Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wafalme

      • Daudi anamupatia Sulemani maagizo (1-9)

      • Daudi anakufa; Sulemani kwenye kiti cha ufalme (10-12)

      • Mupango mubaya wa Adoniya unaongoza kwenye kifo chake (13-25)

      • Abiatari anafukuzwa; Yoabu anauawa (26-35)

      • Shimei anauawa (36-46)

1 Wafalme 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ninaenda katika njia ya dunia yote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:6; Yosh. 1:6; 1Nya 28:20
  • +1 Fal. 3:7

1 Wafalme 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utatenda kwa hekima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:18-20; Mhu. 12:13

1 Wafalme 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Tnn., “hakuna mwanaume wa kwako mwenye ataondolewa asikae.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 6:5; 2 Fal. 20:3; 23:3; 2Nya 17:3; Mt 22:37
  • +2 Sa. 7:12, 16; 1 Fal. 8:25; 1Nya 17:11; Zab 132:11, 12

1 Wafalme 2:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mushipi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:27, 30
  • +2 Sa. 17:25; 20:10; 1Nya 2:17
  • +Hes 35:33; 2 Sa. 3:28

1 Wafalme 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Sheoli,” ni kusema, kaburi la wanadamu wote. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:29; 1 Fal. 2:31-34

1 Wafalme 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 19:31
  • +2 Sa. 17:27-29
  • +2 Sa. 15:14

1 Wafalme 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 16:5-7
  • +2 Sa. 17:24
  • +2 Sa. 19:23

1 Wafalme 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Sheoli,” ni kusema, kaburi la wanadamu wote. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:28
  • +1 Fal. 2:44, 46

1 Wafalme 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:7; 1Nya 11:7; 29:26, 27; Mdo 2:29

1 Wafalme 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Siku za.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 12:23
  • +2 Sa. 5:4, 5

1 Wafalme 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:8, 12; 1Nya 29:23; 2Nya 1:1; Zab 89:36, 37; 132:12

1 Wafalme 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “walinielekezea uso.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:5, 25
  • +1Nya 22:9

1 Wafalme 2:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:1, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2005, uku. 29

1 Wafalme 2:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 16:21
  • +1Nya 3:1, 2, 5
  • +2 Sa. 8:16
  • +1 Fal. 1:7

1 Wafalme 2:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa kutia nafsi yake mwenyewe katika hatari.”

1 Wafalme 2:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “familia ya kifalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 22:9, 10
  • +2 Sa. 7:11; 1Nya 17:10
  • +1 Fal. 1:51, 52

1 Wafalme 2:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “akamuangukia Adoniya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:18; 1 Fal. 1:8; 1Nya 27:5

1 Wafalme 2:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 22:20; 1 Fal. 1:7
  • +Yosh. 21:8, 18; Yer 1:1
  • +1 Sa. 23:6; 2 Sa. 15:24; 1Nya 15:11, 12
  • +1 Sa. 22:22, 23

1 Wafalme 2:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:31; 3:12
  • +Yosh. 18:1

1 Wafalme 2:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:7
  • +2 Sa. 18:14
  • +1Nya 21:29

1 Wafalme 2:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

1 Wafalme 2:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 9:6; Kut 21:14; Hes 35:33; Kum 19:13; 1 Fal. 2:5

1 Wafalme 2:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:26, 27
  • +2 Sa. 2:8
  • +2 Sa. 20:10
  • +2 Sa. 17:25

1 Wafalme 2:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wazao.”

  • *

    Ao “wazao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:29

1 Wafalme 2:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 11:24; 27:5
  • +1 Sa. 2:35; 1Nya 6:50, 53; 12:28; 16:37, 39; 24:3

1 Wafalme 2:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:8

1 Wafalme 2:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 15:23; 2 Fal. 23:6; Yoh 18:1

1 Wafalme 2:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 21:10; 27:2

1 Wafalme 2:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:38

1 Wafalme 2:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 16:5, 13
  • +Zab 7:16; Mez. 5:22

1 Wafalme 2:45

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 21:6; 72:17

1 Wafalme 2:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:8, 9
  • +2Nya 1:1; Mez. 16:12

Maandiko ingine

1 Fa. 2:2Kum 31:6; Yosh. 1:6; 1Nya 28:20
1 Fa. 2:21 Fal. 3:7
1 Fa. 2:3Kum 17:18-20; Mhu. 12:13
1 Fa. 2:4Kum 6:5; 2 Fal. 20:3; 23:3; 2Nya 17:3; Mt 22:37
1 Fa. 2:42 Sa. 7:12, 16; 1 Fal. 8:25; 1Nya 17:11; Zab 132:11, 12
1 Fa. 2:52 Sa. 3:27, 30
1 Fa. 2:52 Sa. 17:25; 20:10; 1Nya 2:17
1 Fa. 2:5Hes 35:33; 2 Sa. 3:28
1 Fa. 2:62 Sa. 3:29; 1 Fal. 2:31-34
1 Fa. 2:72 Sa. 19:31
1 Fa. 2:72 Sa. 17:27-29
1 Fa. 2:72 Sa. 15:14
1 Fa. 2:82 Sa. 16:5-7
1 Fa. 2:82 Sa. 17:24
1 Fa. 2:82 Sa. 19:23
1 Fa. 2:9Kut 22:28
1 Fa. 2:91 Fal. 2:44, 46
1 Fa. 2:102 Sa. 5:7; 1Nya 11:7; 29:26, 27; Mdo 2:29
1 Fa. 2:111Nya 12:23
1 Fa. 2:112 Sa. 5:4, 5
1 Fa. 2:122 Sa. 7:8, 12; 1Nya 29:23; 2Nya 1:1; Zab 89:36, 37; 132:12
1 Fa. 2:151 Fal. 1:5, 25
1 Fa. 2:151Nya 22:9
1 Fa. 2:171 Fal. 1:1, 3
1 Fa. 2:222 Sa. 16:21
1 Fa. 2:221Nya 3:1, 2, 5
1 Fa. 2:222 Sa. 8:16
1 Fa. 2:221 Fal. 1:7
1 Fa. 2:241Nya 22:9, 10
1 Fa. 2:242 Sa. 7:11; 1Nya 17:10
1 Fa. 2:241 Fal. 1:51, 52
1 Fa. 2:252 Sa. 8:18; 1 Fal. 1:8; 1Nya 27:5
1 Fa. 2:261 Sa. 22:20; 1 Fal. 1:7
1 Fa. 2:26Yosh. 21:8, 18; Yer 1:1
1 Fa. 2:261 Sa. 23:6; 2 Sa. 15:24; 1Nya 15:11, 12
1 Fa. 2:261 Sa. 22:22, 23
1 Fa. 2:271 Sa. 2:31; 3:12
1 Fa. 2:27Yosh. 18:1
1 Fa. 2:281 Fal. 1:7
1 Fa. 2:282 Sa. 18:14
1 Fa. 2:281Nya 21:29
1 Fa. 2:31Mwa 9:6; Kut 21:14; Hes 35:33; Kum 19:13; 1 Fal. 2:5
1 Fa. 2:322 Sa. 3:26, 27
1 Fa. 2:322 Sa. 2:8
1 Fa. 2:322 Sa. 20:10
1 Fa. 2:322 Sa. 17:25
1 Fa. 2:332 Sa. 3:29
1 Fa. 2:351Nya 11:24; 27:5
1 Fa. 2:351 Sa. 2:35; 1Nya 6:50, 53; 12:28; 16:37, 39; 24:3
1 Fa. 2:361 Fal. 2:8
1 Fa. 2:372 Sa. 15:23; 2 Fal. 23:6; Yoh 18:1
1 Fa. 2:391 Sa. 21:10; 27:2
1 Fa. 2:421 Fal. 2:38
1 Fa. 2:442 Sa. 16:5, 13
1 Fa. 2:44Zab 7:16; Mez. 5:22
1 Fa. 2:45Zab 21:6; 72:17
1 Fa. 2:461 Fal. 2:8, 9
1 Fa. 2:462Nya 1:1; Mez. 16:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wafalme 2:1-46

Cha Kwanza cha Wafalme

2 Wakati siku ya kufa kwa Daudi ilikaribia, alipatia mwana wake Sulemani maagizo haya: 2 “Ninakaribia kufa.* Kwa hiyo, ukuwe na nguvu+ na ujionyeshe kuwa mwanaume.+ 3 Unapaswa kutimiza mambo yenye Yehova Mungu wako anakuomba kwa kutembea katika njia zake na kwa kushika sheria zake, amri zake, hukumu zake, na vikumbusho vyake kama vile vimeandikwa katika Sheria ya Musa;+ halafu utapata matokeo ya muzuri* katika kila jambo lenye unafanya na kila mahali kwenye unageuka kuenda. 4 Na Yehova atatimiza ahadi yake yenye alitoa juu yangu: ‘Kama wana wako wanakuwa waangalifu kuhusu njia yao kwa kutembea kwa uaminifu mbele yangu kwa moyo wao wote na kwa nafsi*+ yao yote, hakutakosa hata kidogo mwanaume wa uzao wako mwenye atakaa* kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.’+

5 “Unajua pia muzuri mambo yenye Yoabu mwana wa Seruya alinitendea, mambo yenye alitendea wakubwa wawili wa majeshi ya Israeli⁠—​Abneri+ mwana wa Neri na Amasa+ mwana wa Yeteri. Aliwaua, na hivyo akamwanga damu+ ya vita wakati wa amani, na akatia damu ya vita kwenye mukaba* wenye ulikuwa unazunguka kiuno chake na kwenye viatu vyenye alikuwa amevaa kwenye miguu yake. 6 Unapaswa kutenda kulingana na hekima yako na usiache imvi zake zishuke kwa amani katika Kaburi.*+

7 “Lakini wana wa Barzilai+ Mugileadi, uwatendee kwa upendo mushikamanifu, na wanapaswa kuwa kati ya wale wenye wanakula kwenye meza yako, kwa maana ni vile walinikaribia+ wakati nilimukimbia Absalomu ndugu yako.+

8 “Pia Shimei mwana wa Gera Mubenyamini kutoka Bahurimu iko* pamoja na wewe. Yeye ndiye alinilaani kwa laana kali+ siku yenye nilikuwa ninaenda Mahanaimu;+ lakini wakati alishuka ili kuja kukutana na mimi kwenye Yordani, nilimuapia kwa Yehova: ‘Sitakuua kwa upanga.’+ 9 Sasa usimuache bila azabu,+ kwa maana wewe ni mutu mwenye hekima na unajua kile unapaswa kumutendea; unapaswa kushusha imvi zake katika Kaburi* pamoja na damu.”+

10 Kisha Daudi akalalishwa ili kupumuzika pamoja na mababu zake na akazikwa katika Muji wa Daudi.+ 11 Urefu wa* utawala wa Daudi juu ya Israeli ulikuwa miaka makumi ine (40). Katika Hebroni+ alitawala kwa miaka saba (7), na katika Yerusalemu alitawala kwa miaka makumi tatu na tatu (33).+

12 Kisha Sulemani akakaa kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yake, na pole kwa pole ufalme wake ukakuwa imara kabisa.+

13 Kisha wakati fulani Adoniya mwana wa Hagiti akakuja kwa Bat-sheba, mama ya Sulemani. Bat-sheba akauliza: “Je, umekuja kwa amani?” Akajibu: “Ni kwa amani.” 14 Halafu Adoniya akasema: “Niko na jambo fulani la kukuambia.” Basi akamuambia: “Sema.” 15 Adoniya akaendelea: “Unajua muzuri kwamba ufalme ulipaswa kuwa wangu, na Israeli wote walitazamia* kwamba nitakuwa mufalme;+ lakini ufalme uliniponyoka na ukakuwa wa ndugu yangu, kwa maana ni kutoka kwa Yehova kwamba ulikuwa wake.+ 16 Lakini sasa ninakuomba jambo moja tu. Usikatae ombi langu.” Basi Bat-sheba akamuambia: “Sema.” 17 Kisha Adoniya akasema: “Tafazali, omba Sulemani mufalme⁠—​kwa maana hatakataa ombi lako⁠—​anipatie Abishagi+ Mushunamu akuwe bibi yangu.” 18 Halafu Bat-sheba akasema: “Sawa kabisa! Nitasema na mufalme kwa ajili yako.”

19 Kwa hiyo Bat-sheba akaingia kwa Mufalme Sulemani ili aseme naye kwa ajili ya Adoniya. Mara moja mufalme akasimama ili kukutana naye na akainama mbele yake. Kisha akakaa kwenye kiti chake cha ufalme na akaomba walete kiti cha ufalme kwa ajili ya mama ya mufalme, ili akae upande wake wa kuume. 20 Kisha Bat-sheba akasema: “Niko na ombi moja la kidogo la kukutolea. Usikatae ombi langu.” Basi mufalme akamuambia: “Toa ombi lako, mama yangu; kwa maana sitalikataa.” 21 Akasema: “Abishagi Mushunamu apewe Adoniya ndugu yako ili akuwe bibi yake.” 22 Halafu Mufalme Sulemani akamujibu mama yake: “Sababu gani unaomba Abishagi Mushunamu kwa ajili ya Adoniya? Pengine utamuombea pia ufalme,+ kwa maana yeye ni ndugu yangu mukubwa,+ na anaungwa mukono na Abiatari kuhani na Yoabu+ mwana wa Seruya.”+

23 Kwa hiyo Mufalme Sulemani akaapa kwa Yehova: “Mungu anifanyie vile na aongeze juu ya hilo kama Adoniya hakuomba jambo hilo kwa kutia uzima wake mwenyewe katika hatari.* 24 Na sasa, kama vile hakika Yehova anaishi, mwenye ameniweka imara kabisa+ na kuniikalisha kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu na kunifanyia nyumba,*+ kama vile aliahidi, Adoniya atauawa+ leo.” 25 Mara moja Mufalme Sulemani akatuma Benaya+ mwana wa Yehoyada, akatoka na kuenda, akamupiga na kumuua Adoniya,* na akakufa.

26 Mufalme akamuambia Abiatari+ kuhani: “Uende Anatoti+ kwenye mashamba yako! Unastahili kufa, lakini leo sitakuua kwa sababu ulibeba Sanduku la Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova mbele ya Daudi baba yangu+ na kwa sababu ulishiriki katika mateso yote yenye baba yangu alipata.”+ 27 Basi Sulemani akamufukuza Abiatari asiendelee kutumika akiwa kuhani wa Yehova, ili kutimiza neno lenye Yehova alisema juu ya nyumba ya Eli+ katika Shilo.+

28 Wakati habari hizo zilimufikia Yoabu⁠—​kwa maana Yoabu alikuwa amemuunga Adoniya mukono+ lakini hakukuwa amemuunga Absalomu mukono+⁠—​Yoabu akakimbilia kwenye hema ya Yehova+ na kushika pembe za mazabahu. 29 Kisha Mufalme Sulemani akaambiwa: “Yoabu amekimbilia kwenye hema ya Yehova, na iko* pale pembeni ya mazabahu.” Basi Sulemani akamutuma Benaya mwana wa Yehoyada, na kusema: “Uende, umupige na kumuua!” 30 Basi Benaya akaenda kwenye hema ya Yehova na kumuambia Yoabu: “Mufalme anasema hivi: ‘Uende inje!’” Lakini Yoabu akasema: “Hapana! Nitakufia hapa.” Benaya akapeleka habari kwa mufalme: “Ni hivi Yoabu alisema, na ni hivi alinijibu.” 31 Kisha mufalme akamuambia: “Fanya kama vile alisema; umupige na kumuua na umuzike na kuniondolea mimi na nyumba ya baba yangu damu yenye Yoabu alimwanga bila sababu.+ 32 Yehova atarudisha damu yake juu ya kichwa chake mwenyewe, kwa maana bila Daudi baba yangu kujua, alipiga na kuua kwa upanga wanaume wawili wenye haki kumupita na wazuri kuliko yeye: Abneri+ mwana wa Neri mukubwa wa jeshi la Israeli,+ na Amasa+ mwana wa Yeteri, mukubwa wa jeshi la Yuda.+ 33 Damu yao itarudia juu ya kichwa cha Yoabu na juu ya kichwa cha uzao* wake milele;+ lakini juu ya Daudi, uzao* wake, nyumba yake, na kiti chake cha ufalme, kukuwe amani kutoka kwa Yehova milele.” 34 Kisha Benaya mwana wa Yehoyada akapanda na akamupiga Yoabu na kumuua, na akazikwa kwenye nyumba yake mwenyewe katika jangwa. 35 Halafu mufalme akamuweka Benaya+ mwana wa Yehoyada juu ya jeshi pa nafasi yake, na mufalme akaweka Sadoki+ kuwa kuhani pa nafasi ya Abiatari.

36 Kisha mufalme akamuita Shimei+ na kumuambia: “Ujijengee nyumba katika Yerusalemu, na uishi pale; usitoke pale na kuenda mahali pengine popote. 37 Siku yenye utatoka na kuvuka Bonde la Kidroni,+ ujue hakika kwamba utakufa. Damu yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.” 38 Shimei akamujibu mufalme: “Jambo lenye umesema liko sawa. Mutumishi wako atafanya kama vile bwana wangu mufalme amesema.” Basi Shimei akakaa Yerusalemu kwa siku nyingi.

39 Lakini kisha miaka tatu (3), watumwa wawili wa Shimei wakakimbia na kuenda kwa Akishi+ mwana wa Maaka mufalme wa Gati. Wakati Shimei aliambiwa, “Angalia! Watumwa wako wako katika Gati,” 40 mara moja Shimei akatandika punda wake na akaenda kumuona Akishi katika Gati ili kutafuta watumwa wake. Wakati Shimei alirudia kutoka Gati pamoja na watumwa wake, 41 Sulemani akaambiwa: “Shimei ametoka Yerusalemu na kuenda Gati na amerudia.” 42 Halafu mufalme akamuita Shimei na kumuambia: “Je, sikukutia chini ya kiapo kwa jina la Yehova na kukuonya: ‘Siku yenye utatoka hapa na kuenda mahali pengine popote, ujue hakika kwamba utakufa’? Na je, wewe haukuniambia, ‘Jambo lenye unasema liko sawa; nitatii’?+ 43 Sababu gani basi, haukushika kiapo cha Yehova na amri yenye nilikuagiza kwa uzito?” 44 Kisha mufalme akamuambia Shimei: “Unajua katika moyo wako mabaya yote yenye ulimutendea Daudi baba yangu,+ na Yehova atarudisha mabaya hayo juu ya kichwa chako mwenyewe.+ 45 Lakini Mufalme Sulemani atabarikiwa,+ na kiti cha ufalme cha Daudi kitafanywa kuwa imara kabisa mbele ya Yehova milele.” 46 Halafu mufalme akamuamuru Benaya mwana wa Yehoyada, akaenda na kumupiga, na akakufa.+

Kwa hiyo, ufalme ukafanywa kuwa imara kabisa katika mukono wa Sulemani.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine