Zaburi
א [Aleph]
ג [Gimel]
ה [He]
ז [Zayin]
4 Anaangazia watu wanyoofu kama mwangaza katika giza.+
ח [Heth]
Ni mwenye huruma,* mwenye rehema+ na mwenye haki.
ט [Teth]
5 Mambo yanamuendea muzuri mutu mwenye kukopesha kwa ukarimu.*+
י [Yod]
Anafanya mambo yake kwa haki.
כ [Kaph]
ל [Lamed]
Mwenye haki atakumbukwa milele.+
מ [Mem]
7 Hataogopa habari ya mubaya.+
נ [Nun]
Moyo wake uko imara, unamutegemea Yehova.+
ס [Samekh]
8 Moyo wake hauwezi kutikiswa;* haogope;+
ע [Ayin]
Mwishowe ataangalia kwa furaha kushindwa kwa maadui wake.+
פ [Pe]
9 Amegawa kwa wingi;* amepatia maskini.+
צ [Tsade]
Haki yake inadumu milele.+
ק [Qoph]
Nguvu zake mwenyewe zitainuliwa* kwa utukufu.
ר [Resh]
10 Muovu ataona na kukasirika.
ש [Shin]
Atasaga meno yake na kuyeyuka.
ת [Taw]
Tamaa za waovu zitaangamia.+