Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w13 15/3 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa Vidogo
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 15/3 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

15/03/2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.

HABARI ZA KUJIFUNZA

TAREHE 29/04–05/05/2013

“Hakuna Kitu cha Kuwakwaza” Wale Wanaomupenda Yehova

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 45, 32

TAREHE 06-12/05/2013

Je, Una ‘Moyo wa Kumujua’ Yehova?

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 62, 60

TAREHE 13-19/05/2013

Umekwisha ‘Kumujua Mungu’​—Utafanya Nini Sasa?

UKURASA WA 13 • NYIMBO: 81, 135

TAREHE 20-26/05/2013

Yehova Ni Makao Yetu

UKURASA WA 19 • NYIMBO: 51, 95

TAREHE 27/05–02/06/2013

Tuliheshimu Jina Kubwa la Mungu

UKURASA WA 24 • NYIMBO: 27, 101

HABARI ZA KUJIFUNZA

▪ “Hakuna Kitu cha Kuwakwaza” Wale Wanaomupenda Yehova

Wakristo wote wako katika shindano la mbio ili kupata uzima wa milele. Lakini kwa kuwa tumeriti zambi, sisi wote tunajikwaa. Habari hii itatuonyesha mambo matano yanayoweza kutukwaza na itatuonyesha namna tunavyoweza kufanya ili mambo hayo yasituzuie kufika mwisho wa mbio yetu.

▪ Je, Una ‘Moyo wa Kumujua’ Yehova?

Kitabu cha Yeremia kinazungumuzia mambo mengi kuhusu moyo wetu. Habari hii itatusaidia tujue maana ya ‘moyo usiotahiriwa’ na namna gani moyo huo ni hatari hata kwa Wakristo. Pia, itatuonyesha namna ya kuwa na ‘moyo wa kumujua’ Yehova.​—Yer. 9:26; 24:7.

▪ Umekwisha ‘Kumujua Mungu’​—Utafanya Nini Sasa?

Ni mambo gani tunayopaswa kufanya ili kumujua Mungu na kujulikana naye? Hata ikiwa sisi ni Wakristo ambao wamekomaa kiroho, namna gani na sababu gani tunapaswa kuendelea kukomaa kiroho? Habari hii itajibu maulizo hayo.

▪ Yehova Ni Makao Yetu

Ulimwengu huu unatuchukia, hata hivyo hatupaswe kuogopa. Habari hii inaonyesha namna Yehova Mungu pekee ndiye makao yetu yenye usalama.

▪ Tuliheshimu Jina Kubwa la Mungu

Kuwa mumoja wa watu kwa ajili ya jina la Mungu kunamaanisha nini? Inamaanisha nini kutembea katika jina hilo? Na Mungu anawaona namna gani wale wasioheshimu jina lake? Habari hii itajibu maulizo hayo.

HABARI ZINGINE

18 Unafarijiwa ili Uwafariji Wengine

29 Je, Ni Josèphe Ndiye Aliiandika?

30 Usikate Tumaini Hata Kidogo!

JALADA: Finlande ina eneo ndefu la visiwa karibu na bahari. Kuna pia maziwa (lac) mengi, zaidi sana katika Finlande ya kati na ya mashariki. Wahubiri fulani wanaoenda kuhubiri kwa muda mahali palipo na lazima ya wahubiri wanatumia mashua

FINLANDE

WATU:

5 375 276

Kila Muhubiri anapaswa kuwahubiria watu:

283

MAPAINIA WA KAWAIDA:

1 824

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine