46 Kwa hiyo, Paulo na Barnaba wakawaambia bila woga: “Ilikuwa lazima neno la Mungu litangazwe kwanza kwenu.+ Kwa kuwa munalikataa na hamujione kuwa munastahili uzima wa milele, muangalie! tunawaacha na kuenda kwa watu wa mataifa.+ 47 Kwa maana Yehova* ametuamuru kwa maneno haya: ‘Nimewaweka ninyi kuwa mwangaza wa mataifa, ili mukuwe wokovu mupaka kwenye miisho ya dunia.’”+

48 Wakati watu wa mataifa walisikia jambo hilo, wakaanza kufurahi na kutukuza neno la Yehova,* na wote wenye walikuwa na muelekeo wenye kufaa kwa ajili ya uzima wa milele wakakuwa waamini. 49 Zaidi ya hayo, neno la Yehova* lilikuwa linaenezwa kila mahali katika inchi yote. 50 Lakini Wayahudi wakachochea wanamuke wa maana na wenye kumuogopa Mungu, na wanaume wenye vyeo katika muji, na wakatokeza mateso+ juu ya Paulo na Barnaba na wakawatupa inje ya eneo lao. 51 Basi wakawakungutia mavumbi yenye yalikuwa kwenye miguu yao na wakaenda Ikoniamu.+ 52 Na wanafunzi wakaendelea kujaa na furaha+ na roho takatifu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine