Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Madeni yanaachiliwa kila mwaka wa saba (1-6)

      • Kusaidia maskini (7-11)

      • Kuachilia huru watumwa kila mwaka wa saba (12-18)

        • Kutoboa sikio la mutumwa kwa musumari (16, 17)

      • Wazaliwa wa kwanza wa wanyama wanatakaswa (19-23)

Kumbukumbu la Torati 15:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 25:2

Kumbukumbu la Torati 15:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:10

Kumbukumbu la Torati 15:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:43; Kum 14:21; 23:20

Kumbukumbu la Torati 15:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:8

Kumbukumbu la Torati 15:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 1:7, 8; Isa 1:19

Kumbukumbu la Torati 15:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kukopesha kwa kuomba mutu aache kitu fulani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:12
  • +Kum 28:13; 1 Fal. 4:24, 25

Kumbukumbu la Torati 15:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 21:13; Yak 2:15, 16; 1 Yo. 3:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2010, uku. 8

Kumbukumbu la Torati 15:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kumukopesha kwa kumuomba aache kitu fulani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 25:35; Mez. 19:17; Mt 5:42; Lu 6:34, 35; Gal 2:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2010, uku. 8

Kumbukumbu la Torati 15:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 15:1
  • +Kut 22:22, 23; Kum 24:14, 15; Mez. 21:13

Kumbukumbu la Torati 15:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “moyo wako haupaswe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:35; 2 Kor. 9:7; 1 Tim. 6:18; Ebr 13:16
  • +Kum 24:19; Zab 41:1

Kumbukumbu la Torati 15:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 26:11
  • +Mez. 3:27; Mt 5:42; Lu 12:33

Kumbukumbu la Torati 15:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 21:2; Law. 25:39

Kumbukumbu la Torati 15:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2014, uku. 19-20

Kumbukumbu la Torati 15:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 21:5, 6

Kumbukumbu la Torati 15:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ngombe-dume wako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:2; 22:30; Hes 3:13; 18:15, 17

Kumbukumbu la Torati 15:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:5, 6; 14:23; 16:11

Kumbukumbu la Torati 15:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 22:20; Kum 17:1; Mal 1:8; Ebr 9:14

Kumbukumbu la Torati 15:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “milango yako mikubwa.”

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:15; 14:4, 5

Kumbukumbu la Torati 15:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 9:4; Law. 7:26; Mdo 15:20, 29
  • +Law. 17:10, 13; Kum 12:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2000, uku. 30-31

Maandiko ingine

Kum. 15:1Law. 25:2
Kum. 15:2Kum 31:10
Kum. 15:3Kut 12:43; Kum 14:21; 23:20
Kum. 15:4Kum 28:8
Kum. 15:5Yosh. 1:7, 8; Isa 1:19
Kum. 15:6Kum 28:12
Kum. 15:6Kum 28:13; 1 Fal. 4:24, 25
Kum. 15:7Mez. 21:13; Yak 2:15, 16; 1 Yo. 3:17
Kum. 15:8Law. 25:35; Mez. 19:17; Mt 5:42; Lu 6:34, 35; Gal 2:10
Kum. 15:9Kum 15:1
Kum. 15:9Kut 22:22, 23; Kum 24:14, 15; Mez. 21:13
Kum. 15:10Mdo 20:35; 2 Kor. 9:7; 1 Tim. 6:18; Ebr 13:16
Kum. 15:10Kum 24:19; Zab 41:1
Kum. 15:11Mt 26:11
Kum. 15:11Mez. 3:27; Mt 5:42; Lu 12:33
Kum. 15:12Kut 21:2; Law. 25:39
Kum. 15:16Kut 21:5, 6
Kum. 15:19Kut 13:2; 22:30; Hes 3:13; 18:15, 17
Kum. 15:20Kum 12:5, 6; 14:23; 16:11
Kum. 15:21Law. 22:20; Kum 17:1; Mal 1:8; Ebr 9:14
Kum. 15:22Kum 12:15; 14:4, 5
Kum. 15:23Mwa 9:4; Law. 7:26; Mdo 15:20, 29
Kum. 15:23Law. 17:10, 13; Kum 12:16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 15:1-23

Kumbukumbu la Torati

15 “Kwenye mwisho wa kila miaka saba (7), munapaswa kuachilia.+ 2 Haya ndiyo mambo yenye mutaachilia: Kila mwenye alikopesha ataachilia deni lenye jirani yake alikamata. Hapaswe kuomba malipo kwa jirani ao ndugu yake, kwa maana yatatangazwa kuwa yameachiliwa kwa ajili ya Yehova.+ 3 Unaweza kumuomba mugeni alipe,+ lakini unapaswa kuachilia deni lolote lenye ndugu yako anapaswa kukulipa. 4 Lakini, hakuna mutu kati yako mwenye anapaswa kuwa maskini, kwa sababu hakika Yehova atakubariki+ katika inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia ili uikamate kuwa uriti, 5 lakini kama tu utatii kabisa sauti ya Yehova Mungu wako na kushika kwa uangalifu amri yote hii yenye ninakupatia leo.+ 6 Kwa maana Yehova Mungu wako atakubariki kama vile amekuahidi, na utakopesha* mataifa mengi, lakini wewe hautahitaji kukopa;+ na utatawala mataifa mengi, lakini hayatakutawala.+

7 “Kama mumoja wa ndugu zako anakuwa maskini kati yako katika muji mumoja kati ya miji ya inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia, usifanye moyo wako kuwa mugumu ao kumufungia mukono ndugu yako maskini.+ 8 Kwa maana unapaswa kumufungulia mukono wako kwa ukarimu+ na usikose kumukopesha* chochote chenye anahitaji ao chenye anakosa. 9 Ukuwe muangalifu ili wazo hili la mubaya lisikuwe katika moyo wako, ‘Mwaka wa saba (7), mwaka wa kuachilia, umekaribia,’+ na hivyo ukatae kumuonyesha ukarimu ndugu yako maskini na kukosa kumupatia chochote. Kama anamulilia Yehova kwa sababu yako, utakuwa umetenda zambi.+ 10 Unapaswa kumupatia kwa ukarimu,+ na haupaswe* kumupatia kwa kunungunika, kwa maana hiyo ndiyo sababu Yehova Mungu wako atabariki kila tendo na kila kazi yako.+ 11 Kwa maana maskini atakuwa sikuzote katika inchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, ‘Unapaswa kumufungulia mukono wako kwa ukarimu ndugu yako mwenye kuteseka na maskini katika inchi yako.’+

12 “Kama mumoja wa ndugu zako, mwanaume ao mwanamuke Mwebrania, anauzishwa kwako na amekutumikia miaka sita (6), basi katika mwaka wa saba (7) unapaswa kumuachilia huru.+ 13 Na kama unamuachilia huru, usimuache aende mikono wazi. 14 Unapaswa kumupatia kwa ukarimu kitu fulani kutoka katika kundi lako, kutoka katika kiwanja chako cha kupigia-pigia nafaka, na kutoka katika kikamulio chako cha mafuta na divai. Unapaswa kumupatia kama vile Yehova Mungu wako amekubariki. 15 Kumbuka kwamba ulikuwa mutumwa katika inchi ya Misri na kwamba Yehova Mungu wako alikukomboa. Ndiyo sababu ninakuamuru ufanye vile leo.

16 “Lakini kama anakuambia, ‘Sitakuacha!’ kwa sababu anakupenda wewe na nyumba yako, kwa maana amekuwa mwenye furaha wakati amekuwa pamoja na wewe,+ 17 utakamata musumari na kutoboa sikio lake mupaka musumari huo uingie katika mulango, na atakuwa mutumwa wako maisha yake yote. Utamufanyia vilevile mutumwa wako mwanamuke. 18 Usione kuwa vigumu wakati unamuachilia huru na wakati anakuacha, kwa sababu malipo ya kazi yenye alikutumikia miaka sita (6) yalikuwa mara mbili malipo ya kazi ya mufanyakazi wa kulipwa, na Yehova Mungu wako amekubariki katika kila jambo lenye lilifanywa.

19 “Unapaswa kutakasa kila muzaliwa wa kwanza wa kiume wa mifugo yako na wa kundi lako kwa ajili ya Yehova Mungu wako.+ Haupaswe kutumia muzaliwa wa kwanza wa mifugo yako* ili kufanya kazi yoyote wala usimukate manyoya muzaliwa wa kwanza wa kundi lako. 20 Wewe na nyumba yako munapaswa kumukula mbele ya Yehova Mungu wako mwaka kwa mwaka mahali kwenye Yehova atachagua.+ 21 Lakini kama iko* na kasoro⁠—​ulemavu, upofu, ao kasoro ingine kubwa⁠—​haupaswe kumutoa zabihu kwa Yehova Mungu wako.+ 22 Utamukula ndani ya miji yako,* mutu mwenye haiko safi na mwenye iko* safi watamukula, kama vile ingekuwa swala ao paa.+ 23 Lakini haupaswe kula damu yake;+ utaimwanga kwenye udongo kama maji.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine