Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Habakuki 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Habakuki

      • ‘Nitaendelea kuwa macho ili nione ataniambia nini’ (1)

      • Yehova anamujibu nabii (2-​20)

        • ‘Endelea kungojea maono’ (3)

        • Mwenye haki ataishi kwa uaminifu (4)

        • Ole tano kwa Wakaldayo (6-20)

          • Dunia yote itajaa ujuzi juu ya Yehova (14)

Habakuki 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 21:8; Mik 7:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/11/2007, uku. 10

    1/2/2000,

    uku. 12, 14

Habakuki 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bila kusita-sita.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:14
  • +Kum 31:9, 11

Habakuki 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utimizo.”

  • *

    Ao “Kama inaonekana kwamba yanakawia.”

  • *

    Ao “kuyangojea kwa hamu!”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mik 7:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2015, uku. 12

    15/12/2006, uku. 17

    1/2/2000, uku. 14-15

    15/1/2000, uku. 10

    Siku ya Yehova, uku. 152-154, 164

    “Kila Andiko,” uku. 163

Habakuki 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Angalia! Nafsi yake imevimba.”

  • *

    Ao pengine, “imani yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:36; Rom. 1:17; Gal 3:11; Ebr 10:38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Siku ya Yehova, uku. 25, 187-188

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 15

    “Kila Andiko,”

    uku. 162-163

Habakuki 2:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yake.”

  • *

    Ao “Sheoli,” ni kusema, kaburi la wanadamu wote. Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “Eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 14:16, 17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/11/2007, uku. 10

    1/2/2000, uku. 15-16

Habakuki 2:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 14:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 16

Habakuki 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:11

Habakuki 2:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:19; Yer 27:6, 7; Zek 2:7-9
  • +2Nya 36:17; Zab 137:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 16

Habakuki 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba yake; kiota chake.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 16

Habakuki 2:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “umetendea nafsi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 14:20

Habakuki 2:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/11/2007, uku. 10

    1/2/2000, uku. 16-17

Habakuki 2:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 17

Habakuki 2:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:58

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 17

Habakuki 2:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 72:19; Isa 11:9; Zek 14:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 17-18

Habakuki 2:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 18

Habakuki 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “na uyumbe-yumbe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 75:8; Isa 51:22, 23; Yer 25:28; 51:57

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 18

Habakuki 2:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 137:8; Yer 50:28; 51:24

Habakuki 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sanamu ya kuyeyushwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 42:17; 44:19, 20; 45:20

Habakuki 2:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 40:19; 46:6
  • +Yer 51:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 18-19

Habakuki 2:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 6:1
  • +Zab 76:8; 115:3; Zek 2:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 19

    “Kila Andiko,” uku. 161

Maandiko ingine

Hab. 2:1Isa 21:8; Mik 7:7
Hab. 2:2Kut 17:14
Hab. 2:2Kum 31:9, 11
Hab. 2:3Mik 7:7
Hab. 2:4Yoh 3:36; Rom. 1:17; Gal 3:11; Ebr 10:38
Hab. 2:5Isa 14:16, 17
Hab. 2:6Isa 14:4
Hab. 2:7Yer 51:11
Hab. 2:8Isa 13:19; Yer 27:6, 7; Zek 2:7-9
Hab. 2:82Nya 36:17; Zab 137:8
Hab. 2:10Isa 14:20
Hab. 2:13Yer 51:58
Hab. 2:14Zab 72:19; Isa 11:9; Zek 14:9
Hab. 2:16Zab 75:8; Isa 51:22, 23; Yer 25:28; 51:57
Hab. 2:17Zab 137:8; Yer 50:28; 51:24
Hab. 2:18Isa 42:17; 44:19, 20; 45:20
Hab. 2:19Isa 40:19; 46:6
Hab. 2:19Yer 51:17
Hab. 2:20Isa 6:1
Hab. 2:20Zab 76:8; 115:3; Zek 2:13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Habakuki 2:1-20

Habakuki

2 Nitaendelea kusimama mahali pangu pa kufanyia ulinzi,+

Na nitasimama juu ya boma.

Nitaendelea kuwa macho ili nione atasema nini kupitia mimi

Na jambo lenye nitajibu wakati nitakaripiwa.

 2 Kisha Yehova akanijibu:

“Andika maono haya, na uyaandike waziwazi kwenye mabamba,+

Ili mwenye kusoma kwa sauti, ayasome kwa urahisi.*+

 3 Kwa maana maono haya ni ya wakati wenye uliwekwa,

Na yanaenda haraka kufikia mwisho* wake, hayatasema uongo.

Hata yakikawia,* endelea kuyangojea!*+

Kwa maana hayatakosa kutimia.

Hayatachelewa!

 4 Angalia mutu mwenye kiburi;*

Hana unyoofu ndani yake.

Lakini mwenye haki ataishi kwa uaminifu wake.*+

 5 Kwa kweli, kwa sababu divai ni yenye udanganyifu,

Mutu mwenye kiburi hatafikia muradi wake.

Anafanya hamu yake ya kula* ikuwe kubwa kama Kaburi;*

Iko* kama kifo na hawezi kushiba.

Anaendelea kukusanya mataifa yote

Na kujikusanyia vikundi vyote vya watu.+

 6 Je, hao wote hawatasema mezali, fumbo, na vitendawili juu yake?+

Watasema:

‘Ole wake mutu mwenye kujirundikia vitu vyenye haviko vyake

—Mupaka wakati gani?—

Na mwenye kuongeza deni lake mwenyewe!

 7 Je, watu wenye walikukopesha hawatakuja bila kutazamia?

Wataamuka na kukutikisa kwa jeuri,

Na utakuwa kwao kitu chenye wao watanyanganya.+

 8 Kwa sababu ulinyanganya vitu vya mataifa mengi,

Watu wote wenye kubakia wa vikundi vya watu watanyanganya vitu vyako,+

Kwa sababu ulimwanga damu ya wanadamu

Na kwa sababu ya jeuri yenye ulitendea dunia,

Miji na wakaaji wake.+

 9 Ole wake mutu mwenye kutafutia nyumba yake faida ya uovu,

Ili kujenga chicha yake* katika nafasi ya juu,

Kusudi aepuke kushikwa na musiba!

10 Umeletea familia yako haya kwa sababu ya mipango yako,

Kwa kuharibu vikundi vingi vya watu umejitendea* zambi.+

11 Kwa maana jiwe litalilia kwenye ukuta,

Na kipande cha muti chenye kuwa juu ya nyumba kitalijibu.

12 Ole wake mutu mwenye kujenga muji kupitia umwangaji wa damu,

Na mwenye kujenga muji kupitia ukosefu wa haki!

13 Angalia! Je, haiko Yehova wa majeshi ndiye anaagiza kwamba vikundi vya watu vifanye kazi ya nguvu yenye itakulisha moto,

Na kwamba mataifa yajichokeshe bure?+

14 Kwa maana dunia itajaa ujuzi juu ya utukufu wa Yehova

Kama vile maji yanafunika bahari.+

15 Ole wake mutu mwenye kupatia wenzake kinywaji,

Mwenye kuongeza kwenye kinywaji hicho kasirani kali na hasira, ili kuwalewesha,

Kusudi aangalie uchi wao!

16 Utajaa haya pa nafasi ya utukufu.

Wewe pia—kunywa na ufunue hali yako ya kukosa kutahiriwa.*

Kikombe chenye kuwa katika mukono wa kuume wa Yehova kitakufikia,+

Na haya itafunika utukufu wako;

17 Kwa sababu jeuri yenye ulitendea Lebanoni itakufunika,

Na uharibifu wenye uliogopesha sana wanyama utakuja juu yako,

Kwa sababu ulimwanga damu ya wanadamu

Na kwa sababu ya jeuri yenye ulitendea dunia,

Miji na wakaaji wake.+

18 Sanamu ya kuchongwa iko na faida gani

Wakati mwenye aliifanya ameichonga?

Sanamu ya metali* na mwalimu wa uongo wako na faida gani,

Hata kama mwenye aliitengeneza anaitegemea,

Kwa kutengeneza miungu yenye haina mafaa yoyote na yenye haiwezi kusema?+

19 Ole wake mutu mwenye kuambia kipande cha muti: “Amuka!”

Ao mwenye kuambia jiwe lenye haliwezi kusema: “Amuka! Utufundishe”!

Angalia! Imefunikwa kwa zahabu na feza,+

Na haina pumuzi ndani yake hata kidogo.+

20 Lakini Yehova iko* katika hekalu lake takatifu.+

Kaa kimya mbele yake, dunia yote!’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine