Zaburi
115 Usitupatie sisi, Ee Yehova, usitupatie sisi,*
Lakini wewe upatie jina lako utukufu+
Kwa sababu ya upendo wako mushikamanifu na uaminifu wako.+
2 Sababu gani mataifa yaseme:
3 Mungu wetu iko* mbinguni;
Anafanya kila kitu chenye anapenda.
4 Sanamu zao ni feza na zahabu,
Kazi ya mikono ya mwanadamu.+
5 Ziko na kinywa, lakini haziwezi kusema;+
Ziko na macho, lakini haziwezi kuona;
6 Ziko na masikio, lakini haziwezi kusikia;
Ziko na pua, lakini haziwezi kunusa;
7 Ziko na mikono, lakini haziwezi kugusa;
Ziko na miguu, lakini haziwezi kutembea;+
Hazitoe sauti yoyote kwa koo yao.+
10 Ee nyumba ya Haruni,+ mumutegemee Yehova;
—Yeye ndiye musaada wao na ngao yao.
13 Atabariki wale wenye kumuogopa Yehova,
Wadogo na wakubwa.
18 Lakini sisi tutamusifu Yah
Kuanzia sasa na milele.
Mumusifu Yah!*