Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Mika MIKA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Hukumu juu ya Samaria na Yuda (1-16) Zambi na uasi vinatokeza matatizo (5) 2 Ole wao wakandamizaji! (1-11) Waisraeli wanakusanywa tena katika umoja (12, 13) Inchi itajaa makelele ya watu (12) 3 Viongozi na manabii wanalaumiwa (1-12) Mika anapata nguvu kwa sababu ya roho ya Yehova (8) Makuhani wanafundisha ili wapate feza (11) Yerusalemu itakuwa marundo ya mabomoko (12) 4 Mulima wa Yehova utainuliwa (1-5) Panga zitakuwa majembe (3) “Tutatembea katika jina la Yehova” (5) Sayuni yenye imerudishwa itafanywa imara (6-13) 5 Mutawala mwenye atakuwa mukubwa katika dunia yote (1-6) Mutawala atatokea Betlehemu (2) Mabaki watakuwa kama umande na kama simba (7-9) Inchi itasafishwa (10-15) 6 Kesi ya hukumu ya Mungu pamoja na Israeli (1-5) Yehova anataka mutu afanye nini? (6-8) Haki, ushikamanifu, kiasi (8) Hatia na azabu ya Israeli (9-16) 7 Mwenendo mubaya wa Waisraeli (1-6) Maadui wa mutu watakuwa watu wa nyumba yake (6) ‘Nitaonyesha mutazamo wa kungojea’ (7) Watu wa Mungu watatetewa (8-13) Mika anasali na kumusifu Mungu (14-20) Jibu la Yehova (15-17) ‘Ni Mungu gani mwenye kuwa kama Yehova?’ (18)