Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 115
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mungu peke yake ndiye anapaswa kutukuzwa

        • Sanamu zenye hazina uzima (4-8)

        • Wanadamu wamepewa dunia (16)

        • “Wafu hawamusifu Yah” (17)

Zaburi 115:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Hatuna kitu, Ee Yehova, hatuna kitu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 48:11; Yoh 12:28
  • +Zab 138:2

Zaburi 115:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:12; Hes 14:15, 16; Kum 32:26, 27; Zab 79:10

Zaburi 115:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Zaburi 115:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 135:15-18; Isa 40:19; 46:6; Yer 10:3, 4, 8, 9; Mdo 19:26; 1 Kor. 10:19

Zaburi 115:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hab 2:19

Zaburi 115:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 5:3; Isa 46:7
  • +Hab 2:18

Zaburi 115:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 44:9
  • +Zab 97:7

Zaburi 115:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 3:5
  • +Kum 33:29; Zab 33:20

Zaburi 115:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:1

Zaburi 115:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 16:20
  • +Zab 84:11

Zaburi 115:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 12:2

Zaburi 115:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 13:16

Zaburi 115:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 3:8
  • +Zab 96:5

Zaburi 115:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 66:1
  • +Mwa 1:28; Zab 37:29; Isa 45:18; Mdo 17:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    12/2009, uku. 10

Zaburi 115:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika ukimya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 6:5; Mhu. 9:5
  • +Zab 31:17

Zaburi 115:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maandiko ingine

Zb. 115:1Isa 48:11; Yoh 12:28
Zb. 115:1Zab 138:2
Zb. 115:2Kut 32:12; Hes 14:15, 16; Kum 32:26, 27; Zab 79:10
Zb. 115:4Zab 135:15-18; Isa 40:19; 46:6; Yer 10:3, 4, 8, 9; Mdo 19:26; 1 Kor. 10:19
Zb. 115:5Hab 2:19
Zb. 115:71 Sa. 5:3; Isa 46:7
Zb. 115:7Hab 2:18
Zb. 115:8Isa 44:9
Zb. 115:8Zab 97:7
Zb. 115:9Mez. 3:5
Zb. 115:9Kum 33:29; Zab 33:20
Zb. 115:10Kut 28:1
Zb. 115:11Mez. 16:20
Zb. 115:11Zab 84:11
Zb. 115:12Mwa 12:2
Zb. 115:14Mwa 13:16
Zb. 115:15Zab 3:8
Zb. 115:15Zab 96:5
Zb. 115:16Isa 66:1
Zb. 115:16Mwa 1:28; Zab 37:29; Isa 45:18; Mdo 17:26
Zb. 115:17Zab 6:5; Mhu. 9:5
Zb. 115:17Zab 31:17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 115:1-18

Zaburi

115 Usitupatie sisi, Ee Yehova, usitupatie sisi,*

Lakini wewe upatie jina lako utukufu+

Kwa sababu ya upendo wako mushikamanifu na uaminifu wako.+

 2 Sababu gani mataifa yaseme:

“Mungu wao iko* wapi?”+

 3 Mungu wetu iko* mbinguni;

Anafanya kila kitu chenye anapenda.

 4 Sanamu zao ni feza na zahabu,

Kazi ya mikono ya mwanadamu.+

 5 Ziko na kinywa, lakini haziwezi kusema;+

Ziko na macho, lakini haziwezi kuona;

 6 Ziko na masikio, lakini haziwezi kusikia;

Ziko na pua, lakini haziwezi kunusa;

 7 Ziko na mikono, lakini haziwezi kugusa;

Ziko na miguu, lakini haziwezi kutembea;+

Hazitoe sauti yoyote kwa koo yao.+

 8 Watu wenye kuzitengeneza watakuwa kama vile sanamu hizo,+

Na wale wote wenye kuzitegemea.+

 9 Ee Israeli, mumutegemee Yehova+

​—⁠Yeye ndiye musaada wao na ngao yao.+

10 Ee nyumba ya Haruni,+ mumutegemee Yehova;

​—⁠Yeye ndiye musaada wao na ngao yao.

11 Ninyi wenye kumuogopa Yehova, mumutegemee Yehova+

​—⁠Yeye ndiye musaada wao na ngao yao.+

12 Yehova anatukumbuka na atatubariki;

Atabariki nyumba ya Israeli;+

Atabariki nyumba ya Haruni.

13 Atabariki wale wenye kumuogopa Yehova,

Wadogo na wakubwa.

14 Yehova atawapatia ongezeko,

Ninyi na watoto* wenu.+

15 Yehova awabariki,+

Mutengenezaji wa mbingu na dunia.+

16 Kuhusu mbingu, ni za Yehova,+

Lakini dunia ameipatia wana wa binadamu.+

17 Wafu hawamusifu Yah;+

Wala mutu yeyote mwenye anashuka katika ukimya wa kifo.*+

18 Lakini sisi tutamusifu Yah

Kuanzia sasa na milele.

Mumusifu Yah!*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine