Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 1/02 uku. 7
  • Mashirika Mapya Yaliyoundwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mashirika Mapya Yaliyoundwa
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2002
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kisanduku Cha Maulizo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Ni Nani Anaongoza Watu wa Mungu Leo?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
Huduma Yetu ya Ufalme—2002
km 1/02 uku. 7

Mashirika Mapya Yaliyoundwa

Toleo la Mnara wa Mlinzi la Januari 15, 2001, liliripoti namna ya kitengenezo ambayo kwa hiyo Mashahidi wa Yehova wanaendelea kusonga mbele na kazi ya Ufalme katika dunia yote. Lilieleza pia jinsi mashirika mbalimbali ya kisheria yanavyotumiwa kuwa vyombo vya kufanya iwe vyepesi kueneza habari njema. Mashirika hayo ni ya lazima ili kujipatanisha na sheria za taifa, kama vile Neno la Mungu linavyoomba. (Rom. 13:1) Kwa sababu ya ukubwa na sehemu mbalimbali za kazi yetu, Baraza Linaloongoza limekubali kuundwa kwa mashirika ya zaidi ili kushughulikia mahitaji fulani ya Mashahidi wa Yehova huko Amerika. Mashirika mapya ni haya:

Christian Congregation

of Jehovah’s Witnesses

Religious Order

of Jehovah’s Witnesses

Kingdom Support

Services, Inc.

Mashirika hayo yatafanya kazi pamoja na Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc. Ushirikiano na marekebisho hayo yaliyofanywa na Baraza Linaloongoza katika kutimiza mgawo wayo wa kutunza mali yote ya Bwana-Mkubwa utathaminiwa sana.​—Mt. 24:​45-​47.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine