1 Mwenye furaha ni mutu mwenye hatembee kulingana na shauri la waovu
Na hasimame katika njia ya watenda-zambi+
Naye hakae katika kiti cha wenye kuzihaki.+
2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+
Na anasoma sheria Yake kwa sauti ya chini muchana na usiku.+