Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Nahumu NAHUMU HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Mungu analipiza kisasi juu ya maadui wake (1-7) Mungu anataka watu washikamane na yeye tu (2) Yehova hasahau wenye wanatafuta kimbilio katika yeye (7) Ninawi itaharibiwa (8-14) Taabu haitatokea tena mara ya pili (9) Taifa la Yuda linatangaziwa habari njema (15) 2 Ninawi itaharibiwa (1-13) “Milango mikubwa ya mito itafunguliwa” (6) 3 “Ole wake muji wenye kumwanga damu!” (1-19) Sababu zenye zinafanya Ninawi ihukumiwe (1-7) Ninawi itaanguka kama vile No-amoni (8-12) Ninawi haitakosa kuanguka (13-19)