Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Kutoka KUTOKA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Waisraeli wanaongezeka katika Misri (1-7) Farao anakandamiza Waisraeli (8-14) Wanamuke wa kuzalisha wenye kumuogopa Mungu wanaokoa uzima wa watoto (15-22) 2 Musa anazaliwa (1-4) Binti ya Farao anamuchukua Musa kuwa mutoto wake (5-10) Musa anakimbilia Midiani na anamuoa Sipora (11-22) Mungu anasikia kilio cha maumivu cha Waisraeli (23-25) 3 Musa na muti mudogo wa miiba wenye kuwaka moto (1-12) Yehova anaeleza maana ya jina Lake (13-15) Yehova anamupatia Musa maagizo (16-22) 4 Alama tatu zenye Musa alipaswa kufanya (1-9) Musa anajisikia kuwa hastahili (10-17) Musa anarudia Misri (18-26) Musa anakutana tena na Haruni (27-31) 5 Musa na Haruni mbele ya Farao (1-5) Ukandamizaji unaongezeka (6-18) Israeli wanamulaumu Musa na Haruni (19-23) 6 Ahadi ya kuwekwa huru inarudiliwa (1-13) Jina Yehova halikujulikana kwa ukamili (2, 3) Ukoo wa Musa na Haruni (14-27) Musa anapaswa kufika tena mbele ya Farao (28-30) 7 Yehova anamutia Musa nguvu (1-7) Fimbo ya Haruni inageuka kuwa nyoka mukubwa (8-13) Pigo la 1: maji yanageuka kuwa damu (14-25) 8 Pigo la 2: vyura (1-15) Pigo la 3: imbu (16-19) Pigo la 4: mainzi (20-32) Gosheni haipatwe na mapigo (22, 23) 9 Pigo la 5: mifugo inakufa (1-7) Pigo la 6: majipu yanakuwa juu ya wanadamu na wanyama (8-12) Pigo la 7: mvua ya majiwe (13-35) Farao atatambua nguvu za Mungu (16) Jina la Yehova litatangazwa (16) 10 Pigo la 8: nzige (1-20) Pigo la 9: giza (21-29) 11 Pigo la kumi linatangazwa (1-10) Waisraeli wataomba zawadi (2) 12 Kuanzishwa kwa Pasaka (1-28) Damu itapakaliwa kwenye miimo ya milango (7) Pigo la 10: wazaliwa wa kwanza wanauawa (29-32) Israeli wanatoka Misri (33-42) Mwisho wa miaka mia ine makumi tatu (40, 41) Maagizo juu ya kula Pasaka (43-51) 13 Kila muzaliwa wa kwanza wa kiume ni wa Yehova (1, 2) Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu (3-10) Kila muzaliwa wa kwanza wa kiume anapaswa kutolewa kwa Mungu (11-16) Israeli wanaelekezwa kwenye Bahari Nyekundu (17-20) Nguzo ya wingu na ya moto (21, 22) 14 Israeli wanafika kwenye bahari (1-4) Farao anafuatilia Israeli (5-14) Israeli wanavuka Bahari Nyekundu (15-25) Wamisri wanazama katika bahari (26-28) Israeli wanamuamini Yehova (29-31) 15 Wimbo wa ushindi wa Musa na Israeli (1-19) Miriamu anaimba kwa kuitikia wanaume (20, 21) Maji machungu yanageuzwa kuwa matamu (22-27) 16 Watu wananungunika juu ya chakula (1-3) Yehova anasikia manunguniko hayo (4-12) Wanapewa mana na ndege kware (13-21) Hakuna mana siku ya Sabato (22-30) Mana inawekwa ili kuwa kikumbusho (31-36) 17 Malalamiko juu ya kukosa maji kule Horebu (1-4) Maji yanatoka katika mwamba (5-7) Waamaleki wanashambulia na kupata ushindi (8-16) 18 Yetro na Sipora wanafika (1-12) Shauri la Yetro la kuchagua waamuzi (13-27) 19 Kwenye Mulima Sinai (1-25) Israeli watakuwa ufalme wa makuhani (5, 6) Watu wanatakaswa ili wakutane na Mungu (14, 15) 20 Amri Kumi (1-17) Mambo ya ajabu yanaogopesha Israeli (18-21) Maagizo juu ya ibada (22-26) 21 Maamuzi ya hukumu kwa ajili ya Israeli (1-36) Kuhusu watumwa Waebrania (2-11) Kuhusu kumutendea mutu mwingine jeuri (12-27) Kuhusu wanyama (28-36) 22 Maamuzi ya hukumu kwa ajili ya Israeli (1-31) Kuhusu kuiba (1-4) Kuhusu kuharibisha mimea katika mashamba (5, 6) Kuhusu kulipa hasara ya mali na kuriti mali (7-15) Kuhusu kutongoza (16, 17) Kuhusu ibada na kutendea watu kwa haki (18-31) 23 Maamuzi ya hukumu kwa ajili ya Israeli (1-19) Kuhusu unyoofu na mwenendo muzuri (1-9) Kuhusu sabato na sikukuu mbalimbali (10-19) Malaika anaongoza Israeli (20-26) Kukamata inchi na mipaka ya inchi hiyo (27-33) 24 Watu wanakubali kushika agano (1-11) Musa kwenye Mulima Sinai (12-18) 25 Michango kwa ajili ya tabenakulo (1-9) Sanduku (10-22) Meza (23-30) Kinara cha taa (31-40) 26 Tabenakulo (1-37) Vitambaa vya hema (1-14) Kadre za mbao na vikalio (15-30) Pazia na kitambaa cha kuficha (31-37) 27 Mazabahu ya toleo la kuteketezwa (1-8) Kiwanja (9-19) Mafuta kwa ajili ya kinara cha taa (20, 21) 28 Nguo za kikuhani (1-5) Efodi (6-14) Kifuko cha kifua (15-30) Urimu na Tumimu (30) Koti yenye haina mikono (31-35) Kilemba chenye bamba la zahabu (36-39) Nguo zingine za kikuhani (40-43) 29 Makuhani wanawekwa katika madaraka yao (1-37) Toleo la kila siku (38-46) 30 Mazabahu ya uvumba (1-10) Kuhesabiwa kwa watu na feza za zabihu kwa ajili ya kufunika zambi (11-16) Beseni ya shaba ya kunawia (17-21) Muchanganyiko wa pekee wa mafuta ya kutia mafuta (22-33) Vitu vya kutumia ili kutengeneza uvumba mutakatifu (34-38) 31 Mafundi wanajazwa roho ya Mungu (1-11) Sabato, alama kati ya Mungu na Israeli (12-17) Mabamba mbili ya majiwe (18) 32 Ibada ya sanamu ya kitoto-dume cha ngombe cha zahabu (1-35) Musa anasikia nyimbo za namna ingine (17, 18) Musa anavunja-vunja mabamba ya sheria (19) Walawi wanabakia washikamanifu kwa Yehova (26-29) 33 Ujumbe wa Mungu wa kukaripia Israeli (1-6) Hema ya mukutano inje ya kambi (7-11) Musa anaomba aone utukufu wa Yehova (12-23) 34 Mabamba mapya ya majiwe yanatengenezwa (1-4) Musa anaona utukufu wa Yehova (5-9) Maagizo ya agano yanarudiliwa (10-28) Uso wa Musa unatoa miali (29-35) 35 Maagizo juu ya Sabato (1-3) Michango kwa ajili ya tabenakulo (4-29) Bezaleli na Oholiabu wanajazwa roho (30-35) 36 Michango inakuwa mingi sana (1-7) Ujenzi wa tabenakulo (8-38) 37 Kutengeneza Sanduku (1-9) Meza (10-16) Kinara cha taa (17-24) Mazabahu ya uvumba (25-29) 38 Mazabahu ya toleo la kuteketezwa (1-7) Beseni ya shaba (8) Kiwanja (9-20) Hesabu ya vitu vyenye vilitumiwa kujenga tabenakulo (21-31) 39 Kutengeneza nguo za kikuhani (1) Efodi (2-7) Kifuko cha kifua (8-21) Koti yenye haina mikono (22-26) Nguo zingine za kikuhani (27-29) Bamba la zahabu (30, 31) Musa anachunguza tabenakulo (32-43) 40 Kusimamisha tabenakulo (1-33) Utukufu wa Yehova unajaa katika tabenakulo (34-38)