Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Miradi mingine ya ujenzi ya Sulemani (1-11)

      • Ibada kwenye hekalu inapangwa (12-16)

      • Mashua za Sulemani (17, 18)

2 Mambo ya Nyakati 8:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 6:37, 38; 7:1; 9:10

2 Mambo ya Nyakati 8:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana wa Israeli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 5:1

2 Mambo ya Nyakati 8:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “akajenga upya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:17-19
  • +2 Fal. 14:28

2 Mambo ya Nyakati 8:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Pingo ni kipande cha muti ao cha chuma cha kufungia mulango kwa ndani.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 16:5
  • +Yosh. 16:1, 3; 1Nya 7:24

2 Mambo ya Nyakati 8:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 19:44, 48
  • +1 Fal. 4:26

2 Mambo ya Nyakati 8:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:18-21; Hes 13:29
  • +1 Fal. 9:20-23

2 Mambo ya Nyakati 8:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:63; 17:12
  • +Yosh. 16:10; 2Nya 2:17, 18

2 Mambo ya Nyakati 8:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 25:39
  • +1 Sa. 8:11, 12

2 Mambo ya Nyakati 8:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 5:16; 9:23; 2Nya 2:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2005, uku. 19

2 Mambo ya Nyakati 8:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:1
  • +1 Fal. 7:8; 9:24
  • +Kut 29:43

2 Mambo ya Nyakati 8:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:3
  • +2Nya 4:1
  • +1 Fal. 6:3

2 Mambo ya Nyakati 8:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Makao ya Muda.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 28:9
  • +Hes 28:11-15
  • +Kum 16:16
  • +Law. 23:6
  • +Law. 23:15, 16
  • +Law. 23:34

2 Mambo ya Nyakati 8:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 24:1
  • +1Nya 6:31, 32; 15:16; 16:37, 42; 25:1
  • +1Nya 26:1

2 Mambo ya Nyakati 8:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ilikuwa na mupangilio muzuri; ilimalizika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 6:1
  • +1 Fal. 7:51

2 Mambo ya Nyakati 8:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 33:1, 35; 1 Fal. 22:48
  • +Kum 2:8; 2 Fal. 14:21, 22; 16:6
  • +1 Fal. 9:26-28

2 Mambo ya Nyakati 8:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua za maji; bateaux.”

  • *

    Talanta moja ilikuwa sawa na kilograme 34.2 (aunsi troi 1.101). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:11
  • +1 Fal. 22:48; Zab 45:9
  • +1 Fal. 10:22
  • +Mhu. 2:8

Maandiko ingine

2 Nya. 8:11 Fal. 6:37, 38; 7:1; 9:10
2 Nya. 8:21 Fal. 5:1
2 Nya. 8:41 Fal. 9:17-19
2 Nya. 8:42 Fal. 14:28
2 Nya. 8:5Yosh. 16:5
2 Nya. 8:5Yosh. 16:1, 3; 1Nya 7:24
2 Nya. 8:6Yosh. 19:44, 48
2 Nya. 8:61 Fal. 4:26
2 Nya. 8:7Mwa 15:18-21; Hes 13:29
2 Nya. 8:71 Fal. 9:20-23
2 Nya. 8:8Yosh. 15:63; 17:12
2 Nya. 8:8Yosh. 16:10; 2Nya 2:17, 18
2 Nya. 8:9Law. 25:39
2 Nya. 8:91 Sa. 8:11, 12
2 Nya. 8:101 Fal. 5:16; 9:23; 2Nya 2:18
2 Nya. 8:111 Fal. 3:1
2 Nya. 8:111 Fal. 7:8; 9:24
2 Nya. 8:11Kut 29:43
2 Nya. 8:12Law. 1:3
2 Nya. 8:122Nya 4:1
2 Nya. 8:121 Fal. 6:3
2 Nya. 8:13Hes 28:9
2 Nya. 8:13Hes 28:11-15
2 Nya. 8:13Kum 16:16
2 Nya. 8:13Law. 23:6
2 Nya. 8:13Law. 23:15, 16
2 Nya. 8:13Law. 23:34
2 Nya. 8:141Nya 24:1
2 Nya. 8:141Nya 6:31, 32; 15:16; 16:37, 42; 25:1
2 Nya. 8:141Nya 26:1
2 Nya. 8:161 Fal. 6:1
2 Nya. 8:161 Fal. 7:51
2 Nya. 8:17Hes 33:1, 35; 1 Fal. 22:48
2 Nya. 8:17Kum 2:8; 2 Fal. 14:21, 22; 16:6
2 Nya. 8:171 Fal. 9:26-28
2 Nya. 8:182 Sa. 5:11
2 Nya. 8:181 Fal. 22:48; Zab 45:9
2 Nya. 8:181 Fal. 10:22
2 Nya. 8:18Mhu. 2:8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 8:1-18

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

8 Kwenye mwisho wa miaka makumi mbili (20), yenye Sulemani alijenga nyumba ya Yehova na nyumba yake mwenyewe,+ 2 Sulemani alijenga upya miji yenye Hiramu+ alikuwa amemupatia Sulemani na akakalisha ndani Waisraeli.* 3 Zaidi ya hayo, Sulemani alienda Hamat-soba na akaikamata. 4 Kisha akajenga* Tadmori katika jangwa na miji yote yenye madepo+ yenye alikuwa amejenga katika Hamati.+ 5 Alijenga pia Bet-horoni ya Juu+ na Bet-horoni ya Chini,+ miji yenye ngome yenye kuwa na kuta, milango mikubwa, na mapingo,* 6 na Baalati+ na pia miji yote ya madepo ya Sulemani, miji yote ya magari,+ miji ya wapanda-farasi, na kitu chochote chenye Sulemani alitamani kujenga katika Yerusalemu, katika Lebanoni, na katika inchi yote ya utawala wake.

7 Watu wote wenye walibakia kutoka kwa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi,+ wenye hawakukuwa sehemu ya Israeli,+ 8 wazao wao wenye waliachwa katika inchi⁠—​wenye Waisraeli hawakuharibu+⁠—​Sulemani aliwaandikisha kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa mupaka leo.+ 9 Lakini Sulemani hakufanya Mwisraeli yeyote kuwa mutumwa kwa ajili ya kazi yake,+ kwa maana walikuwa wapiganaji-vita wake, wakubwa wa makamanda wake wasaidizi, na wakubwa wa waendesha-magari wake na wapanda-farasi.+ 10 Kulikuwa wakubwa wa wasaidizi mia mbili makumi tano (250) wa Mufalme Sulemani, wasimamizi wa watu.+

11 Sulemani alimupandisha pia binti ya Farao+ kutoka katika Muji wa Daudi na kumupeleka katika nyumba yenye alikuwa amemujengea,+ kwa maana alisema: “Hata kama ni bibi yangu, hapaswe kukaa katika nyumba ya Mufalme Daudi wa Israeli, kwa maana mahali kwenye Sanduku la Yehova limeletwa ni patakatifu.”+

12 Kisha Sulemani akamutolea Yehova zabihu za kuteketezwa+ juu ya mazabahu+ ya Yehova yenye alikuwa amejenga mbele ya baraza.+ 13 Alifuata utaratibu wa kila siku na akatoa matoleo kulingana na amri ya Musa kwa ajili ya Sabato,+ miezi mipya,+ na sikukuu zenye ziliwekwa mara tatu (3) katika mwaka+⁠—​Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu,+ Sikukuu ya Majuma,+ na Sikukuu ya Vibanda.*+ 14 Tena, aliweka vikundi vya makuhani+ kwa ajili ya utumishi wao kulingana na sheria ya Daudi baba yake, na Walawi kwa ajili ya nafasi zao za kazi, ili kusifu+ na kufanya utumishi mbele ya makuhani kulingana na utaratibu wa kila siku, na walinzi wa milango mikubwa katika vikundi vyao kwa ajili ya milango mikubwa mbalimbali,+ kwa maana ni ile ilikuwa amri ya Daudi, mutu wa Mungu wa kweli. 15 Na hawakuacha amri yenye mufalme alipatia makuhani na Walawi kuhusiana na jambo lolote ao kuhusiana na madepo. 16 Basi kazi yote ya Sulemani ilipangwa muzuri,* kuanzia siku yenye musingi wa nyumba ya Yehova uliwekwa+ mupaka wakati ilimalizwa. Basi nyumba ya Yehova ikamalizika.+

17 Wakati huo ndio Sulemani alienda Esion-geberi+ na Eloti+ pembeni ya bahari katika inchi ya Edomu.+ 18 Hiramu+ alimutumia mashua* na wafanyakazi wa mashua wenye uzoefu kupitia watumishi wake mwenyewe. Wakaenda pamoja na watumishi wa Sulemani kule Ofiri+ na wakakamata kutoka kule talanta* mia ine makumi tano (450) za zahabu+ na kuzileta kwa Mufalme Sulemani.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine