JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 9
Wimbo 210
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 9 uku. 22-26, kisanduku kwenye uku. 109, nyongeza uku. 218-219
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 22-25
Na. 1: Hesabu 22:20-35
Na. 2: Jinsi Yesu Alivyolindwa (lr sura 32)
Na. 3: Andiko la 1 Petro 4:6 Linamaanisha Nini? (rs uku. 199 fu. 5)
❑ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 167
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Majibu kwa Maulizo Yanayohusu Siku za Mwisho. Mazungumzo pamoja na Wasikilizaji yatakayotegemea kitabu Kutoa sababu, ukurasa wa 292, fungu la 1, mpaka ukurasa wa 293, fungu la 2. Fanyeni onyesho fupi kuhusu ulizo moja.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Njia Nzuri za Kuwatafuta Wale Wanaostahili. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yatakayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 95, fungu la 3, mpaka ukurasa wa 96, fungu la 4. Omba mhubiri aeleze ao kucheza upya jambo moja ao mambo mawili yenye kutokeza aliyojionea aliposhiriki katika aina tofauti ya mahubiri.
Wimbo 39