Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Habakuki 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Habakuki

      • Nabii anasali ili Yehova atende (1-19)

        • Mungu ataokoa watiwa-mafuta wake (13)

        • Nitafurahi katika Yehova ijapokuwa taabu (17, 18)

Habakuki 3:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyimbo za maombolezo.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 19-20

Habakuki 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “wakati wetu!”

  • *

    Ao pengine, “wakati wetu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 3:32

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 20

Habakuki 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 33:2; Amu 5:4; Zab 68:7, 8
  • +Kut 19:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 20

Habakuki 3:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 20

Habakuki 3:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:11, 12; 16:46; 25:1, 9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 20-21

Habakuki 3:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:13; Hag 2:21
  • +Kut 14:25; 23:27
  • +Zab 114:1, 4; Nah 1:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/11/2007, uku. 10

    1/2/2000, uku. 21

    Siku ya Yehova, uku. 32

Habakuki 3:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:14, 15; Hes 22:3, 4

Habakuki 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yalikuwa wokovu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 114:1, 3; Isa 50:2; Nah 1:4
  • +Kum 33:26
  • +Zab 68:17

Habakuki 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Mishale yako imewekwa.”

  • *

    Ao pengine, “Viapo vya makabila vimesemwa.”

Habakuki 3:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:18; Zab 114:1, 4
  • +Zab 77:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 21-22

Habakuki 3:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 10:12
  • +Zab 77:17, 18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 21-22

Habakuki 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Ukapiga.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 22

Habakuki 3:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kichwa cha.”

  • *

    Tnn., “kwenye shingo.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/11/2007, uku. 10

    1/2/2000, uku. 22

Habakuki 3:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “fimbo zake.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 22-23

Habakuki 3:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 22-23

Habakuki 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “na tumbo langu likatetemeka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:120; Yer 23:9; Da. 8:27
  • +Zab 42:5; Isa 26:20; Omb 3:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 23-24

Habakuki 3:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “matuta.”

  • *

    Zizi ni lupango ya kuchungia wanyama.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/11/2007, uku. 10

    1/2/2000, uku. 24

Habakuki 3:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:2; 1 Sa. 2:1; Zab 18:2; 27:1; Isa 61:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/11/2007, uku. 10

    1/2/2000, uku. 24

Habakuki 3:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 12:2; Flp 4:13
  • +2 Sa. 22:34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/11/2007, uku. 10

    1/2/2000, uku. 24

Maandiko ingine

Hab. 3:2Omb 3:32
Hab. 3:3Kum 33:2; Amu 5:4; Zab 68:7, 8
Hab. 3:3Kut 19:16
Hab. 3:4Kut 13:21
Hab. 3:5Hes 14:11, 12; 16:46; 25:1, 9
Hab. 3:6Isa 13:13; Hag 2:21
Hab. 3:6Kut 14:25; 23:27
Hab. 3:6Zab 114:1, 4; Nah 1:5
Hab. 3:7Kut 15:14, 15; Hes 22:3, 4
Hab. 3:8Zab 114:1, 3; Isa 50:2; Nah 1:4
Hab. 3:8Kum 33:26
Hab. 3:8Zab 68:17
Hab. 3:10Kut 19:18; Zab 114:1, 4
Hab. 3:10Zab 77:16
Hab. 3:11Yosh. 10:12
Hab. 3:11Zab 77:17, 18
Hab. 3:16Zab 119:120; Yer 23:9; Da. 8:27
Hab. 3:16Zab 42:5; Isa 26:20; Omb 3:26
Hab. 3:18Kut 15:2; 1 Sa. 2:1; Zab 18:2; 27:1; Isa 61:10
Hab. 3:19Isa 12:2; Flp 4:13
Hab. 3:192 Sa. 22:34
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Habakuki 3:1-19

Habakuki

3 Sala ya nabii Habakuki, katika nyimbo za huzuni:*

 2 Ee Yehova, nimesikia habari juu yako.

Nimeogopa matendo yako, Ee Yehova.

Uyafanye tena katikati ya miaka!*

Uyafanye yajulikane katikati ya miaka.*

Ukumbuke kuonyesha rehema wakati wa muvurugo.+

 3 Mungu alikuja kutoka Temani,

Mutakatifu kutoka Mulima Parani.+ (Sela)*

Utukufu wake ulifunika mbingu;+

Na dunia ilijaa sifa yake.

 4 Kungaa kwake kulikuwa kama vile mwangaza.+

Miali mbili ilitoka kwenye mukono wake,

Kwenye nguvu yake ilifichwa.

 5 Ugonjwa wa kuambukiza ulienda mbele yake,+

Na homa kali ilitoka kwenye miguu yake.

 6 Alisimama wima na kutikisa dunia.+

Aliangalia, na jambo hilo lilifanya mataifa yaruke.+

Milima ya milele ilivunjwa-vunjwa,

Na vilima vya zamani viliinama.+

Njia zake ni za tangu zamani sana.

 7 Niliona taabu katika mahema ya Kushani.

Vitambaa vya hema vya inchi ya Midiani vilitetemeka.+

 8 Ee Yehova, je, ni juu ya mito,

Je, kasirani yako imewaka juu ya mito?

Ao je, kasirani yako kali iko juu ya bahari?+

Kwa maana ulipanda farasi zako;+

Magari yako yalishinda.*+

 9 Upinde wako haufunikwe na uko tayari.

Fimbo zako zimewekwa* kwa kiapo.* (Sela)

Unapasua dunia kwa mito.

10 Milima ilisumbuka katika maumivu wakati ilikuona.+

Mafuriko ya maji yalipita.

Mahali kwenye maji yenye kuenda chini sana kulinguruma.+

Kuliinua mikono yake juu.

11 Jua na mwezi vilisimama kwenye makao yake ya juu.+

Mishale yako ilienda mbio kama mwangaza.+

Mungao wa mukuki wako ulingaa sana.

12 Ulipita katikati ya dunia ukiwa mwenye kasirani kali.

Ukakanyanga* mataifa kwa hasira.

13 Ulitoka ili kuokoa watu wako, kuokoa mutiwa-mafuta wako.

Uliponda kiongozi wa* nyumba ya waovu.

Iliachwa wazi kuanzia kwenye musingi mupaka juu.* (Sela)

14 Ulitoboa kichwa cha wapiganaji-vita wake kwa silaha zake mwenyewe*

Wakati walinishambulia ili wanisambaze.

Walifurahia sana kumeza kwa uficho mutu mwenye kuteseka.

15 Ulipita katika bahari kwa farasi zako,

Ulipita katika mawimbi makubwa ya bahari.

16 Nilisikia na nikatetemeka ndani yangu;*

Wakati nilisikia sauti, midomo yangu ilitetemeka.

Mifupa yangu ilianza kuoza;+

Miguu yangu chini ilikuwa inatetemeka.

Lakini ninangojea kimya-kimya siku ya taabu,+

Kwa sababu inakuja juu ya watu wenye kutushambulia.

17 Hata kama muti wa tini hautoe maua,

Na mizabibu ikose matunda;

Hata kama mizeituni haizae matunda,

Na mashamba* hayatoe chakula chochote;

Hata kama kundi linaweza kukosekana katika zizi,*

Na kusikuwe ngombe katika vibanda;

18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova;

Nitashangilia katika Mungu wa wokovu wangu.+

19 Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova ndiye nguvu zangu;+

Atafanya miguu yangu ikuwe kama ile ya paa

Na atanifanya nikanyange mahali pa juu.+

Kwa kiongozi;

utaimbwa kwa vyombo vya kamba.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine