Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Utumishi wa Paulo katika Korinto (1-17)

      • Kurudia Antiokia ya Siria (18-22)

      • Paulo anaenda Galatia na Frigia (23)

      • Apolo mwenye anajua kusema anasaidiwa (24-28)

Matendo 18:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 148

    “Kila Andiko,”

    uku. 210, 214

Matendo 18:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:24, 26; 1 Kor. 16:19; 2 Tim. 4:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    4/2011, uku. 12

    Kutoa Ushahidi, uku. 137

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2003, uku. 19-20

    “Kila Andiko,” uku. 206

Matendo 18:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:34; 1 Kor. 4:11, 12; 9:15; 1 Tes. 2:9; 2 Tes. 3:8, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2012, uku. 15

    1/3/2009, uku. 26-27

    15/11/2003, uku. 19-20

    Kutoa Ushahidi, uku. 148-150

Matendo 18:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Alikuwa anafikiri nao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 4:23
  • +Mdo 17:2

Matendo 18:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 15:27; 17:14
  • +Mdo 16:1, 2; 1 Tes. 3:6
  • +Mdo 17:2, 3; 28:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 151

    Huduma ya Ufalme,

    4/2001, uku. 3

Matendo 18:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:14
  • +Eze 33:4
  • +Mdo 20:26
  • +Mdo 13:46; 28:28; Rom. 1:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 151

Matendo 18:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, katika sinagogi.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 151

Matendo 18:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 1:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 151

Matendo 18:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 152-153

Matendo 18:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 28:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 152-153

Matendo 18:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,”

    uku. 217-218

Matendo 18:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1948

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2012, uku. 23

    Kutoa Ushahidi, uku. 152-153

    “Kila Andiko,”

    uku. 292-293

Matendo 18:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 153

Matendo 18:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 153

Matendo 18:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:29; 25:19

Matendo 18:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 155

Matendo 18:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 1:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 153

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2008, uku. 32

Matendo 18:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 16:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 152, 154

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2008, uku. 32

Matendo 18:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 17:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 221

Matendo 18:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 160

Matendo 18:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Inawezekana alipanda kuenda Yerusalemu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 15:36

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 154

Matendo 18:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:6
  • +Mdo 14:21, 22; 15:32

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 160

    “Kila Andiko,” uku. 218

Matendo 18:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:1; 1 Kor. 1:12; 3:5, 6

Matendo 18:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “amefundishwa kwa kinywa.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Ao “kwa usahihi.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2010, uku. 11

Matendo 18:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa usahihi zaidi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 16:3; 1 Kor. 16:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2010, uku. 11

    15/11/2003, uku. 18-19

    Kutoa Ushahidi, uku. 159

Matendo 18:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 18:15; Zab 16:10; Isa 7:14; Mik 5:2

Maandiko ingine

Mdo. 18:2Mdo 18:24, 26; 1 Kor. 16:19; 2 Tim. 4:19
Mdo. 18:3Mdo 20:34; 1 Kor. 4:11, 12; 9:15; 1 Tes. 2:9; 2 Tes. 3:8, 10
Mdo. 18:4Mt 4:23
Mdo. 18:4Mdo 17:2
Mdo. 18:5Mdo 15:27; 17:14
Mdo. 18:5Mdo 16:1, 2; 1 Tes. 3:6
Mdo. 18:5Mdo 17:2, 3; 28:23
Mdo. 18:6Mt 10:14
Mdo. 18:6Eze 33:4
Mdo. 18:6Mdo 20:26
Mdo. 18:6Mdo 13:46; 28:28; Rom. 1:16
Mdo. 18:81 Kor. 1:14
Mdo. 18:10Mt 28:20
Mdo. 18:15Mdo 23:29; 25:19
Mdo. 18:171 Kor. 1:1
Mdo. 18:18Rom. 16:1
Mdo. 18:19Mdo 17:2
Mdo. 18:22Mdo 15:36
Mdo. 18:23Mdo 16:6
Mdo. 18:23Mdo 14:21, 22; 15:32
Mdo. 18:24Mdo 19:1; 1 Kor. 1:12; 3:5, 6
Mdo. 18:26Rom. 16:3; 1 Kor. 16:19
Mdo. 18:28Kum 18:15; Zab 16:10; Isa 7:14; Mik 5:2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 18:1-28

Matendo ya Mitume

18 Kisha pale akatoka Atene na kuenda Korinto. 2 Na akamukuta Muyahudi fulani mwenye kuitwa Akila,+ muzaliwa wa Ponto mwenye alikuwa amekuja hivi karibuni kutoka Italia pamoja na Prisila bibi yake, kwa sababu Klaudio alikuwa ameagiza Wayahudi wote watoke Roma. Basi akaenda kwao, 3 na kwa sababu walifanya kazi ileile, akakaa katika nyumba yao na kufanya kazi pamoja nao,+ kwa maana kazi yao ilikuwa kutengeneza mahema. 4 Alikuwa anatoa hotuba* katika sinagogi+ kila sabato+ na alikuwa anasadikisha Wayahudi na Wagiriki.

5 Sasa, wakati Sila+ na Timoteo+ walishuka kutoka Makedonia, Paulo akaanza kuhangaikia sana lile neno, akitolea Wayahudi ushahidi ili kuhakikisha kwamba Yesu ndiye Kristo.+ 6 Lakini wakati waliendelea kumupinga na kusema mubaya juu yake, akakunguta nguo zake+ na kuwaambia: “Damu yenu ikuwe juu ya vichwa vyenu.+ Mimi niko safi.+ Kuanzia sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+ 7 Basi akatoka pale* na kuingia katika nyumba ya mwanaume mwenye kuitwa Titio Yusto, muabudu wa Mungu, mwenye nyumba yake ilikuwa inakamatana na sinagogi. 8 Lakini Krispo,+ ofisa-musimamizi wa sinagogi akakuwa muamini katika Bwana, yeye pamoja na nyumba yake yote. Na Wakorinto wengi wenye walisikia wakaanza kuamini na kubatizwa. 9 Zaidi ya hayo, Bwana akamuambia Paulo katika maono wakati wa usiku: “Usiogope, lakini uendelee kusema na usinyamaze, 10 kwa maana niko pamoja na wewe+ na hakuna mutu mwenye atakushambulia ili kukuumiza; kwa maana niko na watu wengi katika muji huu.” 11 Basi akakaa kule kwa mwaka mumoja na miezi sita (6), akifundisha neno la Mungu kati yao.

12 Wakati Galio alikuwa gavana wa jimbo la Akaya, Wayahudi wakaungana na kumushambulia Paulo na wakamupeleka kwenye kiti cha hukumu, 13 wakisema: “Mutu huyu anashawishi watu wamuabudu Mungu kwa njia yenye kuwa kinyume cha sheria.” 14 Lakini wakati Paulo alikuwa karibu kusema, Galio akaambia Wayahudi: “Ninyi Wayahudi, kama kwa kweli, ingekuwa kosa ao uvunjaji mukubwa wa sheria, ningekuwa na sababu ya kuwasikiliza ninyi kwa uvumilivu. 15 Lakini kama ni mabishano juu ya maneno na majina na sheria yenu,+ muamue ninyi wenyewe. Mimi sitaki kuwa muamuzi wa mambo hayo.” 16 Halafu akawafukuza kutoka mbele ya kiti cha hukumu. 17 Basi wote wakakamata Sostene,+ ofisa-musimamizi wa sinagogi na wakaanza kumupiga mbele ya kiti cha hukumu. Lakini Galio hakujiingiza hata kidogo katika mambo hayo.

18 Lakini, kisha kukaa tena siku fulani, Paulo akaaga ndugu na kusafiri kwa mashua* na kuenda Siria, pamoja na Prisila na Akila. Alikuwa amekatisha nywele zake kule Kenkrea,+ kwa sababu alikuwa amefanya naziri. 19 Basi wakafika Efeso, na akawaacha kule; lakini aliingia katika sinagogi na kufikiri na Wayahudi.+ 20 Hata kama waliendelea kumuomba akae kwa wakati murefu zaidi, hakukubali 21 lakini aliwaaga na kuwaambia: “Nitarudia kwenu tena, kama Yehova* anapenda.” Na akasafiri katika bahari kutoka Efeso 22 na kushuka mupaka Kaisaria. Akapanda* na kusalimia kutaniko, na kisha akashuka kuenda Antiokia.+

23 Kisha kupitisha wakati fulani kule, akaondoka na kuenda sehemu mbalimbali katika inchi ya Galatia na Frigia,+ alikuwa anatia wanafunzi wote nguvu.+

24 Sasa Muyahudi mumoja mwenye kuitwa Apolo,+ muzaliwa wa Aleksandria, akafika Efeso; alikuwa mwanaume mwenye kujua kusema na alikuwa anajua sana Maandiko. 25 Mwanaume huyu alikuwa amefundishwa* njia ya Yehova,* na alikuwa mwenye kuwaka roho, alikuwa anasema na kufundisha sawasawa* mambo juu ya Yesu, lakini alikuwa anajua tu ubatizo wa Yohana. 26 Akaanza kusema bila woga katika sinagogi, na wakati Prisila na Akila+ walimusikia, wakamuchukua na kumufasiria njia ya Mungu sawasawa kabisa.* 27 Pia, kwa sababu alitaka kuvuka na kuenda Akaya, ndugu wakaandikia wanafunzi na kuwaomba wamukaribishe kwa fazili. Basi wakati alifika kule, akasaidia sana wale wenye kupitia fazili zenye hazistahiliwe za Mungu walikuwa wameamini; 28 kwa maana alihakikisha kabisa-kabisa mbele ya watu wote na kwa bidii nyingi kwamba Wayahudi walikuwa wamekosea, na aliwaonyesha kwa kutumia Maandiko kwamba Yesu ndiye Kristo.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine