Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Haruni na wana wake wanawekwa katika madaraka ya ukuhani (1-36)

Mambo ya Walawi 8:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:1
  • +Kut 28:4; 39:33, 41
  • +Kut 30:23-25; 40:15
  • +Kut 29:1, 2

Mambo ya Walawi 8:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:4; 40:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2014, uku. 8-9

Mambo ya Walawi 8:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mushipi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:39
  • +Kut 39:27, 29
  • +Kut 39:22
  • +Kut 28:6; 39:2
  • +Kut 28:8; 29:5; 39:20

Mambo ya Walawi 8:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:15; 39:9
  • +Kut 28:30

Mambo ya Walawi 8:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “taji takatifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:6; 39:27, 28
  • +Kut 28:36; 39:30

Mambo ya Walawi 8:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 30:26-28

Mambo ya Walawi 8:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Mambo ya Walawi 8:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:4, 7; 30:30; 40:13; Law. 21:10; Zab 133:2

Mambo ya Walawi 8:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:40; 29:8, 9

Mambo ya Walawi 8:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:10-14; Law. 4:3, 4; 16:6

Mambo ya Walawi 8:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 9:21, 22

Mambo ya Walawi 8:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:8, 9

Mambo ya Walawi 8:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:11, 12; 16:27

Mambo ya Walawi 8:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:15-18; Law. 1:4

Mambo ya Walawi 8:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Mambo ya Walawi 8:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mafuta yenye kuzunguka figo.”

Mambo ya Walawi 8:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya kutuliza.” Tnn., “ya kupumuzisha.”

Mambo ya Walawi 8:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 8:33
  • +Kut 29:19, 20

Mambo ya Walawi 8:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2014, uku. 9-10

Mambo ya Walawi 8:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2014, uku. 9-10

Mambo ya Walawi 8:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:22-25

Mambo ya Walawi 8:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 2:4
  • +Kut 29:1, 2

Mambo ya Walawi 8:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kutuliza.” Tnn., “ya kupumuzisha.”

Mambo ya Walawi 8:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:29, 30
  • +Kut 29:26, 27; Law. 7:34, 35

Mambo ya Walawi 8:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 30:30
  • +Hes 3:2, 3
  • +Kut 29:21

Mambo ya Walawi 8:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:28
  • +Kut 29:31, 32; 1 Kor. 9:13

Mambo ya Walawi 8:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:34

Mambo ya Walawi 8:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kujaza mikono yenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:30, 35; Hes 3:2, 3

Mambo ya Walawi 8:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:36; Law. 17:11

Mambo ya Walawi 8:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:37
  • +Hes 1:53

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 8:2Kut 28:1
Mambo ya walawi 8:2Kut 28:4; 39:33, 41
Mambo ya walawi 8:2Kut 30:23-25; 40:15
Mambo ya walawi 8:2Kut 29:1, 2
Mambo ya walawi 8:6Kut 29:4; 40:12
Mambo ya walawi 8:7Kut 28:39
Mambo ya walawi 8:7Kut 39:27, 29
Mambo ya walawi 8:7Kut 39:22
Mambo ya walawi 8:7Kut 28:6; 39:2
Mambo ya walawi 8:7Kut 28:8; 29:5; 39:20
Mambo ya walawi 8:8Kut 28:15; 39:9
Mambo ya walawi 8:8Kut 28:30
Mambo ya walawi 8:9Kut 29:6; 39:27, 28
Mambo ya walawi 8:9Kut 28:36; 39:30
Mambo ya walawi 8:10Kut 30:26-28
Mambo ya walawi 8:12Kut 29:4, 7; 30:30; 40:13; Law. 21:10; Zab 133:2
Mambo ya walawi 8:13Kut 28:40; 29:8, 9
Mambo ya walawi 8:14Kut 29:10-14; Law. 4:3, 4; 16:6
Mambo ya walawi 8:15Ebr 9:21, 22
Mambo ya walawi 8:16Law. 4:8, 9
Mambo ya walawi 8:17Law. 4:11, 12; 16:27
Mambo ya walawi 8:18Kut 29:15-18; Law. 1:4
Mambo ya walawi 8:22Law. 8:33
Mambo ya walawi 8:22Kut 29:19, 20
Mambo ya walawi 8:24Kut 24:6
Mambo ya walawi 8:25Kut 29:22-25
Mambo ya walawi 8:26Law. 2:4
Mambo ya walawi 8:26Kut 29:1, 2
Mambo ya walawi 8:29Law. 7:29, 30
Mambo ya walawi 8:29Kut 29:26, 27; Law. 7:34, 35
Mambo ya walawi 8:30Kut 30:30
Mambo ya walawi 8:30Hes 3:2, 3
Mambo ya walawi 8:30Kut 29:21
Mambo ya walawi 8:31Law. 6:28
Mambo ya walawi 8:31Kut 29:31, 32; 1 Kor. 9:13
Mambo ya walawi 8:32Kut 29:34
Mambo ya walawi 8:33Kut 29:30, 35; Hes 3:2, 3
Mambo ya walawi 8:34Kut 29:36; Law. 17:11
Mambo ya walawi 8:35Kut 29:37
Mambo ya walawi 8:35Hes 1:53
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 8:1-36

Mambo ya Walawi

8 Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumuambia: 2 “Chukua Haruni na wana wake,+ zile nguo,+ yale mafuta ya kutia mafuta,+ ule ngombe-dume wa toleo la zambi, wale kondoo-dume wawili, na kile kitunga cha mikate yenye haina chachu,+ 3 na ukusanye mukusanyiko wote pamoja kwenye muingilio wa hema ya mukutano.”

4 Basi Musa akafanya kama vile Yehova alikuwa amemuamuru, na mukusanyiko wote ukakusanyika kwenye muingilio wa hema ya mukutano. 5 Sasa Musa akaambia mukusanyiko: “Hili ndilo jambo lenye Yehova ameamuru tufanye.” 6 Kwa hiyo Musa akamuleta Haruni na wana wake karibu na akawanawisha kwa maji.+ 7 Kisha akamuvalisha kanzu,+ akamufunga kitambaa cha kufunga kiuno,+ akamuvalisha ile koti yenye haina mikono,+ na akamuvalisha efodi+ na kumufunga mukaba* wa efodi wenye kusukwa,+ akaufunga kwa kukaza juu ya Haruni. 8 Halafu akamuvalisha kifuko cha kifua+ na akatia Urimu na Tumimu+ ndani ya kifuko hicho. 9 Kisha akatia kilemba+ juu ya kichwa chake, na kutia lile bamba lenye kungaa la zahabu upande wa mbele wa kilemba hicho, ile alama takatifu ya kuwekwa pembeni kwa ajili ya kusudi la pekee,*+ kama vile Yehova alikuwa amemuamuru Musa.

10 Kisha Musa akakamata yale mafuta ya kutia mafuta na akatia mafuta ile tabenakulo na vitu vyote vyenye kuwa ndani yake+ na akavitakasa. 11 Kisha kufanya vile akanyunyiza* sehemu fulani ya mafuta hayo juu ya mazabahu mara saba (7) na akatia mafuta mazabahu na vyombo vyake vyote na beseni na kitu cha kuweka beseni juu yake ili kuvitakasa. 12 Mwishowe akamwanga juu ya kichwa cha Haruni sehemu fulani ya mafuta hayo ya kutia mafuta na akamutia mafuta ili kumutakasa.+

13 Halafu Musa akaleta wana wa Haruni karibu na akawavalisha kanzu na akawafunga vitambaa vya kufunga kwenye kiuno na akawavalisha kitu cha kuvaa kwenye kichwa,+ kama vile Yehova alikuwa amemuamuru Musa.

14 Kisha akaleta ngombe-dume wa toleo la zambi, na Haruni na wana wake wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha ngombe-dume huyo wa toleo la zambi.+ 15 Musa akamuchinja na akakamata damu yake+ kwa kidole chake na kuipakaa kwenye pembe za mazabahu pande zote, na akatakasa mazabahu kutokana na zambi, lakini damu yenye ilibakia akaimwanga kwenye musingi wa mazabahu, ili kuitakasa kwa ajili ya kufunika zambi juu yake. 16 Kisha akakamata mafuta yote yenye kuwa juu ya matumbotumbo, mafuta yenye kuwa juu ya maini, na figo mbili pamoja na mafuta yake, na Musa akachoma vitu hivyo ili vitoe moshi juu ya mazabahu.+ 17 Kisha akafanya sehemu zenye zilibakia za ngombe-dume huyo, ngozi yake, nyama yake, na mavi yake, ziteketezwe kwa moto inje ya kambi,+ kama vile Yehova alikuwa amemuamuru Musa.

18 Sasa akaleta kondoo-dume wa toleo la kuteketezwa karibu, na Haruni na wana wake wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha kondoo-dume huyo.+ 19 Kisha Musa akamuchinja na kunyunyiza* damu yake kwenye pande zote za mazabahu. 20 Akakata kondoo-dume huyo vipande-vipande, na Musa akachoma kichwa, vile vipande, na yale mafuta* ili yatoe moshi. 21 Akasafisha matumbotumbo na miguu kwa maji, na Musa akachoma kondoo-dume muzima ili atoe moshi juu ya mazabahu. Lilikuwa toleo la kuteketezwa lenye harufu ya muzuri.* Lilikuwa toleo la kuteketezwa lenye linatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, kama vile Yehova alikuwa amemuamuru Musa.

22 Kisha akaleta kondoo-dume wa pili, kondoo wa kuweka katika madaraka ya ukuhani,+ na Haruni na wana wake wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha kondoo-dume huyo.+ 23 Musa akamuchinja na akakamata sehemu fulani ya damu yake na kuipakaa kwenye sehemu ya chini ya sikio la kuume la Haruni na kwenye kidole kikubwa cha mukono wake wa kuume na kwenye kidole kikubwa cha muguu wake wa kuume. 24 Kisha Musa akaleta wana wa Haruni mbele na akapakaa sehemu fulani ya damu hiyo kwenye sehemu za chini za masikio yao ya kuume na kwenye vidole vikubwa vya mikono yao ya kuume na kwenye vidole vikubwa vya miguu yao ya kuume; lakini Musa alinyunyiza* damu yenye ilibakia kwenye pande zote za mazabahu.+

25 Kisha akakamata yale mafuta, ule mukia wenye mafuta, mafuta yote yenye kuwa juu ya matumbotumbo, yale mafuta yenye kuwa juu ya maini, zile figo mbili na mafuta yake, na muguu wa kuume.+ 26 Akakamata katika kitunga cha mikate yenye haina chachu chenye kilikuwa mbele ya Yehova mukate mumoja wa muviringo wenye hauna chachu,+ mukate mumoja wa muviringo wenye mafuta,+ na mukate mumoja mwembamba. Kisha akatia mikate hiyo juu ya vipande vya mafuta na juu ya muguu wa kuume. 27 Kisha kufanya vile akatia vitu hivyo vyote katika mikono ya Haruni na mikono ya wana wake na akaanza kuvitikisa mbele na nyuma vikiwa toleo la kutikiswa mbele ya Yehova. 28 Kisha Musa akavikamata kutoka katika mikono yao na kuvichoma ili vitoe moshi kwenye mazabahu juu ya toleo la kuteketezwa. Vitu hivyo vilikuwa zabihu ya kuwaweka katika madaraka yao, zabihu yenye harufu ya muzuri.* Lilikuwa toleo lenye linatolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.

29 Kisha Musa akakamata kifua na kukitikisa mbele na nyuma kikiwa toleo la kutikiswa mbele ya Yehova.+ Sehemu hiyo ya kondoo-dume wa kuwaweka katika madaraka yao ilikuwa fungu la Musa, kama vile Yehova alikuwa amemuamuru Musa.+

30 Na Musa akakamata sehemu fulani ya mafuta ya kutia mafuta+ na sehemu fulani ya damu yenye ilikuwa kwenye mazabahu na kuinyunyiza* juu ya Haruni na nguo zake na juu ya wana wake na nguo zao. Kwa hiyo akamutakasa Haruni na nguo zake na wana wake+ na nguo zao.+

31 Kisha Musa akamuambia Haruni na wana wake: “Mutokoteshe+ nyama hiyo kwenye muingilio wa hema ya mukutano, na muikule pale pamoja na mikate yenye kuwa katika kitunga cha kuwaweka katika madaraka yenu, kama vile niliamuriwa, ‘Haruni na wana wake wataikula.’+ 32 Nyama na mikate yenye itabakia, mutaiteketeza kwa moto.+ 33 Hamupaswe kutoka inje ya muingilio wa hema ya mukutano kwa siku saba (7), mupaka siku za kuwaweka ninyi katika madaraka zimalizike, kwa sababu itachukua siku saba ili kuwaweka ninyi kuwa makuhani.*+ 34 Yehova alituamuru tufanye mambo yenye tumefanya leo ili kufunika zambi kwa ajili yenu.+ 35 Mutabakia kwenye muingilio wa hema ya mukutano muchana na usiku kwa siku saba (7),+ na mutafanya mambo yenye Yehova amewaomba mufanye+ ili musikufe; kwa maana ni vile nimeamuriwa.”

36 Na Haruni na wana wake wakafanya mambo yote yenye Yehova alikuwa ameamuru kupitia Musa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine