Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorinto 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wakorinto

      • Mwangaza wa habari njema (1-6)

        • Akili za wenye hawaamini zimepofushwa (4)

      • Hazina katika vyombo vya udongo (7-18)

2 Wakorinto 4:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2005, uku. 14-15

2 Wakorinto 4:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 2:17; Gal 1:9
  • +2 Kor. 6:3, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2005, uku. 14-15

    Shule ya Huduma, uku. 153

2 Wakorinto 4:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2005,

    uku. 21-22

2 Wakorinto 4:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mufumo huu wa mambo.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 14:30; Efe 2:2; 1 Yo. 5:19
  • +2 Kor. 11:14
  • +Kol 1:15; Ebr 1:3
  • +Isa 60:2; Yoh 8:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    22/4/2005, uku. 9

2 Wakorinto 4:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:3
  • +1 Pe. 2:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2004, uku. 17

    1/3/2002, uku. 8

2 Wakorinto 4:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “katika mitungi ya udongo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 4:1
  • +Isa 64:8; Mdo 9:15; 1 Kor. 15:47
  • +2 Kor. 12:9, 10; Flp 4:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    6/2017, uku. 10-11

    Umurudilie Yehova, uku. 6

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2012,

    uku. 28-29

    1/7/2000, uku. 18

    Huduma ya Ufalme,

    2/2007, uku. 1

2 Wakorinto 4:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine “hatuachwe bila tumaini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 10:13

2 Wakorinto 4:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 13:5
  • +Ufu 2:10

2 Wakorinto 4:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 3:10; 1 Pe. 4:13

2 Wakorinto 4:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:36; 1 Kor. 4:9; 15:31

2 Wakorinto 4:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 116:10

2 Wakorinto 4:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 6:14

2 Wakorinto 4:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 2:10

2 Wakorinto 4:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2008, uku. 28

    15/8/2004, uku. 25

2 Wakorinto 4:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “jaribu.”

  • *

    Tnn., “muzito.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:12; Rom. 8:18

2 Wakorinto 4:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 5:7; Ebr 11:1

Maandiko ingine

2 Wakorintho 4:22 Kor. 2:17; Gal 1:9
2 Wakorintho 4:22 Kor. 6:3, 4
2 Wakorintho 4:4Yoh 14:30; Efe 2:2; 1 Yo. 5:19
2 Wakorintho 4:42 Kor. 11:14
2 Wakorintho 4:4Kol 1:15; Ebr 1:3
2 Wakorintho 4:4Isa 60:2; Yoh 8:12
2 Wakorintho 4:6Mwa 1:3
2 Wakorintho 4:61 Pe. 2:9
2 Wakorintho 4:72 Kor. 4:1
2 Wakorintho 4:7Isa 64:8; Mdo 9:15; 1 Kor. 15:47
2 Wakorintho 4:72 Kor. 12:9, 10; Flp 4:13
2 Wakorintho 4:81 Kor. 10:13
2 Wakorintho 4:9Ebr 13:5
2 Wakorintho 4:9Ufu 2:10
2 Wakorintho 4:10Flp 3:10; 1 Pe. 4:13
2 Wakorintho 4:11Rom. 8:36; 1 Kor. 4:9; 15:31
2 Wakorintho 4:13Zab 116:10
2 Wakorintho 4:141 Kor. 6:14
2 Wakorintho 4:152 Tim. 2:10
2 Wakorintho 4:17Mt 5:12; Rom. 8:18
2 Wakorintho 4:182 Kor. 5:7; Ebr 11:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wakorinto 4:1-18

Ya Pili kwa Wakorinto

4 Kwa hiyo, kwa kuwa tuko na utumishi huu kupitia rehema yenye tulionyeshwa, hatuache. 2 Hata hivyo, tumekataa mambo ya chini-chini ya kusikilia haya, hatutembee kwa ujanja ao kuchanganya neno la Mungu na kitu kingine;+ lakini kwa kufanya kweli ikuwe wazi, tunajipendekeza kwa kila zamiri ya mwanadamu mbele ya macho ya Mungu.+ 3 Kama kwa kweli habari njema yenye tunatangaza imefunikwa kitambaa, imefunikwa kitambaa kati ya wale wenye kuangamia, 4 wenye kati yao mungu wa mupangilio huu wa mambo*+ amepofusha akili za wenye hawaamini,+ ili mwangaza wa habari njema yenye utukufu juu ya Kristo, mwenye kuwa mufano wa Mungu,+ usiweze kuingia.+ 5 Kwa maana tunahubiri, haiko juu yetu sisi wenyewe, lakini juu ya Yesu Kristo kwamba ni Bwana na sisi wenyewe kwamba ni watumwa wenu kwa ajili ya Yesu. 6 Kwa maana Mungu ndiye alisema: “Mwangaza uangaze kutoka katika giza,”+ na ameangazia mioyo yetu ili kuitolea mwangaza+ kwa ujuzi wenye utukufu wa Mungu kupitia uso wa Kristo.

7 Hata hivyo, tuko na hazina hii+ katika vyombo vya udongo,*+ ili nguvu zenye kupita zile za kawaida zikuwe za Mungu, hapana zenye kutoka kwetu.+ 8 Tunakazwa katika kila njia, lakini hatubanwe mupaka tushindwe kutikisika; tunavurugika, lakini hatukose kabisa njia ya kutokea;*+ 9 tunateswa, lakini hatuachwe bila musaada;+ tunaangushwa chini, lakini hatuharibiwe.+ 10 Sikuzote katika mwili wetu tunavumilia matendo yenye kuleta kifo yenye Yesu aliteseka,+ ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu. 11 Kwa maana sikuzote sisi wenye tunaishi tunapambana na kifo uso kwa uso+ kwa ajili ya Yesu, ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu wenye unaweza kufa. 12 Kwa hiyo kifo kinafanya kazi ndani yetu, lakini uzima ndani yenu.

13 Sasa kwa sababu tuko na roho ileile ya imani kama ile yenye imeandikwa hivi kuihusu: “Mimi nilionyesha imani, kwa hiyo nikasema”;+ sisi pia tunaonyesha imani na kwa hiyo tunasema, 14 na tunajua kama Ule mwenye alimufufua Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na atatuonyesha mbele yake sisi pamoja na ninyi.+ 15 Kwa maana mambo yote haya ni kwa ajili yenu, ili fazili zenye hazistahiliwe zenye kuongezeka ziendelee kuongezeka hata zaidi kwa sababu wengi zaidi wanatoa shukrani kwa utukufu wa Mungu.+

16 Kwa hiyo, hatuache, lakini hata kama mutu mwenye tuko kwa inje anaharibika, hakika mutu mwenye tuko kwa ndani anafanywa upya siku kwa siku. 17 Kwa maana hata kama taabu* ni ya wakati kidogo na ni nyepesi, inatufanyizia utukufu wenye kuwa mukubwa* zaidi na zaidi, na wa milele;+ 18 wakati uleule tunaendelea kukaza macho yetu, haiko juu ya vitu vyenye vinaonekana, lakini juu ya vitu vyenye havionekane.+ Kwa maana vitu vyenye vinaonekana ni vya wakati kidogo, lakini vitu vyenye havionekane ni vya milele.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine