Habari Zilizo Ndani
15/03/2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 29/04–05/05/2013
“Hakuna Kitu cha Kuwakwaza” Wale Wanaomupenda Yehova
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 45, 32
TAREHE 06-12/05/2013
Je, Una ‘Moyo wa Kumujua’ Yehova?
UKURASA WA 8 • NYIMBO: 62, 60
TAREHE 13-19/05/2013
Umekwisha ‘Kumujua Mungu’—Utafanya Nini Sasa?
UKURASA WA 13 • NYIMBO: 81, 135
TAREHE 20-26/05/2013
UKURASA WA 19 • NYIMBO: 51, 95
TAREHE 27/05–02/06/2013
Tuliheshimu Jina Kubwa la Mungu
UKURASA WA 24 • NYIMBO: 27, 101
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ “Hakuna Kitu cha Kuwakwaza” Wale Wanaomupenda Yehova
Wakristo wote wako katika shindano la mbio ili kupata uzima wa milele. Lakini kwa kuwa tumeriti zambi, sisi wote tunajikwaa. Habari hii itatuonyesha mambo matano yanayoweza kutukwaza na itatuonyesha namna tunavyoweza kufanya ili mambo hayo yasituzuie kufika mwisho wa mbio yetu.
▪ Je, Una ‘Moyo wa Kumujua’ Yehova?
Kitabu cha Yeremia kinazungumuzia mambo mengi kuhusu moyo wetu. Habari hii itatusaidia tujue maana ya ‘moyo usiotahiriwa’ na namna gani moyo huo ni hatari hata kwa Wakristo. Pia, itatuonyesha namna ya kuwa na ‘moyo wa kumujua’ Yehova.—Yer. 9:26; 24:7.
▪ Umekwisha ‘Kumujua Mungu’—Utafanya Nini Sasa?
Ni mambo gani tunayopaswa kufanya ili kumujua Mungu na kujulikana naye? Hata ikiwa sisi ni Wakristo ambao wamekomaa kiroho, namna gani na sababu gani tunapaswa kuendelea kukomaa kiroho? Habari hii itajibu maulizo hayo.
▪ Yehova Ni Makao Yetu
Ulimwengu huu unatuchukia, hata hivyo hatupaswe kuogopa. Habari hii inaonyesha namna Yehova Mungu pekee ndiye makao yetu yenye usalama.
▪ Tuliheshimu Jina Kubwa la Mungu
Kuwa mumoja wa watu kwa ajili ya jina la Mungu kunamaanisha nini? Inamaanisha nini kutembea katika jina hilo? Na Mungu anawaona namna gani wale wasioheshimu jina lake? Habari hii itajibu maulizo hayo.
HABARI ZINGINE
18 Unafarijiwa ili Uwafariji Wengine
29 Je, Ni Josèphe Ndiye Aliiandika?
30 Usikate Tumaini Hata Kidogo!
JALADA: Finlande ina eneo ndefu la visiwa karibu na bahari. Kuna pia maziwa (lac) mengi, zaidi sana katika Finlande ya kati na ya mashariki. Wahubiri fulani wanaoenda kuhubiri kwa muda mahali palipo na lazima ya wahubiri wanatumia mashua
FINLANDE
WATU:
5 375 276
Kila Muhubiri anapaswa kuwahubiria watu:
283
MAPAINIA WA KAWAIDA:
1 824