Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 143
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Kiu kwa ajili ya Mungu kama inchi yenye kukauka

        • ‘Ninafikiri sana juu ya kazi zako’ (5)

        • “Unifundishe kufanya mapenzi yako” (10)

        • ‘Acha roho yako ya muzuri iniongoze’ (10)

Zaburi 143:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 65:2

Zaburi 143:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 9:2; Zab 130:3; Mhu. 7:20; Rom. 3:20; Gal 2:16; 1 Yo. 1:10

Zaburi 143:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anafuatilia nafsi yangu.”

Zaburi 143:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nguvu zangu zinaisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 142:3
  • +Zab 102:4

Zaburi 143:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Ninatafakari.”

  • *

    Ao “Ninajifunza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 77:5, 6, 11, 12; 111:2, 3

Zaburi 143:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu iko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 63:1

Zaburi 143:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Roho yangu imefikia.”

  • *

    Ao “kaburi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 40:13; 70:5
  • +Zab 142:3
  • +Zab 27:9
  • +Zab 28:1

Zaburi 143:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Kwa maana ninakuinulia nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 5:8; Mez. 3:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2010, uku. 21

Zaburi 143:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 59:1; 61:3, 4; 91:1

Zaburi 143:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “katika inchi ya unyoofu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 25:4

Zaburi 143:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uokoe nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 31:1

Zaburi 143:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyamazisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 25:29; 26:9, 10
  • +1 Sa. 24:12
  • +Zab 89:20

Maandiko ingine

Zb. 143:1Zab 65:2
Zb. 143:2Yob 9:2; Zab 130:3; Mhu. 7:20; Rom. 3:20; Gal 2:16; 1 Yo. 1:10
Zb. 143:4Zab 142:3
Zb. 143:4Zab 102:4
Zb. 143:5Zab 77:5, 6, 11, 12; 111:2, 3
Zb. 143:6Zab 63:1
Zb. 143:7Zab 40:13; 70:5
Zb. 143:7Zab 142:3
Zb. 143:7Zab 27:9
Zb. 143:7Zab 28:1
Zb. 143:8Zab 5:8; Mez. 3:6
Zb. 143:9Zab 59:1; 61:3, 4; 91:1
Zb. 143:10Zab 25:4
Zb. 143:11Zab 31:1
Zb. 143:121 Sa. 25:29; 26:9, 10
Zb. 143:121 Sa. 24:12
Zb. 143:12Zab 89:20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 143:1-12

Zaburi

Muziki wa Daudi.

143 Ee Yehova, sikia sala yangu;+

Sikiliza kilio changu cha kuomba musaada.

Unijibu katika uaminifu wako na katika haki yako.

 2 Usiingie katika hukumu pamoja na mutumishi wako,

Kwa maana hakuna mutu yeyote mwenye uzima ambaye anaweza kuwa mwenye haki mbele yako.+

 3 Kwa maana adui ananifuatilia;*

Ameponda uzima wangu katika udongo.

Amenifanya nikae katika giza kama wale wenye walikufa zamani sana.

 4 Roho yangu inazimia;*+

Moyo wangu umekufa ganzi ndani yangu.+

 5 Ninakumbuka siku za zamani;

Ninafikiri sana* juu ya utendaji wako wote;+

Ninafikiri kwa bidii juu ya* kazi ya mikono yako.

 6 Ninakunyooshea mikono yangu;

Niko* kama inchi yenye kukauka yenye kuwa na kiu kwa ajili yako.+ (Sela)

 7 Unijibu haraka, Ee Yehova;+

Nguvu zangu zimefikia* mwisho.+

Usinifiche uso wako,+

Ukifanya vile nitakuwa kama wale wenye kushuka katika shimo.*+

 8 Acha nisikie upendo wako mushikamanifu asubui,

Kwa maana ninakutegemea wewe.

Unijulishe njia yenye ninapaswa kutembea,+

Kwa maana ninageuka kukuelekea.*

 9 Uniokoe kutoka kwa maadui wangu, Ee Yehova.

Ninatafuta ulinzi wako.+

10 Unifundishe kufanya mapenzi yako,+

Kwa maana wewe ni Mungu wangu.

Roho yako ni ya muzuri;

Iniongoze kwenye inchi tambarare.*

11 Ee Yehova, linda uzima wangu kwa ajili ya jina lako.

Katika haki yako, uniokoe mimi* katika taabu.+

12 Katika upendo wako mushikamanifu, maliza* maadui wangu;+

Haribu wote wenye kunitesa,+

Kwa maana mimi ni mutumishi wako.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine