Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Yehoahazi, mufalme wa Yuda (1-3)

      • Yehoyakimu, mufalme wa Yuda (4-8)

      • Yehoyakini, mufalme wa Yuda (9, 10)

      • Sedekia, mufalme wa Yuda (11-14)

      • Uharibifu wa Yerusalemu (15-21)

      • Agizo la Koreshi la kujenga upya hekalu (22, 23)

2 Mambo ya Nyakati 36:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 3:15; Yer 22:11
  • +2 Fal. 23:30, 31

2 Mambo ya Nyakati 36:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “faini.”

  • *

    Talanta moja ilikuwa sawa na kilograme 34.2 (aunsi troi 1.101). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:14; 23:33

2 Mambo ya Nyakati 36:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:29; Yer 46:2
  • +2 Fal. 23:34; Yer 22:11, 12

2 Mambo ya Nyakati 36:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 26:20, 21; 36:32
  • +2 Fal. 23:36, 37

2 Mambo ya Nyakati 36:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:1; 25:1; Yer 25:1
  • +2 Fal. 24:16; Da. 1:1

2 Mambo ya Nyakati 36:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 1:7; Yer 27:16; Da. 1:2; 5:2

2 Mambo ya Nyakati 36:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:5, 6

2 Mambo ya Nyakati 36:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 22:24; Mt 1:12
  • +2 Fal. 24:8, 9

2 Mambo ya Nyakati 36:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine, katika kipindi cha mvua ya mwisho.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:10; Yer 29:1, 2; Eze 1:2
  • +2 Fal. 24:13; Yer 27:17, 18
  • +2 Fal. 24:17

2 Mambo ya Nyakati 36:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 37:1
  • +2 Fal. 24:18-20; Yer 52:1-3

2 Mambo ya Nyakati 36:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 21:1, 2; 34:2; 38:14, 24

2 Mambo ya Nyakati 36:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akafanya shingo yake kuwa ngumu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:20; Eze 17:12-15

2 Mambo ya Nyakati 36:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 16:11; Eze 8:10, 11

2 Mambo ya Nyakati 36:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 30:1, 10
  • +Yer 5:12
  • +Yer 20:7
  • +Zab 74:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    8/6/2003, uku. 19

2 Mambo ya Nyakati 36:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:2
  • +Law. 26:31; Kum 28:25; Zab 79:2
  • +Eze 9:7
  • +Omb 2:21
  • +Kum 28:49-51

2 Mambo ya Nyakati 36:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 20:16, 17; Isa 39:6; Yer 27:19-22; 52:17

2 Mambo ya Nyakati 36:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 74:4-7
  • +Yer 52:14
  • +1 Fal. 9:7; 2 Fal. 25:9, 10; Zab 79:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,”

    uku. 68-69, 156

2 Mambo ya Nyakati 36:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mamlaka ya kifalme yalianza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:21; Zab 137:1
  • +Yer 27:6, 7
  • +Ezr 1:1-3

2 Mambo ya Nyakati 36:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 25:9
  • +Law. 26:34
  • +Yer 25:12; Zek 1:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 32

    “Kila Andiko,” uku. 84

2 Mambo ya Nyakati 36:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 44:28; 45:1
  • +Yer 29:14; 32:42; 33:10, 11
  • +Ezr 1:1-4

2 Mambo ya Nyakati 36:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 5:18
  • +Isa 44:28
  • +Ezr 7:12, 13

Maandiko ingine

2 Nya. 36:11Nya 3:15; Yer 22:11
2 Nya. 36:12 Fal. 23:30, 31
2 Nya. 36:32 Fal. 18:14; 23:33
2 Nya. 36:42 Fal. 23:29; Yer 46:2
2 Nya. 36:42 Fal. 23:34; Yer 22:11, 12
2 Nya. 36:5Yer 26:20, 21; 36:32
2 Nya. 36:52 Fal. 23:36, 37
2 Nya. 36:62 Fal. 24:1; 25:1; Yer 25:1
2 Nya. 36:62 Fal. 24:16; Da. 1:1
2 Nya. 36:7Ezr 1:7; Yer 27:16; Da. 1:2; 5:2
2 Nya. 36:82 Fal. 24:5, 6
2 Nya. 36:9Yer 22:24; Mt 1:12
2 Nya. 36:92 Fal. 24:8, 9
2 Nya. 36:102 Fal. 24:10; Yer 29:1, 2; Eze 1:2
2 Nya. 36:102 Fal. 24:13; Yer 27:17, 18
2 Nya. 36:102 Fal. 24:17
2 Nya. 36:11Yer 37:1
2 Nya. 36:112 Fal. 24:18-20; Yer 52:1-3
2 Nya. 36:12Yer 21:1, 2; 34:2; 38:14, 24
2 Nya. 36:132 Fal. 24:20; Eze 17:12-15
2 Nya. 36:142 Fal. 16:11; Eze 8:10, 11
2 Nya. 36:162Nya 30:1, 10
2 Nya. 36:16Yer 5:12
2 Nya. 36:16Yer 20:7
2 Nya. 36:16Zab 74:1
2 Nya. 36:172 Fal. 24:2
2 Nya. 36:17Law. 26:31; Kum 28:25; Zab 79:2
2 Nya. 36:17Eze 9:7
2 Nya. 36:17Omb 2:21
2 Nya. 36:17Kum 28:49-51
2 Nya. 36:182 Fal. 20:16, 17; Isa 39:6; Yer 27:19-22; 52:17
2 Nya. 36:19Zab 74:4-7
2 Nya. 36:19Yer 52:14
2 Nya. 36:191 Fal. 9:7; 2 Fal. 25:9, 10; Zab 79:1
2 Nya. 36:202 Fal. 25:21; Zab 137:1
2 Nya. 36:20Yer 27:6, 7
2 Nya. 36:20Ezr 1:1-3
2 Nya. 36:21Yer 25:9
2 Nya. 36:21Law. 26:34
2 Nya. 36:21Yer 25:12; Zek 1:12
2 Nya. 36:22Isa 44:28; 45:1
2 Nya. 36:22Yer 29:14; 32:42; 33:10, 11
2 Nya. 36:22Ezr 1:1-4
2 Nya. 36:23Da. 5:18
2 Nya. 36:23Isa 44:28
2 Nya. 36:23Ezr 7:12, 13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 36:1-23

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

36 Kisha watu wa inchi wakamukamata Yehoahazi+ mwana wa Yosia na kumufanya kuwa mufalme katika Yerusalemu pa nafasi ya baba yake.+ 2 Yehoahazi alikuwa na miaka makumi mbili na tatu (23) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miezi tatu (3) katika Yerusalemu. 3 Lakini, mufalme wa Misri akamuondoa kwenye mamlaka yake katika Yerusalemu na akalipisha inchi amande* ya talanta* mia moja (100) za feza na talanta moja ya zahabu.+ 4 Zaidi ya hayo, mufalme wa Misri akamufanya Eliakimu ndugu ya Yehoahazi kuwa mufalme juu ya Yuda na Yerusalemu na akabadilisha jina lake kuwa Yehoyakimu; lakini Neko+ akamukamata Yehoahazi ndugu yake na kumupeleka Misri.+

5 Yehoyakimu+ alikuwa na miaka makumi mbili na tano (25) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na moja (11) katika Yerusalemu. Aliendelea kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova Mungu wake.+ 6 Mufalme Nebukadneza+ wa Babiloni akapanda kuja kumushambulia ili amufunge kwa pingu mbili za shaba na kumupeleka Babiloni.+ 7 Na Nebukadneza akakamata sehemu fulani ya vyombo vya nyumba ya Yehova, akavipeleka Babiloni na akavitia katika nyumba yake ya kifalme katika Babiloni.+ 8 Na mambo mengine ya historia ya Yehoyakimu, mambo yenye kuchukiza yenye alifanya na mambo yenye yalipatikana juu yake, yameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli na wa Yuda; na Yehoyakini mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.+

9 Yehoyakini+ alikuwa na miaka kumi na munane (18) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miezi tatu (3) na siku kumi (10) katika Yerusalemu; na aliendelea kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova.+ 10 Kwenye mwanzo wa mwaka,* Mufalme Nebukadneza alituma watu wamulete Babiloni,+ pamoja na vyombo vyenye samani vya nyumba ya Yehova.+ Na akafanya Sedekia ndugu ya baba yake kuwa mufalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+

11 Sedekia+ alikuwa na miaka makumi mbili na moja (21) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na moja (11) katika Yerusalemu.+ 12 Aliendelea kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia,+ mwenye alisema kwa agizo la Yehova. 13 Alimuasi pia Mufalme Nebukadneza,+ mwenye alikuwa amemuapisha kwa Mungu, na akaendelea kuwa kichwa-nguvu* na mwenye moyo mugumu na akakataa kugeuka kumuelekea Yehova Mungu wa Israeli. 14 Wakubwa wote wa makuhani na pia watu walikosa uaminifu kupita kiasi, wakifanya mambo yote yenye kuchukiza ya mataifa, na wakachafua nyumba ya Yehova+ yenye alikuwa ametakasa katika Yerusalemu.

15 Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kuwaonya kupitia wajumbe wake, akiwaonya tena na tena, kwa sababu alisikilia huruma watu wake na makao yake. 16 Lakini waliendelea kuchekelea wajumbe wa Mungu wa kweli,+ na walizarau maneno yake+ na kuchekelea manabii wake,+ mupaka wakati kasirani kali ya Yehova ilikuja juu ya watu wake,+ na hivyo hawangeweza kuponyeshwa.

17 Basi akamuleta mufalme wa Wakaldayo+ ili awashambulie, mwenye aliua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao;+ hakusikilia huruma kijana mwanaume wala bikira, muzee wala muzaifu.+ Mungu alitia kila kitu katika mukono wake.+ 18 Vyombo vyote vya nyumba ya Mungu wa kweli, vikubwa na vidogo, na pia hazina za nyumba ya Yehova na hazina za mufalme na wakubwa wake, kila kitu alikipeleka Babiloni.+ 19 Akateketeza nyumba ya Mungu wa kweli,+ akabomoa ukuta wa Yerusalemu,+ akateketeza kwa moto minara yake yote yenye ngome, na kuharibu kila kitu chenye samani.+ 20 Akakamata mateka wale wenye waliponyoka upanga na kuwapeleka Babiloni,+ na wakakuwa watumishi wake+ na wa wana wake mupaka wakati ufalme wa Uajemi ulianza* kutawala,+ 21 ili kutimiza neno la Yehova lenye lilisemwa na Yeremia,+ mupaka wakati inchi ilikuwa imelipa sabato zake.+ Siku zote zenye iliachwa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka makumi saba (70).+

22 Katika mwaka wa kwanza wa Mufalme Koreshi+ wa Uajemi, ili neno la Yehova lenye lilisemwa na Yeremia+ litimizwe, Yehova alichochea roho ya Mufalme Koreshi wa Uajemi atoe tangazo katika ufalme wake wote, lenye aliandika pia,+ na kusema: 23 “Mufalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi: ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipatia falme zote za dunia,+ na ameniagiza nimujengee nyumba katika Yerusalemu, yenye kuwa katika Yuda.+ Mutu yeyote mwenye kuwa kati yenu ninyi watu wake wote, Yehova Mungu wake akuwe pamoja naye, na apande.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine