Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Nehemia NEHEMIA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Habari kutoka Yerusalemu (1-3) Sala ya Nehemia (4-11) 2 Nehemia anatumwa Yerusalemu (1-10) Nehemia anachunguza kuta za muji (11-20) 3 Kuta zinajengwa upya (1-32) 4 Kazi inaendelea ijapokuwa upinzani (1-14) Kazi ya kujenga inaendelea kufanywa na wajenzi wenye kuwa na silaha (15-23) 5 Nehemia anamaliza hali ya watu kukandamiza wengine (1-13) Nehemia hatafute faida yake mwenyewe (14-19) 6 Kazi ya kujenga upya inaendelea kupingwa (1-14) Ukuta unamalizika kujengwa katika siku makumi tano na mbili (15-19) 7 Milango mikubwa ya muji na walinzi wa milango mikubwa (1-4) Majina ya watu wenye walirudia kutoka katika uhamisho (5-69) Watumishi wa hekalu (46-56) Wana wa watumishi wa Sulemani (57-60) Michango kwa ajili ya kazi (70-73) 8 Watu wanasomewa na kufasiriwa Sheria (1-12) Sikukuu ya Vibanda inafanywa (13-18) 9 Watu wanaungama zambi zao (1-38) Yehova, ni Mungu mwenye kusamehe (17) 10 Watu wanakubali kufuata Sheria (1-39) “Hatutapuuza nyumba ya Mungu wetu” (39) 11 Watu wanaanza kuishi tena Yerusalemu (1-36) 12 Makuhani na Walawi (1-26) Kuzindua kuta (27-43) Kutegemeza utumishi wa hekalu (44-47) 13 Mabadiliko mengine yenye Nehemia alileta (1-31) Sehemu moja za kumi zinatolewa (10-13) Sabato haipaswe kuchafuliwa (15-22) Kufanya ndoa na wanamuke wa kigeni kunalaumiwa (23-28)