Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Hekalu linajaa utukufu wa Yehova (1-3)

      • Sherehe za kuzindua hekalu (4-10)

      • Yehova anamutokea Sulemani (11-22)

2 Mambo ya Nyakati 7:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:54
  • +Law. 9:24; 1Nya 21:26
  • +Kut 40:34, 35

2 Mambo ya Nyakati 7:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:11

2 Mambo ya Nyakati 7:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “pavement.”

2 Mambo ya Nyakati 7:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:62, 63

2 Mambo ya Nyakati 7:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 6:16

2 Mambo ya Nyakati 7:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine ni Walawi.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 25:7; 2Nya 5:11, 12
  • +2Nya 5:13

2 Mambo ya Nyakati 7:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:3
  • +2Nya 4:1
  • +Law. 2:1
  • +Law. 4:8-10; 1 Fal. 8:64-66

2 Mambo ya Nyakati 7:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muingilio wa Hamati.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 23:34; Kum 16:13
  • +Hes 34:2, 5, 8

2 Mambo ya Nyakati 7:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Siku yenye ilifuata sikukuu hiyo, ao siku ya 15.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 23:36

2 Mambo ya Nyakati 7:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 16:15
  • +2Nya 6:41

2 Mambo ya Nyakati 7:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 2:4
  • +1 Fal. 9:1-3

2 Mambo ya Nyakati 7:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 1:7
  • +Kum 12:5, 6; Zab 78:68

2 Mambo ya Nyakati 7:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 43:10
  • +Law. 26:41; 2Nya 33:12, 13
  • +Isa 55:7
  • +2Nya 6:39

2 Mambo ya Nyakati 7:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 6:40

2 Mambo ya Nyakati 7:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:21
  • +2Nya 6:20

2 Mambo ya Nyakati 7:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:4, 5

2 Mambo ya Nyakati 7:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:12, 13
  • +Zab 89:28, 29
  • +1 Fal. 2:4

2 Mambo ya Nyakati 7:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:5; 1 Fal. 9:6-9

2 Mambo ya Nyakati 7:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mezali.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:25, 26; 2 Fal. 17:20
  • +Kum 28:37; Yer 24:9

2 Mambo ya Nyakati 7:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 29:8; Da. 9:12
  • +Kum 29:24, 25; 2 Fal. 25:8, 9; Yer 22:8, 9

2 Mambo ya Nyakati 7:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 15:2
  • +Kut 12:51
  • +Isa 2:8; Yer 2:11
  • +2Nya 36:17

Maandiko ingine

2 Nya. 7:11 Fal. 8:54
2 Nya. 7:1Law. 9:24; 1Nya 21:26
2 Nya. 7:1Kut 40:34, 35
2 Nya. 7:21 Fal. 8:11
2 Nya. 7:41 Fal. 8:62, 63
2 Nya. 7:5Ezr 6:16
2 Nya. 7:61Nya 25:7; 2Nya 5:11, 12
2 Nya. 7:62Nya 5:13
2 Nya. 7:7Law. 1:3
2 Nya. 7:72Nya 4:1
2 Nya. 7:7Law. 2:1
2 Nya. 7:7Law. 4:8-10; 1 Fal. 8:64-66
2 Nya. 7:8Law. 23:34; Kum 16:13
2 Nya. 7:8Hes 34:2, 5, 8
2 Nya. 7:9Law. 23:36
2 Nya. 7:10Kum 16:15
2 Nya. 7:102Nya 6:41
2 Nya. 7:11Mhu. 2:4
2 Nya. 7:111 Fal. 9:1-3
2 Nya. 7:122Nya 1:7
2 Nya. 7:12Kum 12:5, 6; Zab 78:68
2 Nya. 7:14Isa 43:10
2 Nya. 7:14Law. 26:41; 2Nya 33:12, 13
2 Nya. 7:14Isa 55:7
2 Nya. 7:142Nya 6:39
2 Nya. 7:152Nya 6:40
2 Nya. 7:16Kum 12:21
2 Nya. 7:162Nya 6:20
2 Nya. 7:171 Fal. 9:4, 5
2 Nya. 7:182 Sa. 7:12, 13
2 Nya. 7:18Zab 89:28, 29
2 Nya. 7:181 Fal. 2:4
2 Nya. 7:19Kut 20:5; 1 Fal. 9:6-9
2 Nya. 7:20Kum 4:25, 26; 2 Fal. 17:20
2 Nya. 7:20Kum 28:37; Yer 24:9
2 Nya. 7:212Nya 29:8; Da. 9:12
2 Nya. 7:21Kum 29:24, 25; 2 Fal. 25:8, 9; Yer 22:8, 9
2 Nya. 7:222Nya 15:2
2 Nya. 7:22Kut 12:51
2 Nya. 7:22Isa 2:8; Yer 2:11
2 Nya. 7:222Nya 36:17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 7:1-22

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

7 Sasa wakati tu Sulemani alimaliza kusali,+ moto ulishuka kutoka mbinguni+ na ukateketeza lile toleo la kuteketezwa na zile zabihu, na utukufu wa Yehova ukajaza nyumba hiyo.+ 2 Makuhani hawakuweza kuingia ndani ya nyumba ya Yehova kwa sababu utukufu wa Yehova ulikuwa umejaza nyumba ya Yehova.+ 3 Na watu wote wa Israeli walikuwa wanaangalia wakati moto ulishuka na utukufu wa Yehova ulikuwa juu ya nyumba hiyo, na wakainamisha nyuso zao mupaka chini na kushusha nyuso chini kwenye sakafu* ya majiwe na kumushukuru Yehova, “kwa maana yeye ni mwema; upendo wake mushikamanifu unadumu milele.”

4 Sasa mufalme na watu wote wakatoa zabihu mbele ya Yehova.+ 5 Mufalme Sulemani akatoa zabihu ya ngombe elfu makumi mbili na mbili (22 000) na kondoo elfu mia moja makumi mbili (120 000). Basi mufalme na watu wote wakazindua nyumba ya Mungu wa kweli.+ 6 Makuhani walikuwa wamesimama katika nafasi zao za kazi, kama vile Walawi wenye walikuwa na vyombo vya muziki vyenye vilitumiwa ili kuambatana na wimbo kwa Yehova.+ (Mufalme Daudi alikuwa ametengeneza vyombo hivyo ili kumushukuru Yehova⁠—“kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele”⁠—​wakati Daudi alikuwa anatoa sifa pamoja nao.*) Na makuhani walikuwa wanapiga tarumbeta kwa sauti kubwa+ mbele yao, wakati Waisraeli wote walikuwa wamesimama.

7 Kisha Sulemani akatakasa sehemu ya katikati ya kiwanja chenye kilikuwa mbele ya nyumba ya Yehova, kwa maana alipaswa kutolea pale matoleo ya kuteketezwa+ na vipande vya mafuta vya zabihu za ushirika, kwa sababu zabihu za kuteketezwa, matoleo ya nafaka,+ na vipande vya mafuta,+ havingeweza kuenea kwenye mazabahu ya shaba+ yenye Sulemani alikuwa amejenga. 8 Wakati huo Sulemani alifanya sikukuu hiyo kwa siku saba (7)+ pamoja na Israeli wote, kutaniko kubwa sana kuanzia Lebo-hamati* kushuka mupaka kwenye Bonde la Muto* la Misri.+ 9 Lakini katika siku ya munane (8)* walifanya mukusanyiko mukubwa,+ kwa sababu walikuwa wamezindua mazabahu kwa siku saba (7) na kufanya sikukuu hiyo kwa siku saba. 10 Kisha katika siku ya makumi mbili na tatu (23) ya mwezi wa saba (7), aliacha watu waende kwao wakishangilia+ na kufurahi katika moyo kwa sababu ya wema wenye Yehova alikuwa ameonyesha Daudi na Sulemani na Israeli watu wake.+

11 Basi Sulemani akamaliza nyumba ya Yehova na nyumba ya mufalme;+ na kila kitu chenye kilikuja katika moyo wa Sulemani ili kukifanya kuhusiana na nyumba ya Yehova na nyumba yake mwenyewe, alifanikiwa kukitimiza.+ 12 Kisha Yehova akamutokea Sulemani+ usiku na kumuambia: “Nimesikia sala yako, na nimechagua mahali hapa kwa ajili yangu ili kuwa nyumba ya zabihu.+ 13 Wakati ninafunga mbingu na hakuna mvua na wakati ninaamuru panzi wakule inchi na kama ninatuma ugonjwa wa kuambukiza kati ya watu wangu, 14 kama watu wangu wenye jina langu limeitwa juu yao+ wanajinyenyekeza+ na kusali na kutafuta uso wangu na wanageuka na kuacha njia zao zenye uovu,+ basi nitasikia kutoka mbinguni na nitasamehe zambi yao na kuponyesha inchi yao.+ 15 Sasa macho yangu yatakuwa wazi na masikio yangu yatasikiliza kwa uangalifu sala katika mahali hapa.+ 16 Na sasa nimechagua na kutakasa nyumba hii ili jina langu likuwe ndani sikuzote,+ na macho yangu na moyo wangu vitakuwa mule sikuzote.+

17 “Na wewe, kama unatembea mbele yangu kama vile baba yako Daudi alitembea kwa kufanya mambo yote yenye nilikuwa nimekuamuru, na unatii masharti yangu na hukumu zangu,+ 18 basi nitafanya imara kiti cha ufalme wako,+ kama vile nilifanya agano pamoja na baba yako Daudi,+ kwa kusema, ‘Hakutakosa hata kidogo mwanaume wa uzao wako mwenye atatawala juu ya Israeli.’+ 19 Lakini kama ninyi munageuka na kuacha sheria zangu na amri zangu zenye nimeweka mbele yenu na munaenda na kutumikia miungu mingine na kuiinamia,+ 20 nitangoa Israeli kutoka katika inchi yenye nimewapatia,+ na nyumba hii yenye nimetakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupilia mbali kutoka mbele ya macho yangu, na nitaifanya kuwa kitu cha kuzarauliwa* na kitu cha kuchekelewa kati ya vikundi vyote vya watu.+ 21 Na nyumba hii itakuwa marundo ya mabomoko. Kila mutu mwenye atapita karibu nayo ataangalia kwa mushangao+ na kusema, ‘Sababu gani Yehova alitendea hivi inchi hii na nyumba hii?’+ 22 Halafu watasema, ‘Ni kwa sababu walimuacha Yehova+ Mungu wa mababu zao, mwenye alikuwa amewatosha katika inchi ya Misri,+ na wakashikamana na miungu mingine na wakaiinamia na kuitumikia.+ Ndiyo sababu alileta musiba huu wote juu yao.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine