Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 34
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Unabii juu ya wachungaji wa Israeli (1-10)

      • Yehova anahangaikia kondoo wake (11-31)

        • “Mutumishi wangu Daudi” atawachunga (23)

        • “Agano la amani” (25)

Ezekieli 34:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:1; Mik 3:1, 11; Sef 3:3; Zek 11:17; Mt 23:13
  • +Isa 40:11; Yoh 21:15

Ezekieli 34:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:16; Yer 22:17; Mik 3:3; Zek 11:4, 5
  • +Isa 56:11

Ezekieli 34:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 15:4
  • +Yer 22:13

Ezekieli 34:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:2; 50:6; Mt 9:36

Ezekieli 34:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitaomba kondoo wangu kutoka katika mukono wao.”

  • *

    Ao “wasichunge.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 52:24-27

Ezekieli 34:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:34, 35; Zab 80:1; Isa 56:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Umurudilie Yehova, uku. 4-5

Ezekieli 34:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 40:11
  • +Yoe 2:1, 2; Sef 1:14, 15

Ezekieli 34:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:3; Eze 11:17; Amo 9:14; Mik 7:14

Ezekieli 34:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 25:6; 30:23; Yer 31:12
  • +Yer 33:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Umurudilie Yehova, uku. 5

Ezekieli 34:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 3:15
  • +Sef 3:13

Ezekieli 34:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mik 4:6; Mt 15:24; Lu 15:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Umurudilie Yehova, uku. 5

Ezekieli 34:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 10:3

Ezekieli 34:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 40:11; Yer 23:3

Ezekieli 34:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 10:11; Ebr 13:20; 1 Pe. 5:4; Ufu 7:17
  • +Isa 11:1; Yer 30:9
  • +Eze 37:24; Ho 3:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/4/2007, uku. 26-27

Ezekieli 34:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:45; Yer 31:1
  • +Zab 2:6; Isa 9:6; Yer 23:5; Mik 5:2; Lu 1:32; Mdo 5:31

Ezekieli 34:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 37:26
  • +Law. 26:6; Isa 11:6-9; 35:9; 65:25; Ho 2:18
  • +Yer 23:6; 33:16

Ezekieli 34:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 56:7; Eze 20:40; Mik 4:1
  • +Mwa 12:2, 3; Kum 28:12; Zek 8:13

Ezekieli 34:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:4; Zab 85:12; Isa 35:2; Eze 36:30
  • +Law. 26:13

Ezekieli 34:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 30:10; 46:27

Ezekieli 34:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa ajili ya jina.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 36:29
  • +Eze 36:15

Ezekieli 34:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 37:27

Ezekieli 34:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:52; 100:3; Isa 40:11

Maandiko ingine

Eze. 34:2Yer 23:1; Mik 3:1, 11; Sef 3:3; Zek 11:17; Mt 23:13
Eze. 34:2Isa 40:11; Yoh 21:15
Eze. 34:32 Fal. 21:16; Yer 22:17; Mik 3:3; Zek 11:4, 5
Eze. 34:3Isa 56:11
Eze. 34:4Lu 15:4
Eze. 34:4Yer 22:13
Eze. 34:5Yer 23:2; 50:6; Mt 9:36
Eze. 34:10Yer 52:24-27
Eze. 34:111 Sa. 17:34, 35; Zab 80:1; Isa 56:8
Eze. 34:12Isa 40:11
Eze. 34:12Yoe 2:1, 2; Sef 1:14, 15
Eze. 34:13Yer 23:3; Eze 11:17; Amo 9:14; Mik 7:14
Eze. 34:14Isa 25:6; 30:23; Yer 31:12
Eze. 34:14Yer 33:12
Eze. 34:15Yer 3:15
Eze. 34:15Sef 3:13
Eze. 34:16Mik 4:6; Mt 15:24; Lu 15:4
Eze. 34:17Zek 10:3
Eze. 34:22Isa 40:11; Yer 23:3
Eze. 34:23Yoh 10:11; Ebr 13:20; 1 Pe. 5:4; Ufu 7:17
Eze. 34:23Isa 11:1; Yer 30:9
Eze. 34:23Eze 37:24; Ho 3:5
Eze. 34:24Kut 29:45; Yer 31:1
Eze. 34:24Zab 2:6; Isa 9:6; Yer 23:5; Mik 5:2; Lu 1:32; Mdo 5:31
Eze. 34:25Eze 37:26
Eze. 34:25Law. 26:6; Isa 11:6-9; 35:9; 65:25; Ho 2:18
Eze. 34:25Yer 23:6; 33:16
Eze. 34:26Isa 56:7; Eze 20:40; Mik 4:1
Eze. 34:26Mwa 12:2, 3; Kum 28:12; Zek 8:13
Eze. 34:27Law. 26:4; Zab 85:12; Isa 35:2; Eze 36:30
Eze. 34:27Law. 26:13
Eze. 34:28Yer 30:10; 46:27
Eze. 34:29Eze 36:29
Eze. 34:29Eze 36:15
Eze. 34:30Eze 37:27
Eze. 34:31Zab 78:52; 100:3; Isa 40:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 34:1-31

Ezekieli

34 Neno la Yehova likakuja tena kwangu, na kusema: 2 “Mwana wa binadamu, toa unabii juu ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii, na uwaambie wachungaji hao, ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Ole wao wachungaji wa Israeli,+ wenye wamekuwa wakijikulisha wenyewe! Je, haiko kundi ndilo wachungaji wanapaswa kukulisha?+ 3 Munakula mafuta, munajivalisha wenyewe kwa manyoya ya kondoo, na munachinja munyama mwenye kunenepa zaidi+ lakini hamukulishe kundi.+ 4 Hamukutia nguvu wenye kuwa wazaifu wala kuponyesha wagonjwa wala kufunga vidonda vya wenye waliumia wala kurudisha wenye walipotea wala kutafuta wenye walipotea;+ kuliko kufanya vile, mumewatawala kwa ukali na uonevu.+ 5 Basi wakasambaa kwa sababu hapakukuwa muchungaji;+ walisambaa na kuwa chakula cha kila munyama wa pori. 6 Kondoo wangu waliendelea kutanga-tanga kwenye milima yote na juu ya kila kilima kirefu; kondoo wangu walisambaa juu ya uso wote wa dunia, bila mutu wa kuwatafuta ao mwenye kutafuta kuwapata.

7 “‘“Kwa hiyo, ninyi wachungaji, musikie neno la Yehova: 8 ‘“Kama vile hakika ninaishi,” ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, “kwa sababu kondoo wangu wamekuwa mawindo, chakula kwa ajili ya kila munyama wa pori, kwa sababu hapakukuwa muchungaji, na wachungaji wangu hawakutafuta kondoo wangu; kuliko kufanya vile, waliendelea kujikulisha wenyewe na hawakukulisha kondoo wangu,”’ 9 kwa hiyo, ninyi wachungaji, musikie neno la Yehova. 10 Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Nitapigana na wachungaji, na nitawaomba watoe hesabu kuhusu kondoo wangu,* na nitawafukuza ili wasikulishe* kondoo wangu,+ na wachungaji hawatajikulisha tena. Nitakomboa kondoo wangu katika kinywa chao, nao hawatakuwa tena chakula chao.’”

11 “‘Kwa maana Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Mimi huyu, na mimi mwenyewe, nitatafuta kondoo wangu, na nitawatunza.+ 12 Nitatunza kondoo wangu kama vile muchungaji mwenye amepata kondoo wake wenye walisambaa na anawakulisha.+ Nitawakomboa katika maeneo yote kwenye walisambaa katika siku ya mawingu na giza nzito.+ 13 Nitawatosha katika vikundi vya watu na kuwakusanya kutoka katika inchi hizo na kuwaleta katika inchi yao na kuwakulisha kwenye milima ya Israeli,+ pembeni ya mito midogo na pembeni ya makao yote ya inchi. 14 Nitawakulisha katika malisho ya muzuri, na inchi kwenye watakula majani itakuwa katika milima mirefu ya Israeli.+ Kule watalala katika inchi ya muzuri ya kukulishia wanyama,+ na watakula kwenye malisho ya muzuri juu ya milima ya Israeli.”

