Habari zilizo Ndani
15/03/2015
© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
GAZETI LA FUNZO
TAREHE 4-10/05/2015
“Hii “Ndiyo Njia Iliyokubaliwa Nawe”
UKURASA WA 7 • NYIMBO: 65, 64
TAREHE 11-17/05/2015
UKURASA WA 12 • NYIMBO: 108, 24
TAREHE 18-24/05/2015
Mufano wa Talanta Unatufundisha Nini?
UKURASA WA 19 • NYIMBO: 101, 116
TAREHE 25-31/05/2015
Uendelee Kutegemeza Ndugu za Kristo kwa Uaminifu
UKURASA WA 25 • NYIMBO: 107, 63
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ Hii “Ndiyo Njia Iliyokubaliwa Nawe”
▪ ‘Utaendelea Kukesha’?
Katika habari ya kwanza tutaona namna Yehova amekuwa anaongoza watu wake kupitia mafundisho ambayo, hatua kwa hatua, yanakuwa mwepesi na wazi zaidi. Katika habari ya pili tutachunguza mufano wa Yesu wa mabikira kumi, kisha tutaona namna mufano huo unaweza kutusaidia tuendelee kukesha kiroho.
▪ Mufano wa Talanta Unatufundisha Nini?
▪ Uendelee Kutegemeza Ndugu za Kristo kwa Uaminifu
Katika habari hizi mbili, tutachunguza mifano mbili yenye Yesu alitoa wakati alikuwa anazungumuzia alama ya kuwapo kwake. Mufano wa kwanza unahusu watumishi fulani wenye wanapewa talanta, na mufano mwingine unazungumuzia watu ambao wanatenganishwa kama kondoo na mbuzi. Kupitia habari hizi, tutaona sababu gani Yesu alitoa mifano hiyo, na tutaona namna inatuhusu.
HABARI ZINGINE
3 Tumepata Kazi Yenye Kufurahisha Zaidi
30 Amri ya Kuoa ao Kuolewa “Katika Bwana Tu”—Ingali Yenye Kufaa?
JALADA: Watu wengi wanakuja Copán ili kuona majengo ya zamani ya Columbia, lakini Mashahidi wa Yehova wanasaidia watu kupata tumaini la wakati unaokuja
HONDURAS
WATU
8111000
WAHUBIRI
22098
MAPAINIA WA KAWAIDA
3471
Kihispania ndiyo luga ya taifa katika Honduras. Lakini wahubiri 365 katika makutaniko 12 wanatumia luga ya Garifuna. Zaidi ya hilo, kuna makutaniko 11 na vikundi 3 vya wahubiri wenye kutumia Luga ya Ishara