‘Umungojee Yehova kwa hamu’!
Asubui
3:30 (9:30) Muziki
3:40 (9:40) Wimbo Na. 88 na Sala
3:50 (9:50) Namna Gani Tunaweza ‘Kumungojea Yehova kwa Hamu’?
4:05 (10:05) Hotuba Yenye Sehemu Tatu: Uige Wale Wenye Walingojea kwa Hamu
• Habakuki
• Yohana
• Ana
5:05 (11:05) Wimbo Na. 142 na Matangazo
5:15 (11:15) Uko Nangojea Nini?
5:30 (11:30) Hotuba ya Ubatizo
6:00 (12:00) Wimbo Na. 28
Kisha Midi
7:10 (13:10) Muziki
7:20 (13:20) Wimbo Na. 54 na Sala
7:30 (13:30) Hotuba ya Watu Wote: Kweli Uvumilivu Ungali wa Maana?
8:00 (14:00) Kifupi ya Munara wa Mulinzi
8:30 (14:30) Wimbo Na. 143 na Matangazo
8:40 (14:40) Hotuba Yenye Sehemu Tatu: Umungojee Yehova . . .
• Wakati Unajisikia Kuwa Peke Yako
• Wakati Unafanya Makosa
• Wakati Watu Wabaya Wanapata Matokeo ya Muzuri
9:40 (15:40) “Kuko Zawabu kwa Ajili ya Mwenye Haki”
10:15 (16:15) Wimbo Na. 140 na Sala