Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w15 1/2 uku. 16
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Je, Mungu Ataleta Serikali Moja Itakayotawala Dunia Yote?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Maulizo juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 1/2 uku. 16

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Kuna siku tutakuwa na serikali moja katika dunia yote?

Watu wa mataifa yote wanaunganishwa na serikali moja katika dunia yote

Namna gani serikali moja katika dunia yote itaunganisha watu wa mataifa yote? isaya 32:1, 17; 54:13

Wazia namna serikali moja katika dunia yote inaweza kuletea watu faida. Leo watu wengi wanateseka kwa sababu wako maskini sana, wakati wengine ni matajiri sana. Lakini serikali moja katika dunia yote inayoelewa mambo watu wako nayo lazima inaweza kuhakikisha kuwa watu wote wanapata mambo hayo. Unawaza kuna siku watu watafanya serikali kama hiyo?—Soma Yeremia 10:23.

Katika historia yote, serikali zimeshindwa katika njia nyingi kuhangaikia raia zake, zaidi sana maskini. Serikali fulani zinatesa watu. (Mhubiri 4:1; 8:9) Lakini Mungu Mweza-yote ameahidi kutuletea serikali itakayochukua nafasi ya serikali zingine zote. Mutawala wa serikali hiyo atahangaikia watu kabisa.—Soma Isaya 11:4; Danieli 2:44.

Ufalme wa Mungu utafanya mambo gani?

Yehova Mungu amechagua Mutawala muzuri sana wa dunia; Mutawala huyo ni Mwana wake, Yesu. (Luka 1:31-33) Wakati alikuwa mwanadamu hapa duniani, Yesu alifurahia kusaidia watu. Akiwa Mufalme, ataunganisha watu wa mataifa yote na kuwaondolea mateso yote.—Soma Zaburi 72:8, 12-14.

Kila mutu atamukubali Yesu kuwa Mutawala? Hapana. Lakini Yehova ni muvumilivu. (2 Petro 3:9) Amepatia watu nafasi ya kukubali Yesu kuwa Mutawala. Hivi karibuni, Yesu ataondoa watu wabaya katika dunia na kuleta amani na usalama katika dunia yote.—Soma Mika 4:3, 4.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 8 ya kitabu hiki, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza pia kupata kitabu hiki kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine