Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wafilipi 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wafilipi

      • Tumaini lisitegemee mwili (1-11)

        • Kuona vitu vyote kuwa upotevu kwa ajili ya Kristo (7-9)

      • Kujinyoosha mbele kuelekea muradi (12-21)

        • Uraia mbinguni (20)

Wafilipi 3:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 13:11; Flp 4:4; 1 Tes. 5:16

Wafilipi 3:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 5:2

Wafilipi 3:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 4:4; Rom. 2:29; Kol 2:11
  • +Gal 6:14; Ebr 9:13, 14

Wafilipi 3:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Wafilipi 3:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 17:12; Law. 12:3
  • +2 Kor. 11:22
  • +Mdo 23:6; 26:4, 5

Wafilipi 3:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 8:3; 9:1, 2; Gal 1:13

Wafilipi 3:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “nimeviacha kwa kupenda.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 13:44

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    1/4/2001, uku. 5-6

Wafilipi 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uchafu mwingi.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2012, uku. 22-23

    15/3/2012, uku. 27-28

    15/9/2009, uku. 24

    15/3/2005, uku. 19-20

    1/4/2001, uku. 5-6

Wafilipi 3:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 4:5
  • +Gal 2:15, 16
  • +Rom. 3:20-22

Wafilipi 3:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 15:22; 2 Kor. 13:4
  • +Rom. 8:17; 2 Kor. 4:10; Kol 1:24
  • +Rom. 6:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2006, uku. 22

Wafilipi 3:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 4:16; Ufu 20:6

Wafilipi 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “alinishika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 13:24
  • +1 Tim. 6:12

Wafilipi 3:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 9:62
  • +1 Kor. 9:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2012, uku. 28

    15/8/2008, uku. 28

Wafilipi 3:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 4:8; Ebr 12:1
  • +Ebr 3:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 11

Wafilipi 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 14:20; Ebr 5:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2000, uku. 8-9

Wafilipi 3:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    1/8/2001, uku. 21

Wafilipi 3:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 4:16; 2 Tes. 3:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,”

    uku. 225-226

Wafilipi 3:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Wafilipi 3:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:5; Yak 3:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2008, uku. 4-5

    15/6/2001, uku. 15

Wafilipi 3:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 2:19
  • +Yoh 18:36; Efe 2:6; Kol 3:1
  • +1 Kor. 1:7; 1 Tes. 1:10; Tit 2:13; Ebr 9:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 11

Wafilipi 3:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “upatane na.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 15:42, 49
  • +1 Kor. 15:27; Ebr 2:8

Maandiko ingine

Flp. 3:12 Kor. 13:11; Flp 4:4; 1 Tes. 5:16
Flp. 3:2Gal 5:2
Flp. 3:3Yer 4:4; Rom. 2:29; Kol 2:11
Flp. 3:3Gal 6:14; Ebr 9:13, 14
Flp. 3:5Mwa 17:12; Law. 12:3
Flp. 3:52 Kor. 11:22
Flp. 3:5Mdo 23:6; 26:4, 5
Flp. 3:6Mdo 8:3; 9:1, 2; Gal 1:13
Flp. 3:7Mt 13:44
Flp. 3:9Rom. 4:5
Flp. 3:9Gal 2:15, 16
Flp. 3:9Rom. 3:20-22
Flp. 3:101 Kor. 15:22; 2 Kor. 13:4
Flp. 3:10Rom. 8:17; 2 Kor. 4:10; Kol 1:24
Flp. 3:10Rom. 6:5
Flp. 3:111 Tes. 4:16; Ufu 20:6
Flp. 3:12Lu 13:24
Flp. 3:121 Tim. 6:12
Flp. 3:13Lu 9:62
Flp. 3:131 Kor. 9:24
Flp. 3:142 Tim. 4:8; Ebr 12:1
Flp. 3:14Ebr 3:1
Flp. 3:151 Kor. 14:20; Ebr 5:14
Flp. 3:171 Kor. 4:16; 2 Tes. 3:9
Flp. 3:19Rom. 8:5; Yak 3:15
Flp. 3:20Efe 2:19
Flp. 3:20Yoh 18:36; Efe 2:6; Kol 3:1
Flp. 3:201 Kor. 1:7; 1 Tes. 1:10; Tit 2:13; Ebr 9:28
Flp. 3:211 Kor. 15:42, 49
Flp. 3:211 Kor. 15:27; Ebr 2:8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wafilipi 3:1-21

Kwa Wafilipi

3 Mwishowe, ndugu zangu, muendelee kufurahi katika Bwana.+ Haiko taabu kwangu kuwaandikia ninyi mambo yaleyale, na ni kwa ajili ya usalama wenu.

2 Mufanye angalisho na imbwa; mufanye angalisho na wale wenye wanafanya mambo yenye kuumiza; mufanye angalisho na wale wenye wanakata-kata mwili.+ 3 Kwa maana sisi ndio wenye kutahiriwa kwa kweli,+ sisi wenye tunatoa utumishi mutakatifu kupitia roho ya Mungu na tunajisifu katika Kristo Yesu+ na wenye hatutegemeze tumaini letu katika mwili, 4 hata kama mimi, kupita mutu yeyote, niko na sababu za kuwa na tumaini katika mwili.

Kama mutu yeyote mwingine anawaza yeye iko* na sababu za kuwa na uhakika katika mwili, mimi niko nazo zaidi: 5 nilitahiriwa siku ya munane (8),+ niko wa taifa la Israeli, wa kabila la Benyamini, Mwebrania mwenye alizaliwa na Waebrania;+ kuhusiana na sheria, mimi ni Mufarisayo;+ 6 kuhusiana na bidii, nilitesa kutaniko;+ kuhusiana na haki yenye kutegemea sheria, mimi ni mutu mwenye hakukuwa na kosa. 7 Lakini, vitu vyenye vilikuwa faida kwangu, nimeviona kuwa upotevu* kwa sababu ya Kristo.+ 8 Zaidi ya hayo, kwa kweli ninaona vitu vyote kuwa upotevu kwa sababu ya samani ya muzuri zaidi ya kumujua Kristo Yesu Bwana wangu. Kwa ajili yake nimekubali upotevu wa vitu vyote na ninaviona kuwa takataka nyingi,* ili niweze kumupata Kristo 9 na nipatikane katika umoja naye, haiko kwa sababu ya haki yangu kwa kufuata Sheria, lakini kwa sababu ya haki kupitia imani+ katika Kristo,+ haki yenye inatoka kwa Mungu na yenye kutegemea imani.+ 10 Kusudi langu ni kumujua yeye na nguvu za ufufuo wake+ na kushiriki katika mateso yake,+ nikijitiisha kwenye kifo kama chake,+ 11 ili kuona kama ikiwezekana nitafikia ufufuo wa kwanza kutoka kwa wafu.+

12 Haiko kusema nimekwisha kuipokea ao nimekwisha kufanywa kuwa mukamilifu, lakini ninaendelea kujikaza+ ili kuona kama ninaweza pia kushika kile chenye kwa ajili yacho Kristo Yesu alinichagua.*+ 13 Ndugu, sijione kwamba nimekwisha kuishika; lakini jambo moja ni hakika: Ninasahau mambo ya nyuma+ na ninajinyoosha kuelekea mambo yenye kuwa mbele,+ 14 ninaendelea kujikaza kuelekea muradi kwa ajili ya zawadi+ ya mwito+ wa Mungu wa kuenda juu kupitia Kristo Yesu. 15 Kwa hiyo, wale wenye kuwa wakomavu+ kati yetu wakuwe na mutazamo huu wa akili, na kama muko na muelekeo wa akili wenye kuwa tofauti kwa njia yoyote, Mungu atawafunulia ninyi mutazamo huo. 16 Kwa vyovyote, kwa kadiri tumefanya maendeleo, tuendelee kutembea kwa utaratibu katika mwendo uleule.

17 Kwa umoja, ndugu, mukuwe waigaji wangu,+ na muendelee kuangalia wale wenye wanatembea katika njia yenye kupatana na mufano wenye tuliwawekea ninyi. 18 Kwa maana kuko wengi⁠—⁠nilikuwa ninawataja mara nyingi lakini sasa ninawataja pia nikilia⁠—⁠wenye wanatembea kama maadui wa muti wa mateso* wa Kristo. 19 Mwisho wao ni uharibifu, na mungu wao ni tumbo lao, na utukufu wao kwa kweli ni haya yao, na akili zao zinafikiria vitu vya dunia.+ 20 Lakini uraia wetu+ uko mbinguni,+ na tunangojea kwa hamu mwokozi kutoka kule, Bwana Yesu Kristo,+ 21 mwenye atageuza mwili wetu wa hali ya chini ukuwe kama* mwili wake wenye utukufu+ kwa nguvu zake nyingi zenye zinamuwezesha kutiisha vitu vyote kwake mwenyewe.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine