Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 33
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Madaraka ya mulinzi (1-20)

      • Habari kuhusu kuanguka kwa Yerusalemu (21, 22)

      • Ujumbe kwa wakaaji wa mabomoko ya Yerusalemu (23-29)

      • Watu hawatende kulingana na ujumbe huo (30-33)

        • Ezekieli “kama wimbo wa mapenzi” (32)

        • “Kulikuwa nabii kati yao” (33)

Ezekieli 33:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 3:11
  • +Law. 26:25; Eze 6:3; 21:9

Ezekieli 33:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 4:5; Ho 8:1

Ezekieli 33:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kumuondoa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 6:17; Zek 1:4
  • +Eze 3:19; Mdo 18:6

Ezekieli 33:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yake ingeokolewa.”

Ezekieli 33:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi ya.”

  • *

    Ao “mulinzi atakuwa na hatia kwa sababu ya damu yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 56:10
  • +Eze 3:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 137

Ezekieli 33:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 21:8; Yer 1:17; Eze 3:17

Ezekieli 33:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 3:11; Eze 18:4
  • +Mez. 11:21

Ezekieli 33:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 15:10
  • +Eze 3:19; Mdo 18:6

Ezekieli 33:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:39; Isa 64:6; Eze 24:23
  • +Eze 37:11

Ezekieli 33:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 18:23; 1 Tim. 2:3, 4
  • +Isa 31:6; Lu 15:10
  • +Zab 130:7, 8
  • +Isa 55:7; Yer 3:22; 25:5; Mdo 3:19
  • +Eze 18:31; 2 Pe. 3:9

Ezekieli 33:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 3:20; 18:24
  • +1 Fal. 8:48, 50; Eze 18:21
  • +Eze 18:26

Ezekieli 33:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kutenda ukosefu wa haki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Pe. 2:20
  • +Eze 18:4

Ezekieli 33:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 55:7; Eze 18:21; Mik 6:8

Ezekieli 33:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:26
  • +Law. 6:2, 4; Eze 22:29
  • +Law. 18:5; Eze 18:27

Ezekieli 33:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “itakumbukwa.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:18
  • +Eze 20:11

Ezekieli 33:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 10:38; 2 Pe. 2:20

Ezekieli 33:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 18:27

Ezekieli 33:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 18:25, 29

Ezekieli 33:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 24:25-27
  • +2 Fal. 25:4; 2Nya 36:17; Yer 39:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 136

Ezekieli 33:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 3:26

Ezekieli 33:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 39:10; Eze 36:4
  • +Mwa 12:7

Ezekieli 33:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine neno la Kiebrania lenye linatumiwa hapa linahusiana na maneno “mavi ya wanyama” na linatumiwa ili kuonyesha zarau.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 9:4; Law. 17:12
  • +Eze 22:6

Ezekieli 33:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Sef 3:3
  • +Yer 5:8
  • +Kum 4:26; Yosh. 23:15

Ezekieli 33:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 42:22; Eze 5:12

Ezekieli 33:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:20, 21; Isa 6:11; Yer 44:2
  • +Eze 6:3

Ezekieli 33:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 9:11; 25:11
  • +2 Fal. 17:9; 2Nya 36:14

Ezekieli 33:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 18:18

Ezekieli 33:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wanazungumuza kwa tamaa kubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 29:13; Yer 44:16, 17

Ezekieli 33:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 2:5

Maandiko ingine

Eze. 33:2Eze 3:11
Eze. 33:2Law. 26:25; Eze 6:3; 21:9
Eze. 33:3Yer 4:5; Ho 8:1
Eze. 33:4Yer 6:17; Zek 1:4
Eze. 33:4Eze 3:19; Mdo 18:6
Eze. 33:6Isa 56:10
Eze. 33:6Eze 3:18
Eze. 33:7Isa 21:8; Yer 1:17; Eze 3:17
Eze. 33:8Isa 3:11; Eze 18:4
Eze. 33:8Mez. 11:21
Eze. 33:9Mez. 15:10
Eze. 33:9Eze 3:19; Mdo 18:6
Eze. 33:10Law. 26:39; Isa 64:6; Eze 24:23
Eze. 33:10Eze 37:11
Eze. 33:11Eze 18:23; 1 Tim. 2:3, 4
Eze. 33:11Isa 31:6; Lu 15:10
Eze. 33:11Zab 130:7, 8
Eze. 33:11Isa 55:7; Yer 3:22; 25:5; Mdo 3:19
Eze. 33:11Eze 18:31; 2 Pe. 3:9
Eze. 33:12Eze 3:20; 18:24
Eze. 33:121 Fal. 8:48, 50; Eze 18:21
Eze. 33:12Eze 18:26
Eze. 33:132 Pe. 2:20
Eze. 33:13Eze 18:4
Eze. 33:14Isa 55:7; Eze 18:21; Mik 6:8
Eze. 33:15Kut 22:26
Eze. 33:15Law. 6:2, 4; Eze 22:29
Eze. 33:15Law. 18:5; Eze 18:27
Eze. 33:16Isa 1:18
Eze. 33:16Eze 20:11
Eze. 33:18Ebr 10:38; 2 Pe. 2:20
Eze. 33:19Eze 18:27
Eze. 33:20Eze 18:25, 29
Eze. 33:21Eze 24:25-27
Eze. 33:212 Fal. 25:4; 2Nya 36:17; Yer 39:2
Eze. 33:22Eze 3:26
Eze. 33:24Yer 39:10; Eze 36:4
Eze. 33:24Mwa 12:7
Eze. 33:25Mwa 9:4; Law. 17:12
Eze. 33:25Eze 22:6
Eze. 33:26Sef 3:3
Eze. 33:26Yer 5:8
Eze. 33:26Kum 4:26; Yosh. 23:15
Eze. 33:27Yer 42:22; Eze 5:12
Eze. 33:282Nya 36:20, 21; Isa 6:11; Yer 44:2
Eze. 33:28Eze 6:3
Eze. 33:29Yer 9:11; 25:11
Eze. 33:292 Fal. 17:9; 2Nya 36:14
Eze. 33:30Yer 18:18
Eze. 33:31Isa 29:13; Yer 44:16, 17
Eze. 33:33Eze 2:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 33:1-33

Ezekieli

33 Na neno la Yehova likakuja kwangu, na kusema: 2 “Mwana wa binadamu, sema na wana wa watu wako,+ na uwaambie,

“‘Kama ninaleta upanga juu ya inchi,+ na watu wote wa inchi hiyo wamukamate mutu na kumufanya kuwa mulinzi wao, 3 naye aone upanga ukikuja juu ya inchi, naye apige baragumu na kuonya watu.+ 4 Kama mutu fulani anasikia sauti ya baragumu lakini hatii onyo,+ na upanga ukuje na kuondoa uzima wake,* damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe.+ 5 Alisikia sauti ya baragumu, lakini hakutii onyo. Damu yake itakuwa juu yake mwenyewe. Kama angetii onyo, uzima wake ungeokolewa.*

6 “‘Lakini kama mulinzi anaona upanga ukikuja naye hapige baragumu+ na watu hawapate onyo na upanga ukuje na kuondoa uzima wa* mumoja wao, mutu huyo atakufa kwa sababu ya kosa lake mwenyewe, lakini nitaomba damu yake kwa mulinzi.’*+

7 “Sasa wewe, mwana wa binadamu, nimekuweka kuwa mulinzi kwa ajili ya nyumba ya Israeli, na wakati unasikia neno kutoka katika kinywa changu unapaswa kuwaonya kutoka kwangu.+ 8 Wakati ninamuambia mutu muovu, ‘Wewe muovu, hakika utakufa!’+ lakini wewe hauseme ili kumuonya muovu abadilishe njia yake, yeye kwa kuwa ni muovu atakufa kwa sababu ya kosa lake,+ lakini damu yake nitaiomba kwako. 9 Lakini kama unamuonya mutu muovu ageuke na kuacha njia yake naye akatae kubadilisha njia yake, atakufa kwa sababu ya kosa lake mwenyewe,+ lakini wewe hakika utaokoa uzima wako* mwenyewe.+

10 “Na wewe, mwana wa binadamu, ambia nyumba ya Israeli, ‘Ninyi mumesema: “Matendo yetu ya kuasi na zambi zetu zinatulemea sana, zinatufanya tukuwe wazaifu;+ basi namna gani tutaendelea kuishi?”’+ 11 Uwaambie, ‘“Kama vile hakika ninaishi,” ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, “Sifurahie kifo cha muovu,+ lakini tofauti na hilo mutu muovu abadilishe njia yake+ na kuendelea kuishi.+ Mugeuke, mugeuke muache njia zenu za mubaya,+ sababu gani mukufe, Ee nyumba ya Israeli?”’+

12 “Na wewe, mwana wa binadamu, ambia wana wa watu wako, ‘Haki ya mwenye haki haitamuokoa wakati anaasi;+ wala uovu wa muovu hautamufanya ajikwae wakati anaacha uovu wake;+ wala hakuna mutu yeyote mwenye haki mwenye ataweza kuendelea kuishi kwa sababu ya haki yake katika siku yenye anatenda zambi.+ 13 Wakati ninamuambia mwenye haki: “Hakika utaendelea kuishi,” naye ategemee haki yake mwenyewe na kufanya makosa,*+ hakuna tendo moja kati ya matendo yake yenye haki lenye litakumbukwa, lakini atakufa kwa sababu ya makosa yenye amefanya.+

14 “‘Na wakati ninamuambia muovu: “Hakika utakufa,” naye anaacha zambi yake na kutenda haki na uadilifu,*+ 15 naye muovu anarudisha kitu chenye kiliwekeshwa kwa ajili ya mukopo+ na kulipa vitu vyenye vilikamatwa kwa unyanganyi,+ naye anatembea katika sheria za uzima kwa kuepuka kufanya makosa, hakika ataendelea kuishi.+ Yeye hatakufa. 16 Hakuna zambi yoyote yenye alitenda yenye itahesabiwa* juu yake.+ Kwa sababu anatenda haki na uadilifu,* hakika ataendelea kuishi.’+

17 “Lakini watu wako wamesema, ‘Njia ya Yehova haiko ya haki,’ wakati kwa kweli njia yao ndiyo haiko ya haki.

18 “Wakati mwenye haki anaacha haki yake na kufanya makosa, anapaswa kufa kwa sababu ya hayo.+ 19 Lakini wakati muovu anageuka na kuacha uovu wake na kutenda haki na uadilifu,* yeye ataendelea kuishi kwa sababu ya kufanya vile.+

20 “Lakini mumesema, ‘Njia ya Yehova haiko ya haki.’+ Nitahukumu kila mumoja wenu kulingana na njia zake, Ee nyumba ya Israeli.”

21 Mwishowe katika mwaka wa kumi na mbili (12), mwezi wa kumi (10), siku ya tano (5) ya mwezi wa uhamisho wetu, mutu mwenye alikuwa ameponyoka kutoka Yerusalemu akakuja kwangu+ na kusema: “Muji umepigwa na kuangushwa!”+

22 Sasa, mangaribi mbele mutu huyo mwenye aliponyoka akuje, mukono wa Yehova ulikuwa umekuja juu yangu, na alikuwa amefungua kinywa changu mbele mutu huyo akuje kwangu asubui. Kwa hiyo kinywa changu kilifunguliwa, na sikukuwa bubu tena.+

23 Kisha neno la Yehova likakuja kwangu, na kusema: 24 “Mwana wa binadamu, wakaaji wa mabomoko haya+ wanasema kuhusu inchi ya Israeli, ‘Abrahamu alikuwa mutu mumoja tu, hata hivyo alikamata inchi hii.+ Lakini sisi ni wengi; hakika tumepewa inchi hii ikuwe mali yetu.’

25 “Kwa hiyo uwaambie, ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Munakula chakula pamoja na damu,+ na munainua macho yenu kuelekea sanamu zenu zenye kuchukiza,* na munaendelea kumwanga damu.+ Basi, sababu gani muriti inchi hii? 26 Mumetegemea upanga wenu,+ munafanya matendo yenye kuchukiza, na kila mumoja wenu amemuchafua bibi ya jirani yake.+ Basi, sababu gani muriti inchi hii?”’+

27 “Utawaambia hivi: ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Kama vile hakika ninaishi, wale wenye kuishi katika mabomoko hayo wataanguka kwa upanga; wale wenye kuwa katika eneo lenye kuwa wazi la mashamba, nitawafanya kuwa chakula cha wanyama wa pori; na wale wenye kuwa katika ngome na katika mapango watakufa kwa ugonjwa.+ 28 Nitafanya inchi kuwa eneo lenye kuwa ukiwa kabisa,+ na kiburi chake chenye majivuno kitakomeshwa, na milima ya Israeli itakuwa ukiwa,+ pasipo mutu mwenye kupita kule. 29 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova wakati nitafanya inchi kuwa eneo lenye kuwa ukiwa+ kwa sababu ya mambo yote yenye kuchukiza yenye wamefanya.”’+

30 “Sasa wewe, mwana wa binadamu, watu wako wanasemezana kukuhusu pembeni ya kuta na katika miingilio ya nyumba.+ Wanaambiana, kila mumoja na ndugu yake, ‘Kuja, na tusikie neno lenye linatoka kwa Yehova.’ 31 Wataingia wengi na kukaa mbele yako kama watu wangu; nao watasikia maneno yako lakini hawatayatenda.+ Kwa maana wanakusifu-sifu kwa kinywa chao* lakini moyo wao uko na pupa ya faida yenye haiko ya haki. 32 Angalia! Wewe ni kama wimbo wa mapenzi kwao, wenye kuimbwa kwa sauti ya muzuri na kuchezwa kwa ufundi kwa chombo cha kamba. Watasikia maneno yako, lakini hakuna mutu yeyote mwenye atayatenda. 33 Na wakati yatatimia​—⁠na yatatimia​—⁠wao watalazimika kujua kwamba kulikuwa nabii kati yao.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine