Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 43
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Utukufu wa Yehova unajaza hekalu (1-12)

      • Mazabahu (13-27)

Ezekieli 43:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 40:6; 42:15; 44:1

Ezekieli 43:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 9:3; 11:23
  • +Eze 1:24; Yoh 12:28, 29
  • +Isa 6:3; Eze 10:4

Ezekieli 43:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “alikuja.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 1:3, 4; 3:23

Ezekieli 43:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyumba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 10:19; 44:1, 2

Ezekieli 43:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 40:34; 1 Fal. 8:10; Eze 44:4

Ezekieli 43:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 40:3

Ezekieli 43:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 6:1; Yer 3:17; Eze 1:26
  • +1Nya 28:2
  • +Kut 29:45; Zab 68:16; 132:14; Yoe 3:17
  • +Eze 39:7; Zek 13:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2007, uku. 10

    Unabii wa Isaya 2, uku. 397

Ezekieli 43:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Hapa kizingiti ni ubao wenye kuwa chini ya mulango.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 8:3
  • +Da. 9:12

Ezekieli 43:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 37:23, 26; 2 Kor. 6:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/8/2007, uku. 10

    Unabii wa Isaya 2, uku. 397

Ezekieli 43:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kupima mufano wake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 40:4
  • +Eze 16:63

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    9/2017, uku. 2

Ezekieli 43:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 44:5
  • +Eze 11:19, 20; 36:27

Ezekieli 43:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 93:5; Eze 40:2; 42:20

Ezekieli 43:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Inamaanisha mikono mirefu. Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Ni kusema shubiri ya mukono, karibu santimetre 22.2 (inchi 8.75). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 27:1; 2Nya 4:1

Ezekieli 43:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “pavement.”

Ezekieli 43:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 27:2; Ufu 9:13

Ezekieli 43:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muraba; carré.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 38:1; 2Nya 4:1

Ezekieli 43:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 40:29; Law. 1:5; 8:18-21; Eze 45:19

Ezekieli 43:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 40:46; 44:15; 48:11
  • +Kut 29:10; Law. 8:14

Ezekieli 43:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:36, 37; Law. 8:15; Ebr 9:23

Ezekieli 43:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:14; Law. 8:17; Ebr 13:11

Ezekieli 43:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 2:13

Ezekieli 43:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wakamilifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:35

Ezekieli 43:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, ya watu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 9:1
  • +Eze 20:40

Maandiko ingine

Eze. 43:1Eze 40:6; 42:15; 44:1
Eze. 43:2Eze 9:3; 11:23
Eze. 43:2Eze 1:24; Yoh 12:28, 29
Eze. 43:2Isa 6:3; Eze 10:4
Eze. 43:3Eze 1:3, 4; 3:23
Eze. 43:4Eze 10:19; 44:1, 2
Eze. 43:5Kut 40:34; 1 Fal. 8:10; Eze 44:4
Eze. 43:6Eze 40:3
Eze. 43:7Isa 6:1; Yer 3:17; Eze 1:26
Eze. 43:71Nya 28:2
Eze. 43:7Kut 29:45; Zab 68:16; 132:14; Yoe 3:17
Eze. 43:7Eze 39:7; Zek 13:2
Eze. 43:8Eze 8:3
Eze. 43:8Da. 9:12
Eze. 43:9Eze 37:23, 26; 2 Kor. 6:16
Eze. 43:10Eze 40:4
Eze. 43:10Eze 16:63
Eze. 43:11Eze 44:5
Eze. 43:11Eze 11:19, 20; 36:27
Eze. 43:12Zab 93:5; Eze 40:2; 42:20
Eze. 43:13Kut 27:1; 2Nya 4:1
Eze. 43:15Kut 27:2; Ufu 9:13
Eze. 43:16Kut 38:1; 2Nya 4:1
Eze. 43:18Kut 40:29; Law. 1:5; 8:18-21; Eze 45:19
Eze. 43:19Eze 40:46; 44:15; 48:11
Eze. 43:19Kut 29:10; Law. 8:14
Eze. 43:20Kut 29:36, 37; Law. 8:15; Ebr 9:23
Eze. 43:21Kut 29:14; Law. 8:17; Ebr 13:11
Eze. 43:24Law. 2:13
Eze. 43:25Kut 29:35
Eze. 43:27Law. 9:1
Eze. 43:27Eze 20:40
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 43:1-27

Ezekieli

43 Kisha akanipeleka kwenye mulango mukubwa wenye unaelekea mashariki.+ 2 Pale nikaona utukufu wa Mungu wa Israeli ukikuja kutoka mashariki,+ na sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji yenye kuteremuka haraka;+ na dunia ilingaa kupitia utukufu wake.+ 3 Mambo yenye niliona yalikuwa kama maono ambayo nilikuwa nimeona wakati nilikuja* kuharibu muji, na yalionekana kama mambo yenye nilikuwa nimeona karibu na muto Kebari;+ na nikaanguka uso chini.

4 Kisha utukufu wa Yehova ukaingia katika hekalu* kupitia mulango mukubwa wenye unaelekea mashariki.+ 5 Kisha roho ikaniinua na kuniingiza katika kiwanja cha ndani, na nikaona kwamba hekalu lilikuwa limejaa utukufu wa Yehova.+ 6 Kisha nikasikia mutu akizungumuza na mimi kutoka katika lile hekalu, na mutu huyo akakuja na kusimama pembeni yangu.+ 7 Akaniambia:

“Mwana wa binadamu, hapa ndipo mahali pa kiti changu cha ufalme+ na mahali pa vikanyangio vya miguu yangu,+ kwenye nitakaa kati ya watu wa Israeli milele.+ Nyumba ya Israeli haitachafua tena jina langu takatifu,+ wao na wafalme wao, kupitia ukahaba wao wa kiroho na kupitia mizoga ya wafalme wao wakati wanakufa. 8 Kwa kutia kizingiti* chao karibu na kizingiti changu na mwimo wa mulango wao pembeni ya mwimo wa mulango wangu, tukitenganishwa tu na ukuta kati yangu na wao,+ walichafua jina langu takatifu kupitia mambo yenye kuchukiza yenye walifanya, kwa hiyo nikawaharibu katika kasirani yangu.+ 9 Sasa acha watie ukahaba wao wa kiroho na mizoga ya wafalme wao mbali na mimi, na nitakaa kati yao milele.+

10 “Sasa wewe, mwana wa binadamu, fasiria nyumba ya Israeli kuhusu hekalu+ ili wasikie haya kwa sababu ya makosa yao,+ nao wanapaswa kujifunza plani yake.* 11 Kama watasikia haya kwa sababu ya mambo yote yenye wamefanya, utawajulisha plani ya hekalu, mupangilio wake, na njia zake za kutokea, na miingilio yake.+ Uwaonyeshe plani zake zote na maagizo yake, plani zake na sheria zake, na uziandike mbele ya macho yao, ili waone ramani zake na kushika maagizo yake.+ 12 Hii ndiyo sheria ya hekalu. Eneo lote kuzunguka kichwa cha mulima pande zote ni takatifu zaidi.+ Angalia! Hii ndiyo sheria ya hekalu.

13 “Hivi ni vipimo vya mazabahu kwa kipimo cha mikono+ (kila mukono uliongezewa kiganja kimoja).* Sehemu yake ya chini ni mukono mumoja, na upana wake mukono mumoja. Iko na mupaka wa upana wa shubiri* moja kuzunguka pembeni. Hiyo ndiyo sehemu ya chini ya mazabahu. 14 Kuanzia sehemu ya chini ya sakafu* mupaka kwenye ukingo wa chini wenye unazunguka ni mikono mbili, na upana wake ni mukono mumoja. Kuanzia ukingo mudogo wenye unazunguka mupaka kwenye ule ukingo mukubwa wenye unazunguka ni mikono ine (4), na upana wake ni mukono mumoja. 15 Jiko la mazabahu liko na urefu wa mikono ine (4), na kutoka kwenye jiko la mazabahu kuelekea juu kuko zile pembe ine.+ 16 Jiko la mazabahu liko na pande ine (4) zenye kuwa sawasawa,* urefu wake ni mikono kumi na mbili (12) na upana wake ni mikono kumi na mbili.+ 17 Pande ine (4) za ukingo wenye unazunguka ziko na urefu wa mikono kumi na ine (14) na upana wa mikono kumi na ine; na mupaka wenye unazunguka ni nusu ya mukono, na sehemu yake ya chini ni mukono mumoja pande zote.

“Na vipandio vyake vinaelekea mashariki.”

18 Kisha akaniambia: “Mwana wa binadamu, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Hii ndiyo miongozo ya kufuata wakati mazabahu inatengenezwa, ili matoleo mazima ya kuteketezwa yatolewe na damu inyunyizwe* juu yake.’+

19 “‘Unapaswa kutoa ngombe-dume mudogo mwenye kutoka katika mifugo kwa makuhani Walawi wazao wa Sadoki,+ wenye wananikaribia ili kunitolea utumishi kusudi akuwe toleo la zambi,’+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema. 20 ‘Unapaswa kukamata sehemu fulani ya damu yake na kuitia kwenye zile pembe ine (4) za mazabahu, juu ya kona ine za ukingo wenye unazunguka, na juu ya mupaka kuzunguka pande zote ili kuitakasa kutokana na zambi na kufunika zambi kwa ajili yake.+ 21 Kisha utakamata ule ngombe-dume mudogo, lile toleo la zambi, ili umuteketeze kwa moto katika mahali kwenye kulichaguliwa kwa hekalu, inje ya patakatifu.+ 22 Katika siku ya pili utatoa mbuzi-dume mwenye hana kasoro kuwa toleo la zambi; nao watatakasa mazabahu kutokana na zambi kama vile waliitakasa kutokana na zambi kupitia ule ngombe-dume mudogo.’

23 “‘Wakati utamaliza kuitakasa kutokana na zambi, utatoa ngombe-dume mudogo mwenye hana kasoro kutoka katika mifugo na kondoo-dume mwenye hana kasoro kutoka katika kundi. 24 Utawaleta kwa Yehova, na makuhani watatupa chumvi juu yao+ na kuwatoa kwa Yehova wakiwa toleo nzima la kuteketezwa. 25 Kwa siku saba (7) utatoa mbuzi-dume kuwa toleo la zambi la kila siku,+ pia ngombe-dume mudogo kutoka katika mifugo na kondoo-dume kutoka katika kundi, utatoa wanyama wenye hawana kasoro.* 26 Kwa siku saba (7) watafunika zambi kwa ajili ya mazabahu, nao wataisafisha na kuitayarisha ili ianze kutumiwa. 27 Wakati siku hizo zitakuwa zimemalizika, siku ya munane (8)+ na kisha pale, makuhani watatoa matoleo yenu* mazima ya kuteketezwa na zabihu za ushirika kwenye mazabahu; na nitapendezwa na ninyi,’+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine