Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi
Zaburi 113:1
Zaburi 113:3
- Musaada wa Kutafuta Habari - Munara wa Mulinzi, - 1/9/2006, uku. 14 
Zaburi 113:6
- Musaada wa Kutafuta Habari - Munara wa Mulinzi, - 1/9/2006, uku. 14 
- 15/6/2006, uku. 31 - 15/10/2005, uku. 27 - 1/11/2004, uku. 29 
Zaburi 113:7
- Musaada wa Kutafuta Habari - Munara wa Mulinzi, - 1/9/2006, uku. 14 
 
				
	 
     
 
    
        
						                
			         
     
	    
            
			        
        
			
	
	113 Mumusifu Yah!
Mumusifu, ninyi watumishi wa Yehova,
Musifu jina la Yehova.
 2 Jina la Yehova lisifiwe
Kuanzia sasa na milele.+
 3 Kuanzia mahali jua linatokea mupaka mahali jua linashukia,
Jina la Yehova lisifiwe.+
 4 Yehova iko juu sana ya mataifa yote;+
Utukufu wake uko juu ya mbingu.+
 5 Ni nani mwenye kuwa kama Yehova Mungu wetu,+
Mwenye anakaa kule juu?
 6 Anainama ili aangalie mbingu na dunia,+
 7 Anainua mutu wa hali ya chini kutoka katika mavumbi.
Anainua maskini kutoka kwenye rundo la majivu+
 8 Ili kumufanya akae pamoja na watu wenye vyeo,
Pamoja na watu wenye vyeo kati ya watu wake.
 9 Anapatia makao mwanamuke tasa
Kama mama mwenye furaha mwenye kuwa na watoto.+
Mumusifu Yah!