- Habari za Kufanana na Zile
 
			         
     
	    
            
			        
        
			
	
ISAYA
HABARI ZENYE KUWA NDANI
-  1  - 
- Baba na wana wake waasi (1-9) 
- Yehova anachukia ibada ya kidesturi (10-17) 
- “Tunyooshe mambo” (18-20) 
- Sayuni itarudishwa kuwa muji muaminifu (21-31) 
 
-  2  
-  3  
-  4  
-  5  - 
- Wimbo kuhusu shamba la Yehova la mizabibu (1-7) 
- Ole kwa shamba la Yehova la mizabibu (8-24) 
- Kasirani ya Mungu juu ya watu wake (25-30) 
 
-  6  - 
- Katika maono, Isaya anamuona Yehova katika hekalu lake (1-4) 
- Midomo ya Isaya inasafishwa (5-7) 
- Isaya anatumwa (8-10) 
- “Mupaka wakati gani, Ee Yehova?” (11-13) 
 
-  7  - 
- Ujumbe kwa Mufalme Ahazi (1-9) 
- Alama ya Emanueli (10-17) 
- Matokeo ya kukosa uaminifu (18-25) 
 
-  8  - 
- Shambulizi lenye kuja la Ashuru (1-8) 
- Usiogope—“Mungu iko pamoja na sisi!” (9-17) 
- Isaya na watoto wake ni alama (18) 
- Mutafute habari katika sheria, hapana kwa pepo wachafu (19-22) 
 
-  9  
- 10  - 
- Mukono wa Mungu unashambulia Israeli (1-4) 
- Ashuru—Fimbo ya kasirani ya Mungu (5-11) 
- Ashuru anapewa azabu (12-19) 
- Mabaki wa Yakobo watarudia (20-27) 
- Mungu atahukumu Ashuru (28-34) 
 
- 11  
- 12  
- 13  
- 14  - 
- Israeli watakaa kwenye inchi yao (1, 2) 
- Maneno ya kumuchokoza mufalme wa Babiloni (3-23) 
- Mukono wa Yehova utamuponda Mwashuru (24-27) 
- Tangazo juu ya Ufilisti (28-32) 
 
- 15  
- 16  
- 17  
- 18  
- 19  
- 20  
- 21  
- 22  
- 23  
- 24  
- 25  
- 26  
- 27  
- 28  - 
- Ole wao walevi wa Efraimu! (1-6) 
- Makuhani na manabii wa Yuda wanayumba-yumba (7-13) 
- “Agano pamoja na Kifo” (14-22) 
- Nizamu yenye hekima ya Yehova inaelezwa kupitia mifano (23-29) 
 
- 29  
- 30  - 
- Musaada wa Misri hauna mafaa yoyote kabisa (1-7) 
- Watu wanakataa ujumbe wa unabii (8-14) 
- Mutakuwa na nguvu kama munakuwa na tumaini (15-17) 
- Yehova anaonyesha watu wake wema (18-26) 
- Yehova ataleta hukumu juu ya Ashuru (27-33) 
 
- 31  
- 32  - 
- Mufalme na wakubwa watatawala kwa ajili ya haki ya kweli (1-8) 
- Wanamuke wenye hawahangaike wanaonywa (9-14) 
- Baraka wakati roho itamwangwa (15-20) 
 
- 33  
- 34  
- 35  
- 36  
- 37  - 
- Hezekia anatafuta musaada wa Mungu kupitia Isaya (1-7) 
- Senakeribu anaogopesha Yerusalemu (8-13) 
- Sala ya Hezekia (14-20) 
- Isaya anajulisha jibu la Mungu (21-35) 
- Malaika anaua Waashuru elfu mia moja makumi munane na tano (36-38) 
 
- 38  
- 39  
- 40  
- 41  - 
- Mushindi kutoka mahali jua linatokea (1-7) 
- Israeli anachaguliwa kuwa mutumishi wa Mungu (8-20) 
- Miungu mingine inajaribiwa (21-29) 
 
- 42  - 
- Mutumishi wa Mungu na kazi yenye alitumwa kufanya (1-9) 
- Wimbo mupya wa kumusifu Yehova (10-17) 
- Israeli ni kipofu na kiziwi (18-25) 
 
- 43  - 
- Yehova anakusanya tena watu wake (1-7) 
- Miungu inajaribiwa (8-13) 
- Kukombolewa kutoka Babiloni (14-21) 
- “Tuende pamoja kwenye tribinali” (22-28) 
 
- 44  - 
- Baraka juu ya watu wa Mungu wenye kuchaguliwa (1-5) 
- Hakuna Mungu isipokuwa Yehova (6-8) 
- Upumbavu wa sanamu zenye kutengenezwa na wanadamu (9-20) 
- Yehova, Mukombozi wa Israeli (21-23) 
- Kurudishwa upya kupitia Koreshi (24-28) 
 
- 45  - 
- Koreshi anachaguliwa ili kukamata Babiloni (1-8) 
- Udongo haupaswe kushindana na Mufinyanzi (9-13) 
- Mataifa mengine yanatambua Israeli (14-17) 
- Mungu ni mwenye kutegemeka katika uumbaji na katika kufunua mambo (18-25) 
 
- 46  
- 47  
- 48  - 
- Israeli anakemewa na kusafishwa (1-11) 
- Yehova atakamata hatua juu ya Babiloni (12-16a) 
- Mafundisho ya Mungu ni yenye faida (16b-19) 
- “Mutoke katika Babiloni!” (20-22) 
 
- 49  
- 50  
- 51  - 
- Sayuni inarudishwa kama bustani ya Edeni (1-8) 
- Faraja kutoka kwa Mutengenezaji wa Sayuni mwenye nguvu (9-16) 
- Kikombe cha kasirani kali ya Yehova (17-23) 
 
- 52  
- 53  
- 54  
- 55  
- 56  
- 57  - 
- Mwenye haki na pia watu washikamanifu wanaangamia (1, 2) 
- Ukahaba wa kiroho wa Israeli unafunuliwa (3-13) 
- Faraja kwa watu wa hali ya chini (14-21) 
 
- 58  
- 59  
- 60  
- 61  
- 62  
- 63  
- 64  
- 65  
- 66  - 
- Ibada ya kweli na ibada ya uongo (1-6) 
- Mama Sayuni na wana wake (7-17) 
- Watu wanakusanyika Yerusalemu ili kuabudu (18-24)