15 “‘“Mimi mwenyewe nitakulisha kondoo wangu,+ na mimi mwenyewe nitawalalisha,”+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema. 16 “Mwenye alipotea nitamutafuta,+ mwenye kutanga-tanga nitamurudisha, mwenye kuumia nitafunga vidonda vyake, na mwenye kuwa muzaifu nitamutia nguvu; lakini mwenye kunenepa na mwenye kuwa na nguvu nitamuharibu. Huyo nitamukulisha kwa hukumu.”

17 “‘Sasa ninyi kondoo wangu, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Niko karibu kuhukumu kati ya kondoo mumoja na kondoo mwingine, kati ya kondoo-dume na mbuzi-dume.+ 18 Je, haiwatoshe kujikulisha kwenye malisho ya muzuri sana? Je, ni lazima pia mukanyange-kanyange kwa miguu yenu yale malisho yenu mengine? Na kisha kunywa maji yenye kuwa safi zaidi, je ni lazima muchafue maji hayo kwa kuyakanyanga-kanyanga kwa miguu yenu? 19 Je, kondoo wangu wanapaswa kujikulisha kwenye malisho yenye mulikanyanga-kanyanga kwa miguu yenu na kunywa maji yenye yalichafuliwa kwa kukanyangwa-kanyangwa kwa miguu yenu?”

20 “‘Kwa hiyo Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anawaambia hivi: “Mimi huyu, na mimi mwenyewe nitahukumu kati ya kondoo mwenye kunenepa na kondoo mwenye kukonda, 21 kwa maana kwa ubavu wenu na kwa bega lenu muliendelea kuwasukuma, na kwa pembe zenu muliendelea kusukuma wote wenye walikuwa wagonjwa mupaka mukawasambaza mbali. 22 Na nitaokoa kondoo wangu, nao hawataendelea kuwa kitu cha kuwinda;+ na nitahukumu kati ya kondoo na kondoo. 23 Na nitainua muchungaji mumoja juu yao,+ mutumishi wangu Daudi,+ na atawakulisha. Atawakulisha yeye mwenyewe na kuwa muchungaji wao.+ 24 Na mimi, Yehova, nitakuwa Mungu wao,+ na mutumishi wangu Daudi atakuwa mukubwa kati yao.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.

25 “‘“Na nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na nitaondoa katika inchi wanyama hatari wa pori,+ ili wakae kwa usalama katika jangwa na kulala katika mapori.+ 26 Nitawafanya wao na eneo lenye kuzunguka kilima changu kuwa baraka,+ na nitafanya mvua inyeshe kwa wakati wenye kufaa. Baraka zitamwangika kama mvua.+ 27 Miti ya shamba itazaa matunda, na udongo utatoa mazao yake,+ nao wataishi kwa usalama katika inchi. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova wakati nitavunja nira yao+ na kuwakomboa kutoka kwa wale wenye waliwafanya kuwa watumwa. 28 Hawatakuwa tena kitu cha kuwinda kwa ajili ya mataifa, na wanyama wa pori wa dunia hawatawakula, nao wataishi kwa usalama, bila mutu wa kuwaogopesha.+

29 “‘“Nitawapatia mashamba ya sifa,* nao hawatakufa tena kwa njaa katika inchi,+ na hawatapatishwa tena haya na mataifa.+ 30 ‘Nao watalazimika kujua kwamba mimi, Yehova Mungu wao, niko pamoja nao na kwamba wao, nyumba ya Israeli, ni watu wangu,’+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.”’

31 “‘Sasa ninyi kondoo wangu,+ kondoo wenye ninahangaikia, ninyi ni wanadamu tu, na mimi ni Mungu wenu,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine