Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wagalatia 6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wagalatia

      • Mubebeane mizigo mizito (1-10)

        • Kuvuna kile chenye kilipandwa (7, 8)

      • Kutahiriwa hakuna maana (11-16)

        • Kiumbe kipya (15)

      • Maneno ya kumalizia (17, 18)

Wagalatia 6:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 15:1; Kol 3:12; 1 Tim. 6:11; Tit 3:2
  • +1 Kor. 10:12
  • +Yak 3:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2012, uku. 29

    15/8/2008, uku. 26

    15/11/2006, uku. 29-30

    1/4/2003, uku. 24-25

Wagalatia 6:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 5:14
  • +Yoh 13:34; 15:12; 1 Yo. 4:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2015, uku. 29

    15/8/2008, uku. 26

    1/5/2006, uku. 29-30

    15/8/2005, uku. 25-29

    15/3/2002, uku. 27-28

    Mkaribie Yehova,

    uku. 153-156

Wagalatia 6:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:3

Wagalatia 6:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 13:5
  • +Gal 5:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2012, uku. 13

    1/11/2010, uku. 5

    1/6/2006, uku. 15

    1/6/2005, uku. 16-17

    Huduma ya Ufalme,

    7/2012, uku. 1

Wagalatia 6:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muzigo wa daraka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:4; 2 Kor. 5:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2008, uku. 13

    15/8/2008, uku. 26

    15/3/2002, uku. 28

Wagalatia 6:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye anafundishwa kwa kinywa.”

  • *

    Ao “fundisho hilo la kinywa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:9, 10; Lu 10:7; Rom. 15:27; 1 Kor. 9:11, 14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2002, uku. 16

Wagalatia 6:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 2:6-8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 267

Wagalatia 6:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:6, 13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2008, uku. 26

Wagalatia 6:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hatuache.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 3:14; 12:3; Ufu 2:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2013, uku. 27

    1/6/2005, uku. 29-30

    Huduma ya Ufalme,

    6/2001, uku. 1

Wagalatia 6:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tungali na wakati wenye uliwekwa.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova,

    uku. 226

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2006, uku. 23

    1/6/2004, uku. 30-31

    1/6/2001, uku. 15

    Huduma ya Ufalme,

    6/2002, uku. 1

Wagalatia 6:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 2187

Wagalatia 6:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye wanataka kuonekana wazuri kwa inje.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Wagalatia 6:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 2:10

Wagalatia 6:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “umeuawa kwenye muti.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 2:2

Wagalatia 6:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 7:19; Gal 5:6; Kol 3:10, 11
  • +2 Kor. 5:17; Efe 2:10

Wagalatia 6:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 9:6

Wagalatia 6:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 4:10; Flp 3:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2010, uku. 15

Wagalatia 6:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2012,

    uku. 12-13

Maandiko ingine

Gal. 6:1Mez. 15:1; Kol 3:12; 1 Tim. 6:11; Tit 3:2
Gal. 6:11 Kor. 10:12
Gal. 6:1Yak 3:2
Gal. 6:21 Tes. 5:14
Gal. 6:2Yoh 13:34; 15:12; 1 Yo. 4:21
Gal. 6:3Rom. 12:3
Gal. 6:42 Kor. 13:5
Gal. 6:4Gal 5:26
Gal. 6:5Rom. 14:4; 2 Kor. 5:10
Gal. 6:6Mt 10:9, 10; Lu 10:7; Rom. 15:27; 1 Kor. 9:11, 14
Gal. 6:7Rom. 2:6-8
Gal. 6:8Rom. 8:6, 13
Gal. 6:9Ebr 3:14; 12:3; Ufu 2:10
Gal. 6:13Yak 2:10
Gal. 6:141 Kor. 2:2
Gal. 6:151 Kor. 7:19; Gal 5:6; Kol 3:10, 11
Gal. 6:152 Kor. 5:17; Efe 2:10
Gal. 6:16Rom. 9:6
Gal. 6:172 Kor. 4:10; Flp 3:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wagalatia 6:1-18

Kwa Wagalatia

6 Ndugu, hata kama mutu anafanya hatua fulani ya mubaya mbele ajue jambo hilo, ninyi wenye muko na sifa za kustahili kiroho mujaribu kumurekebisha upya mutu huyo kwa roho ya upole.+ Lakini endelea kujiangalia wewe mwenyewe,+ ili wewe pia usijaribiwe.+ 2 Muendelee kubebeana mizigo mizito,+ na kwa njia hiyo mutatimiza sheria ya Kristo.+ 3 Kwa maana kama mutu yeyote anawaza yeye ni kitu wakati yeye haiko kitu,+ anajidanganya yeye mwenyewe. 4 Lakini kila mutu achunguze matendo yake mwenyewe,+ kisha atakuwa na sababu ya kufurahi juu yake yeye mwenyewe, na hapana kwa kujilinganisha na mutu mwingine.+ 5 Kwa maana kila mutu atabeba muzigo* wake mwenyewe.+

6 Zaidi ya hayo, mutu yeyote mwenye anafundishwa* neno ashiriki katika mambo yote mema pamoja na ule mwenye anatoa fundisho hilo.*+

7 Musidanganywe: Mungu haiko wa kuchekelewa. Kwa maana kitu chochote chenye mutu anapanda, ni kile atavuna pia;+ 8 kwa sababu ule mwenye anapanda kwa mwili wake atavuna uharibifu kutokana na mwili wake, lakini ule mwenye anapanda kwa roho, atavuna uzima wa milele kutokana na roho.+ 9 Basi tusiache kufanya mema, kwa maana kwa wakati wenye kufaa tutavuna kama hatuchoke kabisa.*+ 10 Kwa hiyo basi, wakati tungali na nafasi,* tutendee watu wote mambo ya muzuri, lakini zaidi sana wale wenye kuwa wa jamaa yetu katika imani.

11 Muone kwamba nimewaandikia ninyi kwa herufi kubwa-kubwa kwa mukono wangu mwenyewe.

12 Wale wote wenye wanataka kujionyesha kuwa wazuri katika mwili* ndio wenye wanajaribu kuwalazimisha ninyi mutahiriwe, na wanafanya vile ili tu waepuke kuteswa kwa ajili ya muti wa mateso* wa Kristo. 13 Kwa maana hata wale wenye wanatahiriwa, wao wenyewe hawashike Sheria,+ lakini wanataka mutahiriwe ili wakuwe na sababu ya kujisifu juu ya mwili wenu. 14 Lakini mimi sitajisifu hata kidogo, isipokuwa katika muti wa mateso* wa Bwana wetu Yesu Kristo,+ mwenye kupitia yeye ulimwengu umeuawa* kuhusiana na mimi, na mimi kuhusiana na ulimwengu. 15 Kwa maana kutahiriwa haiko kitu wala kutokutahiriwa,+ lakini kiumbe kipya ndicho kitu.+ 16 Na kwa wale wote wenye wanatembea kwa utaratibu kwa kufuata kanuni hii ya mwenendo, juu yao kukuwe amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+

17 Kuanzia sasa na kuendelea mutu yeyote asiniletee taabu, kwa maana ninabeba kwenye mwili wangu alama za mutumwa wa Yesu.+

18 Ndugu, fazili zenye hazistahiliwe za Bwana wetu Yesu Kristo zikuwe pamoja na roho yenye munaonyesha. Amina.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine