Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 34
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Yehova anamuonyesha Musa ile inchi (1-4)

      • Kifo cha Musa (5-12)

Kumbukumbu la Torati 34:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:49
  • +Kum 3:27
  • +Hes 36:13
  • +Amu 18:29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    ‘Nchi Nzuri’, uku. 8-9

Kumbukumbu la Torati 34:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, ile Bahari Kubwa, Mediterania.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:31; Hes 34:2, 6; Kum 11:24

Kumbukumbu la Torati 34:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:1
  • +Mwa 13:10
  • +Mwa 19:22, 23

Kumbukumbu la Torati 34:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 12:7; 26:3; 28:13
  • +Hes 20:12

Kumbukumbu la Torati 34:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:50; Yosh. 1:2

Kumbukumbu la Torati 34:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yud 9

Kumbukumbu la Torati 34:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:1, 2; Mdo 7:23, 30, 36

Kumbukumbu la Torati 34:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 20:29

Kumbukumbu la Torati 34:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:14; 1 Tim. 4:14
  • +Hes 27:18, 21; Yosh. 1:16

Kumbukumbu la Torati 34:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 18:15; Mdo 3:22; 7:37
  • +Kut 33:11; Hes 12:8

Kumbukumbu la Torati 34:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:34

Kumbukumbu la Torati 34:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 26:8; Lu 24:19

Maandiko ingine

Kum. 34:1Kum 32:49
Kum. 34:1Kum 3:27
Kum. 34:1Hes 36:13
Kum. 34:1Amu 18:29
Kum. 34:2Kut 23:31; Hes 34:2, 6; Kum 11:24
Kum. 34:3Yosh. 15:1
Kum. 34:3Mwa 13:10
Kum. 34:3Mwa 19:22, 23
Kum. 34:4Mwa 12:7; 26:3; 28:13
Kum. 34:4Hes 20:12
Kum. 34:5Kum 32:50; Yosh. 1:2
Kum. 34:6Yud 9
Kum. 34:7Kum 31:1, 2; Mdo 7:23, 30, 36
Kum. 34:8Hes 20:29
Kum. 34:9Kum 31:14; 1 Tim. 4:14
Kum. 34:9Hes 27:18, 21; Yosh. 1:16
Kum. 34:10Kum 18:15; Mdo 3:22; 7:37
Kum. 34:10Kut 33:11; Hes 12:8
Kum. 34:11Kum 4:34
Kum. 34:12Kum 26:8; Lu 24:19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 34:1-12

Kumbukumbu la Torati

34 Kisha Musa akatoka katika maeneo tambarare ya jangwa la Moabu na kupanda mupaka kwenye Mulima Nebo,+ kwenye kichwa cha Pisga,+ yenye kuangaliana na Yeriko.+ Na Yehova akamuonyesha inchi yote, kuanzia Gileadi mupaka Dani,+ 2 na Naftali yote na inchi ya Efraimu na Manase, na inchi yote ya Yuda mupaka bahari ya mangaribi,*+ 3 na Negebu+ na ile Wilaya,+ bonde tambarare la Yeriko, muji wa miti ya mitende, mupaka Soari.+

4 Kisha Yehova akamuambia: “Hii ndiyo inchi yenye niliapia Abrahamu, Isaka, na Yakobo, na kusema, ‘Nitapatia uzao wako* inchi hii.’+ Nimekuruhusu uione kwa macho yako mwenyewe, lakini hautavuka kuingia kule.”+

5 Kisha Musa mutumishi wa Yehova akakufa kule katika inchi ya Moabu kama vile Yehova alikuwa amesema.+ 6 Akamuzika katika bonde katika inchi ya Moabu, ngambo ingine ya Bet-peori, na hakuna mwenye anajua kaburi lake liko wapi mupaka leo.+ 7 Musa alikuwa na miaka mia moja makumi mbili (120) wakati alikufa.+ Macho yake hayakukuwa yamefifia, na nguvu zake hazikukuwa zimeisha. 8 Watu wa Israeli wakamulia Musa katika maeneo tambarare ya jangwa la Moabu kwa siku makumi tatu (30).+ Kisha siku za kumulia na kumuombolezea Musa zikaisha.

9 Yoshua mwana wa Nuni alikuwa amejaa roho ya hekima, kwa sababu Musa alikuwa ameweka mukono wake juu yake;+ na Waisraeli wakaanza kumusikiliza, na wakafanya kama vile Yehova alikuwa amemuamuru Musa.+ 10 Lakini hakujatokea tena nabii mwingine katika Israeli mwenye kuwa kama Musa,+ mwenye Yehova alijua uso kwa uso.+ 11 Alifanya alama zote na miujiza yenye Yehova alikuwa amemutuma afanye katika inchi ya Misri juu ya Farao na juu ya watumishi wake wote na juu ya inchi yake yote,+ 12 pamoja na mukono wenye nguvu na nguvu zenye kuogopesha zenye Musa alionyesha mbele ya macho ya Israeli wote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine