Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Habakuki HABAKUKI HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Nabii analilia musaada (1-4) ‘Ee Yehova, mupaka wakati gani?’ (2) “Sababu gani unaachilia ukandamizaji?” (3) Mungu anatumia Wakaldayo ili kutoa hukumu (5-11) Nabii anamulilia Yehova (12-17) ‘Mungu wangu, wewe hauwezi kufa’ (12) ‘Macho yako ni safi sana, hayawezi kuendelea kuangalia ubaya’ (13) 2 ‘Nitaendelea kuwa macho ili nione ataniambia nini’ (1) Yehova anamujibu nabii (2-20) ‘Endelea kungojea maono’ (3) Mwenye haki ataishi kwa uaminifu (4) Ole tano kwa Wakaldayo (6-20) Dunia yote itajaa ujuzi juu ya Yehova (14) 3 Nabii anasali ili Yehova atende (1-19) Mungu ataokoa watiwa-mafuta wake (13) Nitafurahi katika Yehova ijapokuwa taabu (17, 18)