Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 144
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Sala ya kuomba ushindi

        • “Mwanadamu mwenye anaweza kufa ni nini?” (3)

        • ‘Acha maadui wasambazwe’ (6)

        • Watu wa Yehova ni wenye furaha (15)

Zaburi 144:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:4
  • +2 Sa. 22:35; Zab 18:2, 34

Zaburi 144:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Mahali pangu salama pa juu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 22:2, 3
  • +Zab 18:47

Zaburi 144:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 8:4; Ebr 2:6

Zaburi 144:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 39:5
  • +1Nya 29:15; Yob 14:1, 2

Zaburi 144:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kunja.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:9
  • +Kut 19:18

Zaburi 144:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 36:32
  • +2 Sa. 22:15

Zaburi 144:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kushikwa na.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 22:17, 18; Zab 18:16, 17; 54:3

Zaburi 144:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Na mukono wao wa kuume ni mukono wa kuume wa uongo.”

Zaburi 144:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nitakupigia muziki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 33:3; 40:3; 96:1; Isa 42:10; Ufu 5:9; 14:3

Zaburi 144:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wokovu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:19; Zab 18:50
  • +1 Sa. 17:45, 46; 2 Sa. 21:15, 17

Zaburi 144:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hawatapasukiwa na mimba.”

Zaburi 144:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 33:12; 37:9, 37; 146:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 13

    15/6/2006, uku. 12-13

Maandiko ingine

Zb. 144:1Kum 32:4
Zb. 144:12 Sa. 22:35; Zab 18:2, 34
Zb. 144:22 Sa. 22:2, 3
Zb. 144:2Zab 18:47
Zb. 144:3Zab 8:4; Ebr 2:6
Zb. 144:4Zab 39:5
Zb. 144:41Nya 29:15; Yob 14:1, 2
Zb. 144:5Zab 18:9
Zb. 144:5Kut 19:18
Zb. 144:6Yob 36:32
Zb. 144:62 Sa. 22:15
Zb. 144:72 Sa. 22:17, 18; Zab 18:16, 17; 54:3
Zb. 144:9Zab 33:3; 40:3; 96:1; Isa 42:10; Ufu 5:9; 14:3
Zb. 144:102 Sa. 5:19; Zab 18:50
Zb. 144:101 Sa. 17:45, 46; 2 Sa. 21:15, 17
Zb. 144:15Zab 33:12; 37:9, 37; 146:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 144:1-15

Zaburi

Ya Daudi.

144 Yehova, Mwamba wangu,+ asifiwe,

Yeye mwenye kuzoeza mikono yangu kwa ajili ya pigano,

Vidole vyangu kwa ajili ya vita.+

 2 Yeye ni upendo wangu mushikamanifu na ngome yangu,

Kimbilio langu salama* na mwokozi wangu,

Ngao yangu na Ule mwenye nimejificha ndani yake,+

Ule mwenye kutiisha vikundi vya watu chini yangu.+

 3 Ee Yehova, mwanadamu ni nini ili umutambue,

Mwana wa mwanadamu mwenye anaweza kufa ni nini ili umukazie uangalifu?+

 4 Mwanadamu anafanana na pumuzi tu;+

Siku zake ziko kama kivuli chenye kupita.+

 5 Ee Yehova, shusha* mbingu zako na uteremuke;+

Gusa milima na uifanye itoe moshi.+

 6 Fanya umeme wa radi uangaze na kusambaza maadui;+

Piga mishale yako na uwavuruge.+

 7 Nyoosha mikono yako ukiwa juu;

Uniokoe na kunikomboa katika maji mengi,

Katika mukono wa* wageni,+

 8 Wenye vinywa vyao vinasema uongo

Na wenye wanainua mukono wao wa kuume ili kuapa kwa uongo.*

 9 Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mupya.+

Nitakuimbia sifa,* kwa chombo cha kamba kumi (10),

10 Wewe mwenye kupatia wafalme ushindi,*+

Wewe mwenye kumuokoa mutumishi wako Daudi kutokana na upanga hatari.+

11 Uniokoe na kunikomboa katika mukono wa wageni,

Wenye vinywa vyao vinasema uongo

Na wenye wanainua mukono wao wa kuume ili kuapa kwa uongo.

12 Halafu watoto wetu wanaume watakuwa kama mimea michanga yenye kukomaa haraka,

Watoto wetu wanamuke kama nguzo za pembe zenye kuchongwa kwa ajili ya nyumba ya mufalme.

13 Madepo yetu yatajaa sana mazao ya kila namna;

Makundi yetu katika maeneo yetu ya mashamba yataongezeka kwa maelfu, kwa makumi ya maelfu.

14 Ngombe wetu, wakiwa na mimba, hawatapatwa na jambo la mubaya* wala mimba kuharibika,

Hakutakuwa kilio cha kuteseka katika viwanja vyetu vya watu wote.

15 Wenye furaha ni watu wenye kuwa katika hali hiyo!

Wenye furaha ni watu wenye Mungu wao ni Yehova!+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine