Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mwenye haki anamuogopa Yehova

        • Mutu mwenye kukopesha kwa ukarimu atasitawi (5)

        • “Mwenye haki atakumbukwa milele” (6)

        • Mutu mukarimu anapatiaka maskini (9)

Zaburi 112:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:2; Ufu 19:1
  • +Zab 111:10
  • +Zab 1:1, 2; 40:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 25-26

    15/7/2000, uku. 5

Zaburi 112:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 25:12, 13; 37:25, 26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 25-26

Zaburi 112:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 26-27

Zaburi 112:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 97:11; 1 Pe. 2:9
  • +Lu 6:36; Efe 4:32

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 26-27

Zaburi 112:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 15:7, 8; Zab 41:1; Mez. 19:17; Lu 6:34, 35; Mdo 20:35; Ebr 13:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 27

Zaburi 112:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 15:5; 125:1
  • +Ne 5:19; Mez. 10:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 28

Zaburi 112:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 27:1; Mez. 3:25
  • +Zab 62:8; Isa 26:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 28

Zaburi 112:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “umeazimia; uko imara.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 28:1
  • +Zab 59:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 28

Zaburi 112:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa ukarimu.”

  • *

    Tnn., “Pembe yake mwenyewe itainuliwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 15:11; Mez. 11:24; 19:17
  • +Kum 24:12, 13; 2 Kor. 9:9; Ebr 6:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 27-28

Zaburi 112:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 11:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 28

Maandiko ingine

Zb. 112:1Kut 15:2; Ufu 19:1
Zb. 112:1Zab 111:10
Zb. 112:1Zab 1:1, 2; 40:8
Zb. 112:2Zab 25:12, 13; 37:25, 26
Zb. 112:4Zab 97:11; 1 Pe. 2:9
Zb. 112:4Lu 6:36; Efe 4:32
Zb. 112:5Kum 15:7, 8; Zab 41:1; Mez. 19:17; Lu 6:34, 35; Mdo 20:35; Ebr 13:16
Zb. 112:6Zab 15:5; 125:1
Zb. 112:6Ne 5:19; Mez. 10:7
Zb. 112:7Zab 27:1; Mez. 3:25
Zb. 112:7Zab 62:8; Isa 26:3
Zb. 112:8Mez. 28:1
Zb. 112:8Zab 59:10
Zb. 112:9Kum 15:11; Mez. 11:24; 19:17
Zb. 112:9Kum 24:12, 13; 2 Kor. 9:9; Ebr 6:10
Zb. 112:10Mez. 11:7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 112:1-10

Zaburi

112 Mumusifu Yah!*+

א [Aleph]

Mwenye furaha ni mutu mwenye anamuogopa Yehova,+

ב [Beth]

Mwenye anapendezwa sana na amri zake.+

ג [Gimel]

 2 Wazao wake watakuwa wenye nguvu katika dunia,

ד [Daleth]

Na kizazi cha watu wanyoofu kitabarikiwa.+

ה [He]

 3 Mali na utajiri viko katika nyumba yake,

ו [Waw]

Na haki yake inadumu milele.

ז [Zayin]

 4 Anaangazia watu wanyoofu kama mwangaza katika giza.+

ח [Heth]

Ni mwenye huruma,* mwenye rehema+ na mwenye haki.

ט [Teth]

 5 Mambo yanamuendea muzuri mutu mwenye kukopesha kwa ukarimu.*+

י [Yod]

Anafanya mambo yake kwa haki.

כ [Kaph]

 6 Hatatikiswa hata kidogo.+

ל [Lamed]

Mwenye haki atakumbukwa milele.+

מ [Mem]

 7 Hataogopa habari ya mubaya.+

נ [Nun]

Moyo wake uko imara, unamutegemea Yehova.+

ס [Samekh]

 8 Moyo wake hauwezi kutikiswa;* haogope;+

ע [Ayin]

Mwishowe ataangalia kwa furaha kushindwa kwa maadui wake.+

פ [Pe]

 9 Amegawa kwa wingi;* amepatia maskini.+

צ [Tsade]

Haki yake inadumu milele.+

ק [Qoph]

Nguvu zake mwenyewe zitainuliwa* kwa utukufu.

ר [Resh]

10 Muovu ataona na kukasirika.

ש [Shin]

Atasaga meno yake na kuyeyuka.

ת [Taw]

Tamaa za waovu zitaangamia.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine