Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Manase, mufalme wa Yuda (1-9)

      • Manase anatubu ubaya wake (10-17)

      • Kifo cha Manase (18-20)

      • Amoni, mufalme wa Yuda (21-25)

2 Mambo ya Nyakati 33:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 1:10
  • +2 Fal. 21:1

2 Mambo ya Nyakati 33:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:2-6

2 Mambo ya Nyakati 33:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:1, 4
  • +Kum 4:19; 2 Fal. 23:5

2 Mambo ya Nyakati 33:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 16:10, 11
  • +Kum 12:11; 2Nya 6:6

2 Mambo ya Nyakati 33:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 6:36; 7:12

2 Mambo ya Nyakati 33:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 16:1, 3
  • +Yosh. 15:8, 12; 2 Fal. 23:10
  • +Law. 19:26
  • +Law. 20:6; Kum 18:10, 11

2 Mambo ya Nyakati 33:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:6
  • +2 Fal. 21:7-9; 23:27; 2Nya 7:16

2 Mambo ya Nyakati 33:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:24; Yosh. 24:8; 2 Fal. 21:11, 16

2 Mambo ya Nyakati 33:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:15, 16

2 Mambo ya Nyakati 33:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “crochet;” ao pengine, “katika mashimo.”

2 Mambo ya Nyakati 33:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “alituliza uso wa Yehova Mungu wake.”

2 Mambo ya Nyakati 33:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:18
  • +Da. 4:25

2 Mambo ya Nyakati 33:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bonde la muto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:9; 2Nya 32:2, 5
  • +2Nya 32:30
  • +Ne 3:3
  • +2Nya 27:1, 3

2 Mambo ya Nyakati 33:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:1, 7
  • +2 Fal. 21:1, 4, 5

2 Mambo ya Nyakati 33:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 29:18
  • +Law. 3:1
  • +Law. 7:12

2 Mambo ya Nyakati 33:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 33:12, 13
  • +2 Fal. 21:2, 9
  • +2 Fal. 21:3, 7

2 Mambo ya Nyakati 33:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:18, 19

2 Mambo ya Nyakati 33:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 1:10
  • +2 Fal. 21:19-24

2 Mambo ya Nyakati 33:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 33:1, 2
  • +2 Fal. 21:1, 7

2 Mambo ya Nyakati 33:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 8:12
  • +2Nya 33:12, 13

2 Mambo ya Nyakati 33:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 12:20; 2Nya 25:27

2 Mambo ya Nyakati 33:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 25:1, 3
  • +2 Fal. 21:25, 26

Maandiko ingine

2 Nya. 33:1Mt 1:10
2 Nya. 33:12 Fal. 21:1
2 Nya. 33:22 Fal. 21:2-6
2 Nya. 33:32 Fal. 18:1, 4
2 Nya. 33:3Kum 4:19; 2 Fal. 23:5
2 Nya. 33:42 Fal. 16:10, 11
2 Nya. 33:4Kum 12:11; 2Nya 6:6
2 Nya. 33:51 Fal. 6:36; 7:12
2 Nya. 33:62 Fal. 16:1, 3
2 Nya. 33:6Yosh. 15:8, 12; 2 Fal. 23:10
2 Nya. 33:6Law. 19:26
2 Nya. 33:6Law. 20:6; Kum 18:10, 11
2 Nya. 33:72 Fal. 23:6
2 Nya. 33:72 Fal. 21:7-9; 23:27; 2Nya 7:16
2 Nya. 33:9Law. 18:24; Yosh. 24:8; 2 Fal. 21:11, 16
2 Nya. 33:102Nya 36:15, 16
2 Nya. 33:13Isa 1:18
2 Nya. 33:13Da. 4:25
2 Nya. 33:142 Sa. 5:9; 2Nya 32:2, 5
2 Nya. 33:142Nya 32:30
2 Nya. 33:14Ne 3:3
2 Nya. 33:142Nya 27:1, 3
2 Nya. 33:152 Fal. 21:1, 7
2 Nya. 33:152 Fal. 21:1, 4, 5
2 Nya. 33:162Nya 29:18
2 Nya. 33:16Law. 3:1
2 Nya. 33:16Law. 7:12
2 Nya. 33:192Nya 33:12, 13
2 Nya. 33:192 Fal. 21:2, 9
2 Nya. 33:192 Fal. 21:3, 7
2 Nya. 33:202 Fal. 21:18, 19
2 Nya. 33:21Mt 1:10
2 Nya. 33:212 Fal. 21:19-24
2 Nya. 33:222Nya 33:1, 2
2 Nya. 33:222 Fal. 21:1, 7
2 Nya. 33:23Yer 8:12
2 Nya. 33:232Nya 33:12, 13
2 Nya. 33:242 Fal. 12:20; 2Nya 25:27
2 Nya. 33:252Nya 25:1, 3
2 Nya. 33:252 Fal. 21:25, 26
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 33:1-25

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

33 Manase+ alikuwa na miaka kumi na mbili (12) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi tano na tano (55) katika Yerusalemu.+

2 Alifanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova, kwa kufuata mazoea yenye kuchukiza ya mataifa yenye Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya watu wa Israeli.+ 3 Alijenga upya mahali pa juu penye Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akasimamisha mazabahu kwa ajili ya Mabaali na kutengeneza miti mitakatifu,* na akainamia jeshi lote la mbinguni na kulitumikia.+ 4 Alijenga pia mazabahu katika nyumba ya Yehova,+ yenye Yehova alikuwa amesema hivi juu yake: “Jina langu litakuwa katika Yerusalemu milele.”+ 5 Na alijenga mazabahu kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni katika viwanja mbili vya nyumba ya Yehova.+ 6 Na alipitisha wana wake mwenyewe katika moto+ katika Bonde la Mwana wa Hinomu;+ alifanya uchawi,+ alitumia uaguzi, alifanya ulozi, na aliweka watu wenye kupashana habari na pepo wachafu na watu wenye kutabiri matukio.+ Alifanya kwa kiasi kikubwa mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova, ili kumukasirisha.

7 Ile sanamu ya kuchongwa yenye alitengeneza akaitia katika nyumba ya Mungu wa kweli+ yenye Mungu alikuwa amemuambia hivi Daudi na Sulemani mwana wake kuihusu: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, yenye nimechagua kutoka kati ya makabila yote ya Israeli, nitaweka jina langu sikuzote.+ 8 Na sitaondoa tena hata siku moja miguu ya Israeli kutoka katika inchi yenye nilipatia mababu zao, kama tu wanashika kwa uangalifu mambo yote yenye nimewaamuru, Sheria yote, masharti na maamuzi ya hukumu yenye yalipewa kupitia Musa.” 9 Manase akaendelea kupoteza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu, akafanya watende mambo ya mubaya zaidi kuliko mataifa yenye Yehova alikuwa ameharibu kutoka mbele ya Waisraeli.+

10 Yehova aliendelea kusema na Manase na watu wake, lakini hawakusikiliza.+ 11 Kwa hiyo Yehova akaleta wakubwa wa jeshi la mufalme wa Ashuru ili wawashambulie, na wakamukamata Manase kwa kulabu* na kumufunga kwa pingu mbili za shaba na kumupeleka Babiloni. 12 Katika taabu yake, alimuomba Yehova Mungu wake rehema* na akaendelea kujinyenyekeza sana mbele ya Mungu wa mababu zake. 13 Aliendelea kusali kwake Yeye, na Yeye akaguswa na ombi lake na akasikia ombi lake la kuomba rehema, Naye akamurudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake.+ Kisha Manase akajua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+

14 Kisha, akajenga ukuta wa inje kwa ajili ya Muji wa Daudi+ upande wa mangaribi wa Gihoni+ katika bonde* na mupaka kwenye Mulango Mukubwa wa Samaki,+ na akaendelea kuuzungusha mupaka Ofeli,+ na kuufanya kuwa murefu sana. Zaidi ya hayo, aliweka wakubwa wa jeshi katika miji yote yenye ngome katika Yuda. 15 Kisha akaondoa katika nyumba ya Yehova+ miungu ya kigeni na ule mufano wa sanamu na pia mazabahu zote zenye alikuwa amejenga katika mulima wa nyumba ya Yehova+ na katika Yerusalemu, na akaagiza vitupwe inje ya muji. 16 Alitayarisha pia mazabahu ya Yehova+ na akaanza kutoa juu yake zabihu za ushirika+ na zabihu za shukrani,+ na akaambia Yuda wamutumikie Yehova Mungu wa Israeli. 17 Hata hivyo, watu walikuwa wangali wanatoa zabihu mahali pa juu, hata kama ilikuwa tu kwa Yehova Mungu wao.

18 Na mambo mengine ya historia ya Manase, sala yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji wenye walisema naye katika jina la Yehova Mungu wa Israeli, yameandikwa katika historia ya wafalme wa Israeli. 19 Pia sala yake+ na namna alijibiwa ombi lake, zambi zake zote na ukosefu wake wa uaminifu,+ mahali kwenye alijenga mahali pa juu na kusimamisha miti mitakatifu*+ na sanamu za kuchongwa mbele ajinyenyekeze, yameandikwa katika maneno ya waonaji wake. 20 Kisha Manase akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake, na wakamuzika kwenye nyumba yake; na Amoni mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.+

21 Amoni+ alikuwa na miaka makumi mbili na mbili (22) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka mbili katika Yerusalemu.+ 22 Na aliendelea kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova, kama vile Manase baba yake alikuwa amefanya;+ na Amoni akatoa zabihu kwa sanamu zote za kuchongwa zenye Manase baba yake alikuwa ametengeneza,+ na akaendelea kuzitumikia. 23 Lakini hakujinyenyekeza mbele ya Yehova+ kama vile Manase baba yake alikuwa amejinyenyekeza;+ tofauti na hilo, Amoni aliongeza sana hatia yake. 24 Mwishowe watumishi wake wakafanya mupango mubaya+ na wakamuua ndani ya nyumba yake mwenyewe. 25 Lakini watu wa inchi wakapiga na kuua wale wote wenye walifanya mupango mubaya juu ya Mufalme Amoni,+ na wakamufanya Yosia mwana wake+ kuwa mufalme pa nafasi yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine