Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Mataifa saba yenye yanapaswa kuharibiwa (1-6)

      • Sababu gani Israeli alichaguliwa (7-11)

      • Utii utawaletea matokeo ya muzuri wakati wenye kuja (12-26)

Kumbukumbu la Torati 7:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:3
  • +Kut 33:2; Yosh. 3:10
  • +Mwa 15:16
  • +Mwa 10:15-17
  • +Kum 20:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    ‘Nchi Nzuri’, uku. 10-11

Kumbukumbu la Torati 7:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 33:52
  • +Law. 27:29; Yosh. 6:17; 10:28
  • +Kut 23:32; 34:15; Kum 20:16, 17

Kumbukumbu la Torati 7:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuoana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 23:12, 13; 1 Fal. 11:1, 2; Ezr 9:2

Kumbukumbu la Torati 7:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:16; 1 Fal. 11:4
  • +Kum 6:14, 15

Kumbukumbu la Torati 7:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:24; 34:13
  • +Kum 16:21, 22
  • +Kum 7:25; 12:2, 3

Kumbukumbu la Torati 7:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mali yake yenye anapendezwa nayo sana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5, 6; Kum 14:2; Amo 3:2

Kumbukumbu la Torati 7:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:15
  • +Kum 10:22

Kumbukumbu la Torati 7:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mukono.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 22:16, 17
  • +Kut 6:6; 13:3, 14

Kumbukumbu la Torati 7:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:6, 7

Kumbukumbu la Torati 7:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 2:22; 2 Pe. 3:7

Kumbukumbu la Torati 7:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “atabariki uzao wa tumbo lako la uzazi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:9
  • +Law. 26:4
  • +Mwa 13:14, 15

Kumbukumbu la Torati 7:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 33:29; Zab 147:20
  • +Kut 23:26; Kum 28:11; Zab 127:3

Kumbukumbu la Torati 7:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15, 27

Kumbukumbu la Torati 7:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Utameza.”

  • *

    Tnn., “Jicho lako halipaswe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:1, 2; 20:16; Yosh. 10:28
  • +Mwa 15:16; Law. 18:25; Kum 9:5
  • +Kut 20:3
  • +Kut 23:33; Kum 12:30; Amu 2:2, 3; Zab 106:36

Kumbukumbu la Torati 7:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 13:31

Kumbukumbu la Torati 7:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 1:29; 31:6; Zab 27:1; Isa 41:10
  • +Kut 14:13

Kumbukumbu la Torati 7:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “majaribu makubwa yenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:10, 11; Yer 32:20
  • +Kum 4:34
  • +Kut 23:28; Yosh. 3:10

Kumbukumbu la Torati 7:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “wasiwasi; woga mukubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:29; Kum 2:25; Yosh. 2:9; 24:12

Kumbukumbu la Torati 7:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:9
  • +Kum 10:17; 1 Sa. 4:7, 8

Kumbukumbu la Torati 7:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:30

Kumbukumbu la Torati 7:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 9:3

Kumbukumbu la Torati 7:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 10:24; 12:1
  • +Kut 17:14; Zab 9:5
  • +Kum 11:25; Yosh. 1:5; Rom. 8:31
  • +Yosh. 11:14

Kumbukumbu la Torati 7:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:3; 1Nya 14:12
  • +Isa 30:22
  • +Kum 27:15

Maandiko ingine

Kum. 7:1Kum 31:3
Kum. 7:1Kut 33:2; Yosh. 3:10
Kum. 7:1Mwa 15:16
Kum. 7:1Mwa 10:15-17
Kum. 7:1Kum 20:1
Kum. 7:2Hes 33:52
Kum. 7:2Law. 27:29; Yosh. 6:17; 10:28
Kum. 7:2Kut 23:32; 34:15; Kum 20:16, 17
Kum. 7:3Yosh. 23:12, 13; 1 Fal. 11:1, 2; Ezr 9:2
Kum. 7:4Kut 34:16; 1 Fal. 11:4
Kum. 7:4Kum 6:14, 15
Kum. 7:5Kut 23:24; 34:13
Kum. 7:5Kum 16:21, 22
Kum. 7:5Kum 7:25; 12:2, 3
Kum. 7:6Kut 19:5, 6; Kum 14:2; Amo 3:2
Kum. 7:7Kum 10:15
Kum. 7:7Kum 10:22
Kum. 7:8Mwa 22:16, 17
Kum. 7:8Kut 6:6; 13:3, 14
Kum. 7:9Kut 34:6, 7
Kum. 7:10Mez. 2:22; 2 Pe. 3:7
Kum. 7:13Law. 26:9
Kum. 7:13Law. 26:4
Kum. 7:13Mwa 13:14, 15
Kum. 7:14Kum 33:29; Zab 147:20
Kum. 7:14Kut 23:26; Kum 28:11; Zab 127:3
Kum. 7:15Kum 28:15, 27
Kum. 7:16Kum 7:1, 2; 20:16; Yosh. 10:28
Kum. 7:16Mwa 15:16; Law. 18:25; Kum 9:5
Kum. 7:16Kut 20:3
Kum. 7:16Kut 23:33; Kum 12:30; Amu 2:2, 3; Zab 106:36
Kum. 7:17Hes 13:31
Kum. 7:18Kum 1:29; 31:6; Zab 27:1; Isa 41:10
Kum. 7:18Kut 14:13
Kum. 7:19Ne 9:10, 11; Yer 32:20
Kum. 7:19Kum 4:34
Kum. 7:19Kut 23:28; Yosh. 3:10
Kum. 7:20Kut 23:29; Kum 2:25; Yosh. 2:9; 24:12
Kum. 7:21Hes 14:9
Kum. 7:21Kum 10:17; 1 Sa. 4:7, 8
Kum. 7:22Kut 23:30
Kum. 7:23Kum 9:3
Kum. 7:24Yosh. 10:24; 12:1
Kum. 7:24Kut 17:14; Zab 9:5
Kum. 7:24Kum 11:25; Yosh. 1:5; Rom. 8:31
Kum. 7:24Yosh. 11:14
Kum. 7:25Kum 12:3; 1Nya 14:12
Kum. 7:25Isa 30:22
Kum. 7:25Kum 27:15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 7:1-26

Kumbukumbu la Torati

7 “Wakati Yehova Mungu wako atakuingiza katika inchi yenye unakaribia kuingia na kuriti,+ ataondoa pia mataifa yenye watu wengi mbele yako:+ Wahiti, Wagirgashi, Waamori,+ Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi,+ mataifa saba (7) yenye watu wengi zaidi na yenye nguvu kuliko wewe.+ 2 Yehova Mungu wako atawatia katika mukono wako, na utawashinda.+ Unapaswa kuwaharibu kabisa.+ Haupaswe kufanya agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha wema wowote.+ 3 Haupaswe kufanya mapatano yoyote ya ndoa pamoja* nao. Watoto wako wanamuke usiwapatie watoto wao wanaume wala usikamate watoto wao wanamuke kwa ajili ya watoto wako wanaume.+ 4 Kwa maana watageuza watoto wenu wanaume waache kunifuata ili kutumikia miungu mingine;+ kisha kasirani ya Yehova itawaka juu yenu, na atawaharibu haraka.+

5 “Lakini, ni hivi mutawatendea: Mubomoe mazabahu zao, muvunje nguzo zao takatifu,+ mukate miti yao mitakatifu,*+ na kuteketeza kwa moto sanamu zao za kuchongwa.+ 6 Kwa maana wewe ni kikundi cha watu watakatifu kwa ajili ya Yehova Mungu wako, na Yehova Mungu wako amekuchagua kuwa kikundi chake cha watu, mali yake ya pekee,* katikati ya vikundi vyote vya watu vyenye kuwa juu ya uso wa dunia.+

7 “Yehova hakuwaonyesha upendo na kuwachagua kwa sababu mulikuwa wengi sana kuliko vikundi vyote vya watu,+ kwa maana mulikuwa taifa la kidogo sana kati ya vikundi vyote vya watu.+ 8 Lakini, ni kwa sababu Yehova anawapenda na kwa sababu alishika kiapo chenye aliapia mababu zenu+ ndiyo maana Yehova aliwatosha kwa mukono wake wenye nguvu, ili kuwakomboa kutoka katika nyumba ya utumwa,+ kutoka katika mamlaka* ya Farao mufalme wa Misri. 9 Unajua muzuri kwamba Yehova Mungu wako ndiye Mungu wa kweli, Mungu muaminifu, mwenye kushika agano lake na upendo mushikamanifu kufikia vizazi elfu (1 000) vya wale wenye kumupenda na kushika amri zake.+ 10 Lakini wale wenye kumuchukia atawalipa uharibifu kwenye uso wao.+ Hatakawia kushugulika na wale wenye kumuchukia; atawalipa kwenye uso wao. 11 Kwa hiyo, ukuwe muangalifu kushika amri na masharti na maamuzi ya hukumu yenye ninakuamuru leo, kwa kuyashika.

12 “Kama munaendelea kusikiliza maamuzi hayo ya hukumu na kuyashika na kuyatenda, Yehova Mungu wako atashika lile agano na upendo mushikamanifu wenye aliapia mababu zako. 13 Atakupenda na kukubariki na kukufanya uongezeke. Ndiyo, atakubariki kwa kukupatia watoto wengi*+ na kwa kukupatia mazao ya udongo wako, nafaka yako, divai yako mupya, mafuta yako,+ vitoto vya mifugo yako na vitoto vya makundi yako, katika inchi yenye aliapia mababu zako kwamba atakupatia.+ 14 Utabarikiwa kuliko vikundi vyote vya watu;+ hakuna mwanaume ao mwanamuke kati yako mwenye atakosa mutoto, wala mifugo yako haitakosa kuzaa.+ 15 Yehova atakuondolea magonjwa yote, na hatakuletea ugonjwa wowote hatari wenye ulijua kule Misri.+ Lakini, ataletea magonjwa hayo wale wote wenye kukuchukia. 16 Utaharibu* vikundi vyote vya watu vyenye Yehova Mungu wako atatia katika mukono wako.+ Haupaswe* kuvihurumia,+ na haupaswe kutumikia miungu yao,+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mutego kwako.+

17 “Kama utasema katika moyo wako, ‘Mataifa haya yako na watu wengi kuliko sisi. Namna gani nitaweza kuyafukuza?’+ 18 haupaswe kuyaogopa.+ Unapaswa kujikumbusha mambo yenye Yehova Mungu wako alimutendea Farao na Misri yote,+ 19 zile hukumu kubwa zenye* macho yako yaliona na zile alama na miujiza+ na mukono wenye nguvu na mukono wenye kunyooshwa wenye Yehova Mungu wako alikutosha nao.+ Ni vile Yehova Mungu wako atatendea vikundi vyote vya watu vyenye unaogopa.+ 20 Yehova Mungu wako atatuma hisia ya kuvunjika moyo* juu yao mupaka wale wenye walikuwa wamebakia+ na wenye walikuwa wanajificha wakuwe wameangamia. 21 Usiogope kwa sababu yao, kwa maana Yehova Mungu wako iko* pamoja na wewe,+ Mungu mukubwa na mwenye kuogopesha sana.+

22 “Hakika Yehova Mungu wako atafukuza mataifa haya mbele yako hatua kwa hatua.+ Hautaruhusiwa kuyamaliza haraka, ili wanyama wa pori wasiongezeke na kukushambulia. 23 Yehova Mungu wako atayatia katika mukono wako na kushinda kabisa mataifa hayo mupaka yaharibiwe.+ 24 Atatia wafalme wa mataifa hayo katika mukono wako,+ na utafuta majina yao chini ya mbingu.+ Hakuna mutu mwenye atasimama mbele yako,+ mupaka wakati utakuwa umewaharibu.+ 25 Utateketeza sanamu za kuchongwa za miungu yao ndani ya moto.+ Usitamani feza na zahabu ya sanamu hizo wala usiikamate ili ikuwe yako,+ ili usinaswe katika mutego wake, kwa maana ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+ 26 Haupaswe kuingiza kitu chenye kuchukiza ndani ya nyumba yako na hivyo ukuwe kama kitu hicho chenye kinapaswa kuharibiwa. Unapaswa kukichukia kabisa na kukichukia sana, kwa sababu ni kitu chenye kinapaswa kuharibiwa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine