- Habari za Kufanana na Zile
 
			         
     
	    
            
			        
        
			
	
KUMBUKUMBU LA TORATI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
-  1  - 
- Kuondoka kwenye Mulima Horebu (1-8) 
- Wakubwa na waamuzi wanawekwa (9-18) 
- Watu wanakosa kutii kule Kadesh-barnea (19-46) 
 
-  2  
-  3  - 
- Ushindi juu ya Mufalme Ogu wa Bashani (1-7) 
- Kugawanya inchi upande wa mashariki wa Yordani (8-20) 
- Yoshua anaambiwa asiogope (21, 22) 
- Musa hataingia katika inchi hiyo (23-29) 
 
-  4  - 
- Wanaambiwa watii (1-14) 
- Yehova anataka watu washikamane na yeye tu (15-31) 
- Hakuna Mungu mwingine isipokuwa Yehova (32-40) 
- Miji ya makimbilio upande wa mashariki wa Yordani (41-43) 
- Wanapewa Sheria (44-49) 
 
-  5  - 
- Agano la Yehova kule Horebu (1-5) 
- Amri Kumi zinarudiliwa (6-22) 
- Watu wanaogopa kwenye Mulima Sinai (23-33) 
 
-  6  - 
- Umupende Yehova kwa moyo wako wote (1-9) - 
- “Sikiliza, Ee Israeli” (4) 
- Wazazi wanapaswa kufundisha watoto (6, 7) 
 
- Usimusahau Yehova (10-15) 
- Musimujaribu Yehova (16-19) 
- Ambia kizazi chenye kufuata (20-25) 
 
-  7  - 
- Mataifa saba yenye yanapaswa kuharibiwa (1-6) 
- Sababu gani Israeli alichaguliwa (7-11) 
- Utii utawaletea matokeo ya muzuri wakati wenye kuja (12-26) 
 
-  8  
-  9  
- 10  
- 11  - 
- Mumeona ukubwa wa Yehova (1-7) 
- Inchi Yenye Iliahidiwa (8-12) 
- Zawabu za kutii (13-17) 
- Maneno ya Mungu yakaziwe katika mioyo (18-25) 
- “Baraka na laana” (26-32) 
 
- 12  - 
- Muabudu mahali kwenye Mungu anachagua (1-14) 
- Wanaruhusiwa kula nyama lakini hapana damu (15-28) 
- Usinaswe katika mutego wa miungu mingine (29-32) 
 
- 13  
- 14  - 
- Njia zenye hazifae za kuomboleza (1, 2) 
- Vyakula vyenye kuwa safi na vyenye haviko safi (3-21) 
- Sehemu moja ya kumi kwa ajili ya Yehova (22-29) 
 
- 15  - 
- Madeni yanaachiliwa kila mwaka wa saba (1-6) 
- Kusaidia maskini (7-11) 
- Kuachilia huru watumwa kila mwaka wa saba (12-18) 
- Wazaliwa wa kwanza wa wanyama wanatakaswa (19-23) 
 
- 16  - 
- Pasaka; Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu (1-8) 
- Sikukuu ya Majuma (9-12) 
- Sikukuu ya Vibanda (13-17) 
- Kuweka waamuzi (18-20) 
- Vitu vya ibada vyenye kukatazwa (21, 22) 
 
- 17  - 
- Zabihu hazipaswe kuwa na kasoro (1) 
- Kushugulikia mambo ya uasi-imani (2-7) 
- Kuamua mambo yenye kuwa nguvu (8-13) 
- Maagizo kwa ajili ya mufalme mwenye atatawala (14-20) 
 
- 18  - 
- Fungu la makuhani na Walawi (1-8) 
- Mazoea ya kupashana habari na pepo wachafu yanakatazwa (9-14) 
- Nabii kama Musa (15-19) 
- Namna ya kutambua manabii wa uongo (20-22) 
 
- 19  - 
- Hatia ya damu na miji ya makimbilio (1-13) 
- Alama za mipaka hazipaswe kuhamishwa (14) 
- Mashahidi katika tribinali (15-21) 
 
- 20  
- 21  - 
- Mauaji yenye yalifanywa na watu wenye hawajulikane (1-9) 
- Kuoa wanamuke wenye walikamatwa mateka (10-14) 
- Haki ya muzaliwa wa kwanza (15-17) 
- Mwana mwenye iko kichwa-nguvu (18-21) 
- Mutu mwenye alitundikwa kwenye muti amelaaniwa (22, 23) 
 
- 22  - 
- Kuheshimia wanyama wa majirani (1-4) 
- Mwanaume kuvaa nguo za mwanamuke na mwanamuke kuvaa nguo za mwanaume (5) 
- Kutendea wanyama muzuri (6, 7) 
- Ukuta mufupi kwa ajili ya sehemu ya juu ya nyumba (8) 
- Michanganyiko yenye haifae (9-11) 
- Mafundo kwenye nguo (12) 
- Sheria kuhusu kuvunja kanuni katika mambo ya ngono (13-30) 
 
- 23  - 
- Wenye hawaruhusiwe katika kutaniko la Mungu (1-8) 
- Usafi wa kambi (9-14) 
- Watumwa wenye walikimbia (15, 16) 
- Ukahaba unakatazwa (17, 18) 
- Kulipisha faida na naziri (19-23) 
- Vitu vyenye wapita-njia wanaruhusiwa kula (24, 25) 
 
- 24  - 
- Ndoa na kuvunja ndoa (1-5) 
- Kuheshimia uzima (6-9) 
- Kuhangaikia maskini (10-18) 
- Sheria kuhusu kuokota masalio (19-22) 
 
- 25  - 
- Sheria kuhusu kumupiga mutu viboko (1-3) 
- Usimufunge kinywa ngombe-dume wakati anakanyanga-kanyanga nafaka (4) 
- Ndoa ya mutu na shemeki yake (5-10) 
- Kumukamata mutu sehemu zenye haifae kukamata wakati anapigana (11, 12) 
- Majiwe ya kupimia na vipimo vyenye kuwa sawa (13-16) 
- Waamaleki wanapaswa kuharibiwa (17-19) 
 
- 26  - 
- Kutoa matunda ya kwanza (1-11) 
- Sehemu moja ya kumi yenye ilitolewa mara ya pili (12-15) 
- Israeli ni mali ya pekee ya Yehova (16-19) 
 
- 27  - 
- Sheria itaandikwa kwenye majiwe (1-10) 
- Kwenye Mulima Ebali na Mulima Gerizimu (11-14) 
- Laana zinatangazwa (15-26) 
 
- 28  
- 29  
- 30  - 
- Kumurudilia Yehova (1-10) 
- Amri za Yehova haziko nguvu sana (11-14) 
- Kuchagua kati ya uzima na kifo (15-20) 
 
- 31  - 
- Musa anakaribia kufa (1-8) 
- Sheria inapaswa kusomwa mbele ya watu (9-13) 
- Yoshua anawekwa katika madaraka (14, 15) 
- Uasi wa Israeli unatabiriwa (16-30) 
 
- 32  
- 33  
- 34