Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Ibada ya Moleki; kupashana habari na pepo wachafu (1-6)

      • Mukuwe watakatifu na muheshimie wazazi (7-9)

      • Wenye kufanya ngono yenye hairuhusiwe wanapaswa kuuawa (10-21)

      • Mukuwe watakatifu ili muendelee kuishi katika inchi (22-26)

      • Wenye kupashana habari na pepo wachafu wanapaswa kuuawa (27)

Mambo ya Walawi 20:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:21; Kum 18:10

Mambo ya Walawi 20:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitamuua kutoka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 5:11

Mambo ya Walawi 20:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 13:6-9

Mambo ya Walawi 20:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nitamuua kutoka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:5

Mambo ya Walawi 20:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yenye inaendea.”

  • *

    Ao “nafsi hiyo.”

  • *

    Ao “kumuua kutoka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:31; Kum 18:10-12; Gal 5:19, 20; Ufu 21:8
  • +Law. 20:27; Mdo 16:16
  • +1Nya 10:13

Mambo ya Walawi 20:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:44; 1 Pe. 1:15, 16

Mambo ya Walawi 20:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:4; Mhu. 12:13
  • +Kut 31:13; Law. 21:8; 1 Tes. 5:23; 2 Tes. 2:13

Mambo ya Walawi 20:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anaita ubaya juu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 21:17; Kum 27:16; Mez. 20:20; Mt 15:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 24

Mambo ya Walawi 20:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 5:18; 22:22; Rom. 7:3; 1 Kor. 6:9, 10

Mambo ya Walawi 20:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “amefunua uchi wa baba yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:8; Kum 27:20

Mambo ya Walawi 20:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:15, 29

Mambo ya Walawi 20:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:5; Law. 18:22; Amu 19:22; Rom. 1:26, 27; 1 Kor. 6:9, 10; Yud 7

Mambo ya Walawi 20:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenendo wa haya; mwenendo muchafu sana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:17; Kum 27:23
  • +Law. 21:9

Mambo ya Walawi 20:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:19; Kum 27:21

Mambo ya Walawi 20:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:23

Mambo ya Walawi 20:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuuawa.”

  • *

    Tnn., “Amefunua uchi wa dada yake.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:9; Kum 27:22

Mambo ya Walawi 20:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Ao “hezi.”

  • *

    Ao “kuuawa kutoka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:19

Mambo ya Walawi 20:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:12, 13

Mambo ya Walawi 20:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “amefunua uchi wa ndugu ya baba yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:14

Mambo ya Walawi 20:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Amefunua uchi wa ndugu yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:16; Kum 25:5

Mambo ya Walawi 20:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 21:1; Kum 5:1
  • +Mhu. 12:13
  • +Law. 18:26, 28

Mambo ya Walawi 20:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:3, 24; Kum 12:30
  • +Law. 18:27; Kum 9:5

Mambo ya Walawi 20:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:17; 6:8; Kum 8:7-9; Eze 20:6
  • +Kut 19:5; 33:16; 1 Fal. 8:53; 1 Pe. 2:9

Mambo ya Walawi 20:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kufanya nafsi zenu kuwa zenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:46, 47; Kum 14:4-20
  • +Law. 11:43

Mambo ya Walawi 20:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:2; Zab 99:5; 1 Pe. 1:15, 16; Ufu 4:8
  • +Kum 7:6

Mambo ya Walawi 20:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye iko na roho ya kutabiri matukio.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:18; Law. 19:31; 20:6; Kum 18:10-12; Ufu 21:8

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 20:2Law. 18:21; Kum 18:10
Mambo ya walawi 20:3Eze 5:11
Mambo ya walawi 20:4Kum 13:6-9
Mambo ya walawi 20:5Kut 20:5
Mambo ya walawi 20:6Law. 19:31; Kum 18:10-12; Gal 5:19, 20; Ufu 21:8
Mambo ya walawi 20:6Law. 20:27; Mdo 16:16
Mambo ya walawi 20:61Nya 10:13
Mambo ya walawi 20:7Law. 11:44; 1 Pe. 1:15, 16
Mambo ya walawi 20:8Law. 18:4; Mhu. 12:13
Mambo ya walawi 20:8Kut 31:13; Law. 21:8; 1 Tes. 5:23; 2 Tes. 2:13
Mambo ya walawi 20:9Kut 21:17; Kum 27:16; Mez. 20:20; Mt 15:4
Mambo ya walawi 20:10Kum 5:18; 22:22; Rom. 7:3; 1 Kor. 6:9, 10
Mambo ya walawi 20:11Law. 18:8; Kum 27:20
Mambo ya walawi 20:12Law. 18:15, 29
Mambo ya walawi 20:13Mwa 19:5; Law. 18:22; Amu 19:22; Rom. 1:26, 27; 1 Kor. 6:9, 10; Yud 7
Mambo ya walawi 20:14Law. 18:17; Kum 27:23
Mambo ya walawi 20:14Law. 21:9
Mambo ya walawi 20:15Kut 22:19; Kum 27:21
Mambo ya walawi 20:16Law. 18:23
Mambo ya walawi 20:17Law. 18:9; Kum 27:22
Mambo ya walawi 20:18Law. 18:19
Mambo ya walawi 20:19Law. 18:12, 13
Mambo ya walawi 20:20Law. 18:14
Mambo ya walawi 20:21Law. 18:16; Kum 25:5
Mambo ya walawi 20:22Kut 21:1; Kum 5:1
Mambo ya walawi 20:22Mhu. 12:13
Mambo ya walawi 20:22Law. 18:26, 28
Mambo ya walawi 20:23Law. 18:3, 24; Kum 12:30
Mambo ya walawi 20:23Law. 18:27; Kum 9:5
Mambo ya walawi 20:24Kut 3:17; 6:8; Kum 8:7-9; Eze 20:6
Mambo ya walawi 20:24Kut 19:5; 33:16; 1 Fal. 8:53; 1 Pe. 2:9
Mambo ya walawi 20:25Law. 11:46, 47; Kum 14:4-20
Mambo ya walawi 20:25Law. 11:43
Mambo ya walawi 20:26Law. 19:2; Zab 99:5; 1 Pe. 1:15, 16; Ufu 4:8
Mambo ya walawi 20:26Kum 7:6
Mambo ya walawi 20:27Kut 22:18; Law. 19:31; 20:6; Kum 18:10-12; Ufu 21:8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 20:1-27

Mambo ya Walawi

20 Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumuambia: 2 “Utaambia Waisraeli, ‘Mwanaume yeyote wa Israeli na mugeni yeyote mwenye anaishi katika Israeli mwenye atamutoa muzao wake yeyote kwa Moleki anapaswa kabisa kuuawa.+ Watu wa inchi wanapaswa kumuua kwa kumupiga majiwe. 3 Mimi mwenyewe nitakunja uso wangu juu ya mutu huyo, na nitamuondoa* katikati ya watu wake, kwa sababu amemutoa mumoja wa wazao wake kwa Moleki na amechafua mahali pangu patakatifu+ na kuchafua jina langu takatifu. 4 Kama watu wa inchi wanafunga macho yao kwa makusudi juu ya jambo lenye mutu huyo anafanya wakati anamutoa muzao wake kwa Moleki na hawamuue,+ 5 basi mimi mwenyewe hakika nitakunja uso wangu juu ya mutu huyo na familia yake.+ Nitamuondoa* katikati ya watu wake, yeye pamoja na watu wote wenye walijiunga naye katika kufanya ukahaba na Moleki.

6 “‘Kuhusu mutu mwenye anaendea* watu wenye kupashana habari na pepo wachafu+ na watu wenye kutabiri matukio+ ili kufanya ukahaba pamoja nao, hakika nitageukia mutu huyo* na kumuondoa* katikati ya watu wake.+

7 “‘Munapaswa kujitakasa na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu. 8 Na munapaswa kushika sheria zangu na kuzifuata.+ Mimi ni Yehova, mwenye anawatakasa.+

9 “‘Kama mutu yeyote anamulaani* baba yake ao mama yake, anapaswa kabisa kuuawa.+ Kwa kuwa amemulaani baba yake ao mama yake, damu yake iko juu yake.

10 “‘Sasa kuhusu mwanaume mwenye anafanya uzinifu na bibi ya mwanaume mwingine: Mwanaume mwenye anafanya uzinifu na bibi ya mwenzake anapaswa kabisa kuuawa, ule mwanaume muzinifu na pia ule mwanamuke muzinifu.+ 11 Mwanaume mwenye analala na bibi ya baba yake amemuletea baba yake haya.*+ Wote wawili wanapaswa kabisa kuuawa. Damu yao iko juu yao. 12 Kama mwanaume analala na binti-mukwe wake, wote wawili wanapaswa kabisa kuuawa. Wamevunja sheria ya asili. Damu yao iko juu yao.+

13 “‘Kama mwanaume analala na mwanaume mwenzake kama vile mutu analala na mwanamuke, wote wawili wamefanya kitu chenye kuchukiza.+ Wanapaswa kabisa kuuawa. Damu yao iko juu yao.

14 “‘Kama mwanaume anachukua mwanamuke na mama yake, hilo ni tendo chafu.*+ Wanapaswa kumuteketeza yeye na wao ndani ya moto,+ ili mwenendo huo muchafu usiendelee kati yenu.

15 “‘Kama mwanaume anafanya ngono na munyama, anapaswa kabisa kuuawa, na munapaswa kumuua munyama huyo.+ 16 Kama mwanamuke anamukaribia munyama yeyote ili kufanya ngono naye,+ munapaswa kumuua mwanamuke huyo na munyama huyo. Wanapaswa kabisa kuuawa. Damu yao iko juu yao.

17 “‘Kama mwanaume anafanya ngono na dada yake, binti ya baba yake ao binti ya mama yake, na anaona uchi wake, na dada yake anaona uchi wake, hilo ni jambo la haya sana.+ Wanapaswa kuondolewa* mbele ya macho ya wana wao. Amemuletea dada yake haya.* Anapaswa kujibu kwa sababu ya kosa lake.

18 “‘Kama mwanaume anafanya ngono na mwanamuke mwenye iko* katika siku zake za kuona mwezi* na anafanya naye ngono, mwanaume huyo na mwanamuke huyo wamefunua mutiririko wa damu yake.+ Wote wawili wanapaswa kuondolewa* katikati ya watu wao.

19 “‘Haupaswe kufanya ngono na dada ya mama yako ao na dada ya baba yako, kwa sababu kufanya vile ni kumuletea haya mutu mwenye iko* na uhusiano wa damu pamoja na wewe.+ Wanapaswa kujibu kwa sababu ya kosa lao. 20 Mwanaume mwenye analala na bibi ya ndugu ya baba yake amemuletea ndugu ya baba yake haya.*+ Wanapaswa kujibu kwa sababu ya zambi yao. Watakufa bila kuzaa mutoto. 21 Kama mwanaume anachukua bibi ya ndugu yake, hilo ni jambo lenye kuchukiza sana.+ Amemuletea ndugu yake haya.* Hawatazaa mutoto.

22 “‘Munapaswa kushika sheria zangu zote na maamuzi yangu yote ya hukumu+ na kuyatenda,+ ili inchi kwenye ninawapeleka muishi isiwatapike.+ 23 Hamupaswe kufuata sheria za mataifa yenye ninafukuza kutoka mbele yenu;+ kwa sababu yamefanya mambo hayo yote, na ninachukia mataifa hayo.+ 24 Ndiyo sababu niliwaambia: “Mutariti inchi yao, na nitawapatia inchi hiyo ikuwe mali yenu, inchi yenye kutiririka maziwa na asali.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu, mwenye amewatenga na vikundi vingine vya watu.”+ 25 Munapaswa kufanya tofauti kati ya munyama mwenye kuwa safi na mwenye haiko safi na ndege mwenye haiko safi na mwenye kuwa safi;+ hamupaswe kujifanya kuwa wenye* kuchukiza kupitia munyama ao ndege ao kitu chochote chenye kutambaa juu ya udongo chenye nimetenga ili mukione kuwa hakiko safi.+ 26 Munapaswa kuwa watakatifu mbele yangu, kwa sababu mimi, Yehova, niko mutakatifu,+ na ninawatenga na vikundi vingine vya watu ili mukuwe watu wangu.+

27 “‘Kila mwanaume ao mwanamuke mwenye kupashana habari na pepo wachafu ao mwenye kutabiri matukio* anapaswa kabisa kuuawa.+ Watu wanapaswa kuwaua kwa kuwapiga majiwe. Damu yao iko juu yao.’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine